Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maaskofu: Watawala wameshindwa

BAADHI ya viongozi wa dini hapa nchini wamebainisha kuwa kukithiri kwa migomo na matatizo mbalimbali ni dalili za watawala kushindwa kazi. Wakihutubia kwenye mkesha na ibada ya Sikukuu ya Krismasi,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wameshindwa, UKAWA tutawakwamua

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa taifa liko kwenye mkwamo mkubwa wa kukosa uongozi imara kutokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushindwa, hivyo amewaomba...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Viongozi wameshindwa kumuenzi’ Nyerere’

Baadhi ya wanasiasa na wananchi mjini Zanzibar, wamesema viongozi wengi wameshindwa kufuata kwa vitendo yale aliyofanya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa uhai wake.

 

9 years ago

Mtanzania

TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme – Muhongo

muhongo_clipNA FLORENCE SANAWA, MTWARA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kuzalisha umeme na kusababisha Kiwanda cha Saruji cha Dangote kukodi genereta 75 kutoka nchini China kwa ajili ya kuzalisha umeme wa megawati 42.

Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake ya siku moja mkoani hapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, alisema shirika hilo limeshindwa na halina uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 45 zinazohitajika kwa uzalishaji kiwandani hapo.

“TANESCO wamekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakiri wameshindwa lakini tunazidi kuwachagua!

SIASA zinafurahisha sana. Ila wananchi ambao ndio wanaofanyiwa siasa hizo wananifanya nibaki na maswali mengi zaidi ya majibu. Na haya yanayonishangaza ni kutokana na mambo mawili yaliyokuwa yakiendelea na kunifanya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Upofu wa watawala utaliangamiza Taifa

“SINA kawaida ya kulizwa na mambo ya siasa, lakini katika kikao hicho nilishindwa kujizuia kulia. Sikupata maelezo ya maana ya kuwafanya watu wazima wafanye walivyofanya” Haya ni matamshi ya Baba...

 

10 years ago

Mwananchi

Mzaha watawala Bunge la Katiba

 Vijembe na mzaha vimetawala kwenye Bunge la Katiba mjini Dodoma katika hatua ya upigaji wa kura kuanzia sura ya 11 hadi 19 na ibara zake kuanzia 158 hadi 289.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi watawala Olimpiki Sochi

Michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi yalikamilika usiku wa kuamkia leo mjini Sochi Urusi .

 

11 years ago

Mwananchi

Utulivu watawala bomoabomoa Arusha

Hatimaye Halmashauri ya Jiji la Arusha imeanza kubomoa nyumba zaidi ya 300 baada ya malumbano ya kisheria mahakamani, yaliyochukua muda mrefu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi watawala Olimpiki Sochi

Urusi imeibuka washindi wa kwanza katika michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi, iliyofanyika katika mji wa Sochi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani