Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM wameshindwa, UKAWA tutawakwamua

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa taifa liko kwenye mkwamo mkubwa wa kukosa uongozi imara kutokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushindwa, hivyo amewaomba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maaskofu: Watawala wameshindwa

BAADHI ya viongozi wa dini hapa nchini wamebainisha kuwa kukithiri kwa migomo na matatizo mbalimbali ni dalili za watawala kushindwa kazi. Wakihutubia kwenye mkesha na ibada ya Sikukuu ya Krismasi,...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Viongozi wameshindwa kumuenzi’ Nyerere’

Baadhi ya wanasiasa na wananchi mjini Zanzibar, wamesema viongozi wengi wameshindwa kufuata kwa vitendo yale aliyofanya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa uhai wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakiri wameshindwa lakini tunazidi kuwachagua!

SIASA zinafurahisha sana. Ila wananchi ambao ndio wanaofanyiwa siasa hizo wananifanya nibaki na maswali mengi zaidi ya majibu. Na haya yanayonishangaza ni kutokana na mambo mawili yaliyokuwa yakiendelea na kunifanya...

 

9 years ago

Mtanzania

TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme – Muhongo

muhongo_clipNA FLORENCE SANAWA, MTWARA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kuzalisha umeme na kusababisha Kiwanda cha Saruji cha Dangote kukodi genereta 75 kutoka nchini China kwa ajili ya kuzalisha umeme wa megawati 42.

Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake ya siku moja mkoani hapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, alisema shirika hilo limeshindwa na halina uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 45 zinazohitajika kwa uzalishaji kiwandani hapo.

“TANESCO wamekuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuwalaumu UKAWA au CCM?

NI takriban mwezi mmoja umesalia kabla ya Bunge Maalumu la Katiba kuanza vikao vyake mkoani Dodoma. Uhai wa Bunge hilo upo mikononi mwa wajumbe na viongozi wa Umoja wa Katiba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA yaikwamisha CCM

 JITIHADA za Chama Cha Mapinduzi (CCM) za kutaka kurekebisha kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, ili kutumia wingi wake kupitisha ibara na sura za rasimu ya katiba kwenye kamati zimegonga...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM, Ukawa gumzo

Mazungumzo kuhusu siasa na hasa Uchaguzi Mkuu, idadi ya watu waliojitokeza kujiandikisha kupiga kura na idadi kubwa ya watu wanaojitokeza kwenye mikutano ya hadhara ya wanasiasa ndiyo hali iliyoenea kila kona ya nchi kwa sasa, kitu ambacho wachambuzi waliohojiwa na gazeti hili wamekielezea kuwa ni kuongezeka kwa mwamko wa wananchi katika masuala ya siasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA, CCM wakwama

MAZUNGUMZO yanayoendelea kuhusu jinsi ya kunasua mchakato wa katiba mpya kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), yanaelekea kukwama kwa sababu yameingiliwa...

 

9 years ago

TheCitizen

CCM desperate : Ukawa

The coalition of opposition parties (Ukawa) said yesterday the use of inflammatory statements by CCM leaders when addressing campaign rallies amounted to the party’s desperation ahead of the October polls.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani