Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanakiri wameshindwa lakini tunazidi kuwachagua!

SIASA zinafurahisha sana. Ila wananchi ambao ndio wanaofanyiwa siasa hizo wananifanya nibaki na maswali mengi zaidi ya majibu. Na haya yanayonishangaza ni kutokana na mambo mawili yaliyokuwa yakiendelea na kunifanya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Maaskofu: Watawala wameshindwa

BAADHI ya viongozi wa dini hapa nchini wamebainisha kuwa kukithiri kwa migomo na matatizo mbalimbali ni dalili za watawala kushindwa kazi. Wakihutubia kwenye mkesha na ibada ya Sikukuu ya Krismasi,...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Viongozi wameshindwa kumuenzi’ Nyerere’

Baadhi ya wanasiasa na wananchi mjini Zanzibar, wamesema viongozi wengi wameshindwa kufuata kwa vitendo yale aliyofanya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa uhai wake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wameshindwa, UKAWA tutawakwamua

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa taifa liko kwenye mkwamo mkubwa wa kukosa uongozi imara kutokana na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushindwa, hivyo amewaomba...

 

9 years ago

Mtanzania

TANESCO wameshindwa kuzalisha umeme – Muhongo

muhongo_clipNA FLORENCE SANAWA, MTWARA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO), limeshindwa kuzalisha umeme na kusababisha Kiwanda cha Saruji cha Dangote kukodi genereta 75 kutoka nchini China kwa ajili ya kuzalisha umeme wa megawati 42.

Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake ya siku moja mkoani hapa, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, alisema shirika hilo limeshindwa na halina uwezo wa kuzalisha umeme wa megawati 45 zinazohitajika kwa uzalishaji kiwandani hapo.

“TANESCO wamekuwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Libya kuwachagua wabunge wapya

Upigaji kura umeanza nchini Libya ambapo raia wanachagua bunge jipya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Japan kuwachagua wabunge wapya

Raia wa Japan wananapiga kura hii leo katika uchaguzi wa ubunge ulioitishwa mwezi uliopita na waziri mkuu Shinzo Abe

 

11 years ago

GPL

ZOEZI LA KUWACHAGUA WASHIRIKI WA MAISHA PLUS/ MAMA SHUJAA WA CHAKULA LAANZA RASMI

Afisa utetezi wa haki za kiuchumi wa OXFAM Mkamiti Mgawe akielezea kwa kina namna ambavyo wanafanya mchujo  wa kumpata mshiriki wa awali wa mama shujaa wa chakula/ Maisha Plus ambapo washiriki wanatarajia kuingia katika kijiji cha Maisha Plus  mwezi wa tatu mwaka huu 2014.  Afisa mtendaji wa Kampuni ya DMB ambao ni wamiliki wa…

 

11 years ago

Michuzi

HATIMAYE ZOEZI LA KUWACHAGUA WASHIRIKI WA MAISHA PLUS/ MAMA SHUJAA WA CHAKULA LAANZA RASMI. FOMU ZAIDI YA 4,000 ZAKUSANYWA

 Afisa mtendaji wa Kampuni ya DMB ambao ni wamiliki wa Maisha Plus Masoud Ally (Masoud kipanya) Akitoa ufafanuzi namna ya mchujo unavyo fanyika ili kuwapata vijana na akina mama watakao ingia katika Maisha Plus/Mama shujaa wa Chakula, Wakati wa kufanya zoezi la kuwachagua wale watakaoingia katika kijiji cha Maisha Plus 2013/2014.  Majaji wakuu walioteuliwa kwa ajili ya kufanya mchujo wa kuchagua Mama Shujaa wa Chakula 30 na vijana 45 ambao baadae watafanyiwa usahili na kubakiza wanawake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani