Utulivu watawala uchaguzi Zanzibar
NORA DAMIAN NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
UPIGAJI kura za uchaguzi mkuu jana umefanyika kwa amani Visiwani Zanzibar, licha ya kuwapo kwa kasoro ndogondogo.
Vituo vingi vya kupigia kura vilianza shughuli zake saa moja asubuhi na wananchi walijitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuwachagua viongozi wanaowapenda.
Jana MTANZANIA ilitembelea vituo vya Shule ya Msingi Bungi, Jimbo la Tunguu, Mkoa wa Mjini Magharibi, Shule ya Maandalizi ya Msingi Kiembesamaki, Mtoni Kidatu na Malindi na kushuhudia wananchi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Utulivu watawala bomoabomoa Arusha
9 years ago
Habarileo26 Oct
Utulivu watawala upigaji kura Dar
LICHA ya kasoro ndogo ndogo zilizojitokeza jana wakati wa upigaji kura kwenye maeneo tofauti ya majimbo matatu ya uchaguzi ya Dar es Salaam; Ukonga, Ubungo, Temeke na Segerea, uchaguzi kwenye maeneo hayo umeelezwa kufanyika kwa amani na utulivu huku usalama wa watu wengi waliojitokeza kupiga kura ukizingatiwa.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
Dua ya kuiombea Zanzibar amani na utulivu katika kipindi cha uchaguzi
Na: Hassan Hamad, OMKR Waislamu mbali mbali wakiongozwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, leo wamekusanyika katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar kwa ajili ya kuomba dua ya kuiombea […]
The post Dua ya kuiombea Zanzibar amani na utulivu katika kipindi cha uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HJtYdng5u7Y/Vem3S2a0nCI/AAAAAAAH2ZM/WaAVhuIsrz4/s72-c/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
DUA YA KUIOMBEA NCHI AMANI NA UTULIVU KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO YAFANYIKA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-HJtYdng5u7Y/Vem3S2a0nCI/AAAAAAAH2ZM/WaAVhuIsrz4/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1yq_w78Gww/Vem3SvLmVUI/AAAAAAAH2ZQ/T9mAWtwmVaI/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ssA57bshTrE/Vem3Svfk4AI/AAAAAAAH2ZI/VqACyhEsMoQ/s640/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jnpPJ1Ou2zU/U0_IqSnI0ZI/AAAAAAAFbfQ/tMlN2uxXTmc/s72-c/unnamed+(1).jpg)
utulivu watawala bunge la katiba mjini dodoma leo - kwa mara ya kwanza toka lizinduliwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-jnpPJ1Ou2zU/U0_IqSnI0ZI/AAAAAAAFbfQ/tMlN2uxXTmc/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DNNTQMWgr94/U0_It-ZsK8I/AAAAAAAFbfo/4MshwGMcUAk/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1xeHF1XwQyw/U0_IrXWQ59I/AAAAAAAFbfY/Efq8QyjOXI4/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vq7-YO6o3oo/U0_IryPUmDI/AAAAAAAFbfc/YSzEHvodD4M/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Mvutano watawala uchaguzi wa meya Iringa
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Tunawatakia uchaguzi wa amani na utulivu
JUMAPILI ijayo, Watanzania watafanya uamuzi wa kuchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mwandishi Wetu
10 years ago
Habarileo10 Dec
Asisitiza amani na utulivu kwenye uchaguzi
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Shija Othmani amewahimiza wafuasi wa vyama mbalimbali na wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu kwenye kipindi hiki cha kumalizia kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na siku ya uchaguzi ili kufanikisha kazi hiyo.