Mvutano watawala uchaguzi wa meya Iringa
Mchuano wa kumpata meya wa Manispaa ya Iringa kupitia Chadema umechukua sura mpya baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi wa kura za maoni uliokuwa umepangwa kufanyika juzi, kutokana na kuwapo mvutano mkali wa wagombea ndani ya chama hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Utulivu watawala uchaguzi Zanzibar
NORA DAMIAN NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
UPIGAJI kura za uchaguzi mkuu jana umefanyika kwa amani Visiwani Zanzibar, licha ya kuwapo kwa kasoro ndogondogo.
Vituo vingi vya kupigia kura vilianza shughuli zake saa moja asubuhi na wananchi walijitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuwachagua viongozi wanaowapenda.
Jana MTANZANIA ilitembelea vituo vya Shule ya Msingi Bungi, Jimbo la Tunguu, Mkoa wa Mjini Magharibi, Shule ya Maandalizi ya Msingi Kiembesamaki, Mtoni Kidatu na Malindi na kushuhudia wananchi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-bGJ3jKbGDcM/Xn9Bc-00ELI/AAAAAAAC19Q/wRaPaH90QY8hlUPRlJKfYJDEUuLiwDWdgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MEYA IRINGA ANG'OLEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-bGJ3jKbGDcM/Xn9Bc-00ELI/AAAAAAAC19Q/wRaPaH90QY8hlUPRlJKfYJDEUuLiwDWdgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Kimbe ambaye anatokana na chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema ameng’olewa madarakani leo Jumamosi Machi 28, 2020 katika kikao maalum cha madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Manispaa hiyo.
Akitangaza matokeo ya kura zilizopigwa, mwenyekiti wa kikao ambaye pia ni Naibu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g2i-0dkqSIk/XoMs-2epwNI/AAAAAAAC2JQ/CHn97PvSFh8GM1ucO06UBzANocHstQQDQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MEYA MANISPAA YA IRINGA ALIYENG'OLWA AKABIDHI OFISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g2i-0dkqSIk/XoMs-2epwNI/AAAAAAAC2JQ/CHn97PvSFh8GM1ucO06UBzANocHstQQDQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Kimbe ametoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari waliofika ofisini kwake kutaka kujua kwanini anaendelea na kazi licha ya kuondolewa madarakani siku chache zilizopita.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Hamid Njovu amesema kanuni zinamtaka meya huyo kuondoka ofisini ndani ya siku 30 na hivyo anatakiwa kukabidhi ofisi na gari mara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n6_HOyamA0M/XqQT3146FNI/AAAAAAALoKs/yaE7VqI_IskxuehwT3ZaevSotKOUMAFUQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B03.49.11.jpeg)
MWAROBAINI WA BARABARA MANISPAA YA IRINGA WAPATIKANA-KAIMU MEYA RYATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n6_HOyamA0M/XqQT3146FNI/AAAAAAALoKs/yaE7VqI_IskxuehwT3ZaevSotKOUMAFUQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B03.49.11.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-yUBKdly5woQ/XqMWkOA0sVI/AAAAAAAAH0c/jcZtHhomhXcg1dGtQupt4l4XsUscs-TcwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B03.48.55.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-bMSuuM8sBFA/XqMWkmlvmfI/AAAAAAAAH0g/Y8qbhZIT_p4lFDjhLv7skXfaKcGIK4FigCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B03.49.14.jpeg)
Katapila likiwa katika mtaa wa Kihodombi likisembua Barabara ya mtaa huo ikiwa ni siku ya uzinduzi wa mkakati wa Halmashauri ya manispaa ya Iringa.
********************************
NA FREDY MGUNDA, IRINGA.
Kaimu Meya wa Manispaa ya Iringa Joseph Nzala Ryata amezindua rasmi mkakati maalum wa...
9 years ago
Habarileo07 Dec
Chadema wavutana uchaguzi wa Meya
MVUTANO umezuka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupinga uongozi wa juu wa chama hicho kuahirisha uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa Jiji la Arusha uliotakiwa kufanyika Ijumaa iliyopita.
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Ngumi zatawala uchaguzi wa meya Tanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dKfI1FkFCRw/Xn4nRNP6kfI/AAAAAAALlVI/e6baoVGoscsPUN9fpfK5vVyJk1Cu0yFRACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_120911_3.jpg)
MAHAKAMA IRINGA YAONDOA ZUIO LA KUPINGA MCHAKATO WA MADIWANI KUMNG'OA MEYA ALEX KIMBE NAFASI YAKE KWA TUHUMA MBALIMBALI
MAHAKAMA ya hakimu mkazi Iringa imeondoa mahakamani hapo shauri dogo namba 5 la mwaka 2020 lililofikishwa katika mahakama hiyo na mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA ) Alex Kimbe ya kupinga mchakato wa madiwani wa chama cha mapinduzi (CCM) kutoka kumung'oa katika nafasi yake ya umeya kwa tuhuma mbali mbali zikiwemo za matumizi mabaya ya madaraka.
Akisoma hukumu ya kesi hiyo...
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wake wa meya walio jela washinda uchaguzi