Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAROBAINI WA BARABARA MANISPAA YA IRINGA WAPATIKANA-KAIMU MEYA RYATA

Kaimu Meya wa Manispaa ya Iringa Joseph Nzala Ryata akiwa katika mtaa wa Kihodombi manispaa ya Iringa akizindua mkakati wa kukarabati wa barabara za manispaa ya Iringa mara baada ya mvua kupungua

Katapila likiwa katika mtaa wa Kihodombi likisembua Barabara ya mtaa huo ikiwa ni siku ya uzinduzi wa mkakati wa Halmashauri ya manispaa ya Iringa.
********************************

NA FREDY MGUNDA, IRINGA.

Kaimu Meya wa Manispaa ya Iringa Joseph Nzala Ryata amezindua rasmi mkakati maalum wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MEYA MANISPAA YA IRINGA ALIYENG'OLWA AKABIDHI OFISI

  Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Iringa, Alex Kimbe amesema atakabidhi ofisi na gari la meya leo Jumanne asubuhi baada ya kukamilisha taratibu za kiofisi.
Kimbe ametoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari waliofika ofisini kwake kutaka kujua kwanini anaendelea na kazi licha ya kuondolewa madarakani siku chache zilizopita.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Hamid Njovu amesema kanuni zinamtaka meya huyo kuondoka ofisini ndani ya siku 30 na hivyo anatakiwa kukabidhi ofisi na gari mara...

 

9 years ago

Habarileo

Mwarobaini wizi wa simu wapatikana

WEZI wa simu nchini watakuwa na wakati mgumu baada ya programu maalumu kubuniwa. Programu hiyo inaweza kulinda taarifa zote za simu ya mteja pamoja na simu yenyewe pindi ikiibwa, ambapo mwizi ataweza hadi kupigwa picha bila mwenyewe kutambua.

 

10 years ago

Michuzi

MWAROBAINI WA MIGOGORO YA WAFANYABIASHARA WA AFRIKA MASHARIKI WAPATIKANA

 Jaji Mstaafu,Thomas Mihayo akichangia maada Wadau katika Mkutano wa Kimataifa wa Kutatua migogoro ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam.  Jaji wa Mahakama ya Afrika Mashariki,Kitengo Usuluhishi,Fakihi Jundu akizungumza na vyombo vya habari katika  Mkutano wa Kimataifa wa Kutatua migogoro ya Wafanyabiashara wa Nchi za Afrika Mashariki uliofanyika leo katika Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam.Balozi wa...

 

10 years ago

Michuzi

MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA

Rais Jakaya Kikwete akikabidhi tuzo ya Meya Bora Tanzania kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda baada ya kushinda tuzo hiyo kitaifa iliyoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam juzi. Kulia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Agrey Mwanri.Rais Jakaya Kikwete akizungumza baada ya kukabidhi Tuzo ya Meya Bora Tanzania, Yusuph Mwenda (kulia) baada ya kushinda tuzo hizo zilizoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa...

 

10 years ago

GPL

MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akipeana mkono wa kuagana na Mganga Mfawidhi wa zahanati ya Chanika Dk Betha Sanga ambaye pamoja na watumishi wengine sita wa afya wa Manispaa hiyo wamepata udhamini wa Serikali ya Korea Kusini kupitia Shirika lake la Maendeleo KOICA kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Wengine ni Dk  Agatha Shinyala na Dk...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA EXIM IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA SOKO KUU LA MANISPAA YA IRINGA.

 Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim Tanzania tawi la Iringa wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Meya wa manispaa hiyo Bw. Amani Mwamwindi (wa pili kulia) wakati wafanyakazi hao walipojitokeza kufanya usafi kwenye soko kuu la manispaa ya Iringa mwishoni mwa juma ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya mazingira duniani. Hatua hiyo ni sehemu ya kampeni ya benki hiyo ijulikanayo kama ‘Go Green Initiative’ iliyojikita zaidi kwenye utunzaji wa mazingira. Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim...

 

11 years ago

Michuzi

Mabingwa Safari Pool Higher Learning wapatikana Iringa Mbeya.

Meneja mauzo wa Tbl Iringa, Philip Kubecha(kushoto) akimkabidhi kikombe nahodha wa timu ya chuo cha RUCCO, Said Mohamed mara baada ya kutwaa ubingwa wa mkoa wa mashindano ya Safari Pool Higher Learning Competition 2014 yaliyomalizika mwishoni mwa wiki mkoani humo.Katikati ni Meneja mauzo msaidizi Tbl Iringa, Christopher Kifunda. Meneja mauzo wa Tbl Iringa, Philip Kubecha(kushoto) akimkabidhi pesa taslimu shilingi 500,000/= nahodha wa timu ya chuo cha RUCCO, Said Mohamed mara baada ya...

 

9 years ago

Mtanzania

Chadema yateua Meya Manispaa ya Kinondoni

Pg 2Veronica Romwald na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Konondoni, kimempitisha Diwani mteule wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), kuwa mgombea umeya wa Manispaa ya Kinondoni, huku akiwakilisha mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Mgombea huyo alikuwa akiwania nafasi hiyo huku akipambana na diwani mwenzake mteule wa Kata ya Mbweni, Abdunel Elibariki (Chadema) ambaye alishindwa kutamba.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Simbachawene amsimamsisha kazi Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma kwa kuhusika na urasimu

si3

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene (pichani) amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma Bw. Elias N. Kamara na  Bibi Donatila D. Vedasto (Afisa Biashara) kuanzia leo tarehe 30/12/2015 kwa kosa la kusababisha urasimu katika utoaji wa leseni za biashara.

Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani