MWAROBAINI WA BARABARA MANISPAA YA IRINGA WAPATIKANA-KAIMU MEYA RYATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n6_HOyamA0M/XqQT3146FNI/AAAAAAALoKs/yaE7VqI_IskxuehwT3ZaevSotKOUMAFUQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-24%2Bat%2B03.49.11.jpeg)
Kaimu Meya wa Manispaa ya Iringa Joseph Nzala Ryata akiwa katika mtaa wa Kihodombi manispaa ya Iringa akizindua mkakati wa kukarabati wa barabara za manispaa ya Iringa mara baada ya mvua kupungua
Katapila likiwa katika mtaa wa Kihodombi likisembua Barabara ya mtaa huo ikiwa ni siku ya uzinduzi wa mkakati wa Halmashauri ya manispaa ya Iringa.
********************************
NA FREDY MGUNDA, IRINGA.
Kaimu Meya wa Manispaa ya Iringa Joseph Nzala Ryata amezindua rasmi mkakati maalum wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g2i-0dkqSIk/XoMs-2epwNI/AAAAAAAC2JQ/CHn97PvSFh8GM1ucO06UBzANocHstQQDQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MEYA MANISPAA YA IRINGA ALIYENG'OLWA AKABIDHI OFISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g2i-0dkqSIk/XoMs-2epwNI/AAAAAAAC2JQ/CHn97PvSFh8GM1ucO06UBzANocHstQQDQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Kimbe ametoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari waliofika ofisini kwake kutaka kujua kwanini anaendelea na kazi licha ya kuondolewa madarakani siku chache zilizopita.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Hamid Njovu amesema kanuni zinamtaka meya huyo kuondoka ofisini ndani ya siku 30 na hivyo anatakiwa kukabidhi ofisi na gari mara...
9 years ago
Habarileo01 Jan
Mwarobaini wizi wa simu wapatikana
WEZI wa simu nchini watakuwa na wakati mgumu baada ya programu maalumu kubuniwa. Programu hiyo inaweza kulinda taarifa zote za simu ya mteja pamoja na simu yenyewe pindi ikiibwa, ambapo mwizi ataweza hadi kupigwa picha bila mwenyewe kutambua.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cjas7Jpaols/VSaI1Aob_eI/AAAAAAAC2-0/-r_MbvB10MU/s72-c/2.jpg)
MWAROBAINI WA MIGOGORO YA WAFANYABIASHARA WA AFRIKA MASHARIKI WAPATIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-cjas7Jpaols/VSaI1Aob_eI/AAAAAAAC2-0/-r_MbvB10MU/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-78U5v8ml7m8/VSaI1F4EdFI/AAAAAAAC2-4/fuKWTwzIm7o/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o1T3oogcGIM/VSaI20FhB0I/AAAAAAAC2_E/liHtkgvTNgY/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WCUJ9OW5V6U/VSrU8wYK1MI/AAAAAAAHQxw/NfNGoYkn2RM/s72-c/FSA_001.jpg)
MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCUJ9OW5V6U/VSrU8wYK1MI/AAAAAAAHQxw/NfNGoYkn2RM/s1600/FSA_001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s2sotdyf83k/VSrU9HupzsI/AAAAAAAHQx0/sEbsf-aZHdE/s1600/FSA_003.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTsqM2s7r4rfRubV9rwF-5V77iTRH2Xqi3omvyvUwe88uPlqhIsx33Dqcp3bDRBrW0cZJB2ADuR8eI4vvkrUuKY/Photo1.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s72-c/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
BENKI YA EXIM IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA SOKO KUU LA MANISPAA YA IRINGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-nklQXo_bjLM/VXWPK0k1hXI/AAAAAAAC5yo/LoUEG83d07s/s640/EXIM%2BPIC%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xrK53gink_g/VXWPKmW9r1I/AAAAAAAC5yk/a1aiLZ-uZqs/s640/EXIM%2BPIC%2B2.jpg)
11 years ago
MichuziMabingwa Safari Pool Higher Learning wapatikana Iringa Mbeya.
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Chadema yateua Meya Manispaa ya Kinondoni
Veronica Romwald na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Konondoni, kimempitisha Diwani mteule wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), kuwa mgombea umeya wa Manispaa ya Kinondoni, huku akiwakilisha mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mgombea huyo alikuwa akiwania nafasi hiyo huku akipambana na diwani mwenzake mteule wa Kata ya Mbweni, Abdunel Elibariki (Chadema) ambaye alishindwa kutamba.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Simbachawene amsimamsisha kazi Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma kwa kuhusika na urasimu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene (pichani) amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma Bw. Elias N. Kamara na Bibi Donatila D. Vedasto (Afisa Biashara) kuanzia leo tarehe 30/12/2015 kwa kosa la kusababisha urasimu katika utoaji wa leseni za biashara.
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...