Waziri Simbachawene amsimamsisha kazi Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma kwa kuhusika na urasimu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene (pichani) amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma Bw. Elias N. Kamara na Bibi Donatila D. Vedasto (Afisa Biashara) kuanzia leo tarehe 30/12/2015 kwa kosa la kusababisha urasimu katika utoaji wa leseni za biashara.
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s72-c/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Waziri Simbachawene aagiza kusimamishwa kazi kwa maafisa biashara wawili wa manispaa ya Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s400/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pUmVtaFFanI/VoPEdO_fYPI/AAAAAAADEWo/KJmmgBRCmNM/s72-c/New%2BPicture.png)
Afisa biashara wa halmashauri ya Dodoma asimamishwa kazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-pUmVtaFFanI/VoPEdO_fYPI/AAAAAAADEWo/KJmmgBRCmNM/s1600/New%2BPicture.png)
Anuani ya Simu “TAMISEMI” DODOMASimu Na: (026) 2322848, 2321607, 2322853, 2322420, Nukushi: (026) 2322116, 2322146. 2321013, Barua pepe:ps@poralg.go.tz
Tawala za Mikoana Serikali za Mitaa,S. L. P. 1923, DODOMA.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8aPgkN40VP8/Xm4QXNM9plI/AAAAAAALjuY/9iJnZFpicGowXCZeJHoUM8dw8xIsZ6BZQCLcBGAsYHQ/s72-c/898ab48d-1837-4a74-beb8-b832ac8b29f0.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TEMEKE, JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8aPgkN40VP8/Xm4QXNM9plI/AAAAAAALjuY/9iJnZFpicGowXCZeJHoUM8dw8xIsZ6BZQCLcBGAsYHQ/s640/898ab48d-1837-4a74-beb8-b832ac8b29f0.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, masuala mbalimbali ya kikazi. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Wazirihuyo, jijini Dodoma, leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/de12fbf6-b01b-4737-94b5-4659e7713a44.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia) akiagana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ffpGxtRMrXc/XneHn3yBQ_I/AAAAAAALkug/Fp4c0813yns8x3_WwKfqp4DbrA8u0RfbACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-10-768x460.jpg)
SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO KAZI NA UONGOZI WA JUU WA UHAMIAJI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ffpGxtRMrXc/XneHn3yBQ_I/AAAAAAALkug/Fp4c0813yns8x3_WwKfqp4DbrA8u0RfbACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-10-768x460.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2-7-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-3-6-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HO4gofJRXeI/XnXd9Zj662I/AAAAAAALko0/MEC-pDpcLyIUH50UqWJ6FP2dbaPpYDeDQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-9-768x458.jpg)
SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO KAZI NA UONGOZI WA JUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HO4gofJRXeI/XnXd9Zj662I/AAAAAAALko0/MEC-pDpcLyIUH50UqWJ6FP2dbaPpYDeDQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-9-768x458.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2-6-1024x683.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mipango,Utafiti na Takwimu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Msaidizi, Maria Kulaya akizungumza wakati wa Kikao kazi na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (hayupo pichani), kilichofanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya wizara, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-3AA-7-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Waziri Ummy Mwalimu amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road
Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dkt. Diwani Msemo.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/LdEEyQ7uIbM/default.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9w-1z5-sMMY/XtyUNEqyIwI/AAAAAAAC6-8/kHtOZdrFWBMH65nguuIFmo91lzuYr5j4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE: MITAMBO MIPYA NIDA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9w-1z5-sMMY/XtyUNEqyIwI/AAAAAAAC6-8/kHtOZdrFWBMH65nguuIFmo91lzuYr5j4wCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mitambo hiyo ya kisasa ambayo inauwezo wa kuzalisha vitambulisho 144,000 kwa siku, ilishafungwa muda mrefu ofisini za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), na ilipaswa iwe imenza kufanya kazi tangu mwezi Aprili, mwaka huu lakini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona ilichelewa kuanza kufanya kazi...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LFae3M8UZ4/VnqsUHBdCnI/AAAAAAAION4/gu7-ykrKjEo/s72-c/IMG_0724.jpg)
WAZIRI WA AFYA AMSIMAMISHA KAZI KAIMU MKURUGENZI WA TAASISI YA OCEAN ROAD DK.DIWAN MSEMO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LFae3M8UZ4/VnqsUHBdCnI/AAAAAAAION4/gu7-ykrKjEo/s640/IMG_0724.jpg)
Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu.
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWAZIRI wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk.Diwani Msemo ili kupisha uchunguzi pamoja na mambo mengine ili kubaini mgongano wa kimaslahi ulioathiri utendaji wa taasisi hiyo chini ya kaimu mkurugenzi huyo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10