WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TEMEKE, JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8aPgkN40VP8/Xm4QXNM9plI/AAAAAAALjuY/9iJnZFpicGowXCZeJHoUM8dw8xIsZ6BZQCLcBGAsYHQ/s72-c/898ab48d-1837-4a74-beb8-b832ac8b29f0.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, masuala mbalimbali ya kikazi. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Wazirihuyo, jijini Dodoma, leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia) akiagana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g1bQiFSh6Hs/XmeYY7y0b3I/AAAAAAALibQ/5RsVZdWeWD8WEDQo7upWwzUFZmcicT0YwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-2-768x512.jpg)
RAIS, DK SHEIN AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI SIMBACHAWENE, IKULU ZANZIBAR, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-g1bQiFSh6Hs/XmeYY7y0b3I/AAAAAAALibQ/5RsVZdWeWD8WEDQo7upWwzUFZmcicT0YwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-2-768x512.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), wakati alipofika kujitambulisha na kufanya mazungunzo, Ikulu Zanzibar, leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2AA-5-1024x682.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA TUME YA JESHI LA POLISI, MAGEREZA NA UHAMIAJI JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIX-2AA-1024x682.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9JlL1qf062o/Xmt7LfuwnhI/AAAAAAALi5o/zwaSesFl_CscV67oqXAb0QQgFJV6rIspACLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-1AA-768x630.jpg)
SPIKA NDUGAI AKUTANA NA MKUU WA MKOA WA DODOMA, MKURUGENZI HALMASHAURI YA TEMEKE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9JlL1qf062o/Xmt7LfuwnhI/AAAAAAALi5o/zwaSesFl_CscV67oqXAb0QQgFJV6rIspACLcBGAsYHQ/s640/Pic-1AA-768x630.jpg)
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akutana na kuzungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge ofisini kwake Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-2AA-1-1024x713.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pic-3AAA-1-1024x643.jpg)
10 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI UMMY MWALIMU AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MASOKO YA MANISPAA ZA TEMEKE NA ILALA
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI, UMOJA WA ULAYA, ASEMA NCHI IPO SALAMA, UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA HAKI
Akizungumza na mabalozi hao waliofika kwa wakati tofauti ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo, Simbachawene amesema vyombo vyake vinaendelea kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha usalama wa raia na mali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s72-c/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Waziri Simbachawene aagiza kusimamishwa kazi kwa maafisa biashara wawili wa manispaa ya Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s400/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Simbachawene amsimamsisha kazi Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma kwa kuhusika na urasimu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene (pichani) amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma Bw. Elias N. Kamara na Bibi Donatila D. Vedasto (Afisa Biashara) kuanzia leo tarehe 30/12/2015 kwa kosa la kusababisha urasimu katika utoaji wa leseni za biashara.
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AWAONGOZA WATENDAJI WA WIZARA KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE KUWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI, BUNGENI JIJINI DODOMA, LEO