Waziri Simbachawene aagiza kusimamishwa kazi kwa maafisa biashara wawili wa manispaa ya Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s72-c/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma Bw. Elias N. Kamara na Bibi Donatila D. Vedasto (Afisa Biashara) kuanzia leo tarehe 30/12/2015 kwa kosa la kusababisha urasimu katika utoaji wa leseni za biashara.
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Simbachawene amsimamsisha kazi Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma kwa kuhusika na urasimu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene (pichani) amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma Bw. Elias N. Kamara na Bibi Donatila D. Vedasto (Afisa Biashara) kuanzia leo tarehe 30/12/2015 kwa kosa la kusababisha urasimu katika utoaji wa leseni za biashara.
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8aPgkN40VP8/Xm4QXNM9plI/AAAAAAALjuY/9iJnZFpicGowXCZeJHoUM8dw8xIsZ6BZQCLcBGAsYHQ/s72-c/898ab48d-1837-4a74-beb8-b832ac8b29f0.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TEMEKE, JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8aPgkN40VP8/Xm4QXNM9plI/AAAAAAALjuY/9iJnZFpicGowXCZeJHoUM8dw8xIsZ6BZQCLcBGAsYHQ/s640/898ab48d-1837-4a74-beb8-b832ac8b29f0.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, masuala mbalimbali ya kikazi. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Wazirihuyo, jijini Dodoma, leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/de12fbf6-b01b-4737-94b5-4659e7713a44.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia) akiagana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MULcv3hn40k/XvH4pg56ixI/AAAAAAACOU4/FLOBsRC96JUWXtO6R1PwxMp9BsOP4ApqQCLcBGAsYHQ/s72-c/2%2B%25282%2529.jpg)
RC KAGERA AAGIZA KUSIMAMISHWA KAZI WATUMISHI WANNE NA WATENDAJI WENGINE 30 KUKAMATWA WILAYANI BIHARAMULO KWA UBADHILIFU WA SH. MILIO 307.
![](https://1.bp.blogspot.com/-MULcv3hn40k/XvH4pg56ixI/AAAAAAACOU4/FLOBsRC96JUWXtO6R1PwxMp9BsOP4ApqQCLcBGAsYHQ/s400/2%2B%25282%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Biharamulo.
Mkuu wa Mkoa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaagiza Kamanda wa Polisi na Kamanda wa TAKUKURU mkoani Kagera kuwakamata watumishi 34 katika Halmashauri ya wilaya Biharamulo wakiwemo watendaji wa vijiji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SZfpc0ftlAI/XmFVP_Kd90I/AAAAAAALhaA/zeO41sR5UAU9Nt9_Nl3wa9e5gZd-Gy2WwCLcBGAsYHQ/s72-c/00.jpg)
WAZIRI MKUU AMSIMAMISHA KAZI MWEKA HAZINA KOROGWE NA MAAFISA WAWILI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mweka Hazina wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Subilaga Kapange pamoja na maafisa wengine wawili wanaosimamia ukusanyaji wa mapato katika kituo cha mabasi cha Korogwe baada ya kushindwa kuwasilisha mapato Serikalini.
“Mnakusanya fedha na kuziweka mfukoni hazipelekwi benki mnazitumia kwa matumizi yenu binafsi na kuna siku inaonesha hamjakusanya chochote, hatuwezi kuvumia hali hii hawa wote wakamatwe na wawekwe ndani na hii iwe funzo kwa waweka...
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Simbachawene afyeka wawili Dodoma
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QlxtefsWj_c/XlFHH3MBIMI/AAAAAAALe1c/R3AzGTPkVI0x_8ZIY8UuYLYyoPpVxkpuwCLcBGAsYHQ/s72-c/4c99584c-f093-41fc-a362-5005982cb182.jpg)
VISHOKA UHAMIAJI ‘WAMCHEFUA’ WAZIRI SIMBACHAWENE, AAGIZA WASAKWE POPOTE WALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-QlxtefsWj_c/XlFHH3MBIMI/AAAAAAALe1c/R3AzGTPkVI0x_8ZIY8UuYLYyoPpVxkpuwCLcBGAsYHQ/s640/4c99584c-f093-41fc-a362-5005982cb182.jpg)
10 years ago
Vijimambo05 Jan
Waziri aagiza Dawasco iwaondoe mameneja wawili
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2579182/highRes/914785/-/maxw/600/-/apy55mz/-/maji.jpg)
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla ameuagiza uongozi wa Bodi ya Kampuni ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), kuwaondoa mameneja wawili wa kampuni hiyo kutokana na wizi wa maji kufanyika kwenye maeneo yao.
Makalla amesema udhaifu unaofanywa na watendaji wa...
10 years ago
Mwananchi19 May
Waibua maswali kusimamishwa kazi kwa aliyemtumia ‘SMS’ JK
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ffpGxtRMrXc/XneHn3yBQ_I/AAAAAAALkug/Fp4c0813yns8x3_WwKfqp4DbrA8u0RfbACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-10-768x460.jpg)
SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO KAZI NA UONGOZI WA JUU WA UHAMIAJI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ffpGxtRMrXc/XneHn3yBQ_I/AAAAAAALkug/Fp4c0813yns8x3_WwKfqp4DbrA8u0RfbACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-10-768x460.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2-7-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-3-6-1024x683.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10