Simbachawene afyeka wawili Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, George Simbachawene ameagiza kusimamishwa kazi maofisa wawili wa Manispaa ya Dodoma kwa tuhuma za urasimu katika utoaji wa leseni za biashara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s72-c/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Waziri Simbachawene aagiza kusimamishwa kazi kwa maafisa biashara wawili wa manispaa ya Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s400/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ffpGxtRMrXc/XneHn3yBQ_I/AAAAAAALkug/Fp4c0813yns8x3_WwKfqp4DbrA8u0RfbACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-10-768x460.jpg)
SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO KAZI NA UONGOZI WA JUU WA UHAMIAJI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ffpGxtRMrXc/XneHn3yBQ_I/AAAAAAALkug/Fp4c0813yns8x3_WwKfqp4DbrA8u0RfbACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-10-768x460.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2-7-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-3-6-1024x683.jpg)
9 years ago
StarTV15 Dec
Simbachawene atoa siku tano kuondolewa kwa  Uchafu Uliokusanywa Dodoma
Waziri wa ofisi ya Rais, Tamisemi, utumishi na utawala bora Mheshimiwa George Simbachawene ametoa siku 5 kwa wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wote kuhakikisha uchafu uliokusanywa siku ya uhuru tarehe 9 Decemba mwaka huu wakati wa kufanya usafi unaondolewa mara moja.
Pamoja na hilo amewataka viongozi hao kuwasilisha mikakati yao ya haraka ya kuhakikisha mfumo wa kufanya usafi katika miji yao unaendelea.
Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. John Pombe Magufuli...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8aPgkN40VP8/Xm4QXNM9plI/AAAAAAALjuY/9iJnZFpicGowXCZeJHoUM8dw8xIsZ6BZQCLcBGAsYHQ/s72-c/898ab48d-1837-4a74-beb8-b832ac8b29f0.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI WA MANISPAA YA TEMEKE, JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8aPgkN40VP8/Xm4QXNM9plI/AAAAAAALjuY/9iJnZFpicGowXCZeJHoUM8dw8xIsZ6BZQCLcBGAsYHQ/s640/898ab48d-1837-4a74-beb8-b832ac8b29f0.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, masuala mbalimbali ya kikazi. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Wazirihuyo, jijini Dodoma, leo. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/de12fbf6-b01b-4737-94b5-4659e7713a44.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia) akiagana na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma,...
5 years ago
MichuziSIMBACHAWENE AWAAPISHA WATUMISHI WANNE, AONGOZA KIKAO CHA TUME JIJINI DODOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HO4gofJRXeI/XnXd9Zj662I/AAAAAAALko0/MEC-pDpcLyIUH50UqWJ6FP2dbaPpYDeDQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-9-768x458.jpg)
SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO KAZI NA UONGOZI WA JUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HO4gofJRXeI/XnXd9Zj662I/AAAAAAALko0/MEC-pDpcLyIUH50UqWJ6FP2dbaPpYDeDQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-9-768x458.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-2-6-1024x683.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Mipango,Utafiti na Takwimu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Msaidizi, Maria Kulaya akizungumza wakati wa Kikao kazi na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (hayupo pichani), kilichofanyika katika Ukumbi wa Makao Makuu ya wizara, jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PIX-3AA-7-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Simbachawene amsimamsisha kazi Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma kwa kuhusika na urasimu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene (pichani) amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma Bw. Elias N. Kamara na Bibi Donatila D. Vedasto (Afisa Biashara) kuanzia leo tarehe 30/12/2015 kwa kosa la kusababisha urasimu katika utoaji wa leseni za biashara.
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzXpzVxJ7j8q4hVIEmbW0EoR-ZBkLx9aztU51ndSzF0M2yslMWMe8bDWNE1jLxjwlqxUD4nQgxBhWed*MjbhECn4/nyuma.jpg)
MUME AFYEKA NYETI ZA MKEWE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA TUME YA JESHI LA POLISI, MAGEREZA NA UHAMIAJI JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIX-2AA-1024x682.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10