VISHOKA UHAMIAJI ‘WAMCHEFUA’ WAZIRI SIMBACHAWENE, AAGIZA WASAKWE POPOTE WALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-QlxtefsWj_c/XlFHH3MBIMI/AAAAAAALe1c/R3AzGTPkVI0x_8ZIY8UuYLYyoPpVxkpuwCLcBGAsYHQ/s72-c/4c99584c-f093-41fc-a362-5005982cb182.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Watendaji Wakuu wa Idara ya Uhamiaji Nchini, katika ukumbi wa mikutano wa Idara hilo, jijini Dar es Salaam, leo. Simbachawene amewataka Watendaji hao wawakikishe wanawakamata mawakala wa huduma za Uhamiaji (Vishoka), ambao wanawatapeli wananchi wakijitambulisha ni maafisa uhamiaji katika maeneo mbalimbali nchini. Pia aliwataka viongozi hao kutenda haki katika mchakato wa utoaji wa uraia. Picha na Wizara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NCdG222ZQWc/XlEmkrAMplI/AAAAAAAAvVQ/Ubr-mpgk7a0MI4bt4pSrzVbS4VK2yE-tACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VISHOKA UHAMIAJI WAMCHEFUA WAZIRI SIMBACHAWENE, WASAKWE POPOTE WALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NCdG222ZQWc/XlEmkrAMplI/AAAAAAAAvVQ/Ubr-mpgk7a0MI4bt4pSrzVbS4VK2yE-tACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
9 years ago
StarTV24 Dec
Waziri Kitwanga aagiza ukaguzi wa kina Uhamiaji
Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amemwagiza Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani kupeleka wakaguzi katika Idara ya Uhamiaji ili kuweza kuondoa utata na kujua malipo yanayofanyika kwa njia ya benki.
Waziri Kitwanga ametoa maagizo hayo baada ya kutembelea makao makuu ya Idara ya Uhamiaji na kujadiliana mambo mbalimbali na wakuu wa idara ili kuboresha utendaji kazi.
Mbali na Agizo hilo Waziri Kitwanga pia amewaagiza uhamiaji kukaa pamoja na Kamishna wa kazi ili kuweka utaratibu mzuri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eqffEb5qw8c/Vb-NkAJ3zRI/AAAAAAAHtqM/dqDpWbqVfYA/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eqffEb5qw8c/Vb-NkAJ3zRI/AAAAAAAHtqM/dqDpWbqVfYA/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5Wo*fcYX4qpY0xMy1x-tmhXfskyhlFyaX4Ufm-umcaXtt54969kj9HGpO-8AM2-z0ivEy2mp2Cl1xj2WF73Uu4s/001.MPAWA.jpg?width=650)
M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AAA-768x512.jpg)
WAZIRI SIMBACHAWENE AONGOZA KIKAO CHA TUME YA JESHI LA POLISI, MAGEREZA NA UHAMIAJI JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-L6XKePmEVkQ/Xt5GupBt7VI/AAAAAAALtFI/MTxiTcTIK28XXt5zwyrxlcWB4zj0FPVEACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIX-2AA-1024x682.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s72-c/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Waziri Simbachawene aagiza kusimamishwa kazi kwa maafisa biashara wawili wa manispaa ya Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Inhgnwe7blg/VoPnoXOeUHI/AAAAAAAIPa4/qbfDSIYXuTU/s400/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Kutokana na hali hiyo Mhe. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma kumuondoa kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vVcPfg4Jkkc/UxnWEzpTKII/AAAAAAACbzM/omIOP4odsWQ/s72-c/unnamed.jpg)
Wanafunzi wa Sekondari Tanzania Sasa Wanaweza Kujadiliana Mtandaoni Popote Walipo
![](http://4.bp.blogspot.com/-vVcPfg4Jkkc/UxnWEzpTKII/AAAAAAACbzM/omIOP4odsWQ/s1600/unnamed.jpg)
Kwa siku za hivi karibuni matokeo ya mitihani yamekuwa sio mazuri sana na kuna baadhi ya watu wengi wanalaumu mitandao ya kijamii na internet kwa hili, kwamba inawafanya wanafunzi wawe busy kufanya mambo yasiyo ya msingi na kusahau kusoma.
Kwa kiasi Fulani ni kweli kwani kumekuwa na ongezeko la idadi ya vijana nchini Tanzania wanaojiunga na mitandao ya kijamii na internet kwa ujumla. Hata hivyo, ongezeko hili sio jambo la kuliangalia kwa jicho baya bali kulikumbatia kwani linaweza...
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI MASAUNI ATEMBELEA UHAMIAJI, AAGIZA MAKAMPUNI YENYE KUAJIRI WAGENI YACHUNGUZWE
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Alex Msama atangaza vita na wezi wa kazi za wasanii, asema watasakwa popote walipo
Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dar es salaam Bw. Alex Msama akimwaga furushi lililojaa CD na DVD feki za kazi mbaimbali za wasanii zinazorudufiwa kwa wizi na watu wasiokuwa waaminifu hivyo kupelekea hasara kubwa kwa wasanii, kwakuwa kazi hizo haziwaingizii kipato chochote zaidi ya kwanufaisha wezi hao, Kazi hizi zimekamatwa katika maeneo mbalimbali jijini Dar es salaam ikiwa ni pamoja na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengeneza kazi hizo katika msako huo. Thamani ya...