Wanafunzi wa Sekondari Tanzania Sasa Wanaweza Kujadiliana Mtandaoni Popote Walipo
![](http://4.bp.blogspot.com/-vVcPfg4Jkkc/UxnWEzpTKII/AAAAAAACbzM/omIOP4odsWQ/s72-c/unnamed.jpg)
Kwa siku za hivi karibuni matokeo ya mitihani yamekuwa sio mazuri sana na kuna baadhi ya watu wengi wanalaumu mitandao ya kijamii na internet kwa hili, kwamba inawafanya wanafunzi wawe busy kufanya mambo yasiyo ya msingi na kusahau kusoma.
Kwa kiasi Fulani ni kweli kwani kumekuwa na ongezeko la idadi ya vijana nchini Tanzania wanaojiunga na mitandao ya kijamii na internet kwa ujumla. Hata hivyo, ongezeko hili sio jambo la kuliangalia kwa jicho baya bali kulikumbatia kwani linaweza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eqffEb5qw8c/Vb-NkAJ3zRI/AAAAAAAHtqM/dqDpWbqVfYA/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eqffEb5qw8c/Vb-NkAJ3zRI/AAAAAAAHtqM/dqDpWbqVfYA/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5Wo*fcYX4qpY0xMy1x-tmhXfskyhlFyaX4Ufm-umcaXtt54969kj9HGpO-8AM2-z0ivEy2mp2Cl1xj2WF73Uu4s/001.MPAWA.jpg?width=650)
M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NCdG222ZQWc/XlEmkrAMplI/AAAAAAAAvVQ/Ubr-mpgk7a0MI4bt4pSrzVbS4VK2yE-tACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VISHOKA UHAMIAJI WAMCHEFUA WAZIRI SIMBACHAWENE, WASAKWE POPOTE WALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-NCdG222ZQWc/XlEmkrAMplI/AAAAAAAAvVQ/Ubr-mpgk7a0MI4bt4pSrzVbS4VK2yE-tACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QlxtefsWj_c/XlFHH3MBIMI/AAAAAAALe1c/R3AzGTPkVI0x_8ZIY8UuYLYyoPpVxkpuwCLcBGAsYHQ/s72-c/4c99584c-f093-41fc-a362-5005982cb182.jpg)
VISHOKA UHAMIAJI ‘WAMCHEFUA’ WAZIRI SIMBACHAWENE, AAGIZA WASAKWE POPOTE WALIPO
![](https://1.bp.blogspot.com/-QlxtefsWj_c/XlFHH3MBIMI/AAAAAAALe1c/R3AzGTPkVI0x_8ZIY8UuYLYyoPpVxkpuwCLcBGAsYHQ/s640/4c99584c-f093-41fc-a362-5005982cb182.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Alex Msama atangaza vita na wezi wa kazi za wasanii, asema watasakwa popote walipo
Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dar es salaam Bw. Alex Msama akimwaga furushi lililojaa CD na DVD feki za kazi mbaimbali za wasanii zinazorudufiwa kwa wizi na watu wasiokuwa waaminifu hivyo kupelekea hasara kubwa kwa wasanii, kwakuwa kazi hizo haziwaingizii kipato chochote zaidi ya kwanufaisha wezi hao, Kazi hizi zimekamatwa katika maeneo mbalimbali jijini Dar es salaam ikiwa ni pamoja na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengeneza kazi hizo katika msako huo. Thamani ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-88bgRenlEUc/VYcvlCYc7RI/AAAAAAAHiOk/lkYigOAbjNQ/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
Chef Issa aanzisha whatsapp group la Ma-Chef wa Kitanzania popote walipo duniani
![](http://2.bp.blogspot.com/-88bgRenlEUc/VYcvlCYc7RI/AAAAAAAHiOk/lkYigOAbjNQ/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Wateja wa Tigo sasa wanaweza kufurahia nyimbo millioni 36 kwenye simu zao za mkononi za smartphones
Meneja Chapa wa Tigo Bw. William Mpinga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Tigo Music( Tigo Kiboko Yako) ambayo itawawezesha wasanii wa ndani kuweza kupata kipato kwa kusikilizwa nyimbo zao kupitia simu za mkononi, pia itaambatana na tamasha kubwa litakalofanyika tarehe 24 mwezi huu viwanja vya Leaders Kinondoni.
Tigo Tanzania imetangaza uzinduzi wa Muziki wa Tigo ujulikanao kama “Tigo Music” kwa kushirikiana na Deezer, ambayo ni huduma ya kimataifa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SeezoJYZp4g/VNh4NBBAjYI/AAAAAAAAelE/V_RDo7Pmi3U/s72-c/kimbulu.png)
Mzee Majuto Sasa anapatikana Mtandaoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-SeezoJYZp4g/VNh4NBBAjYI/AAAAAAAAelE/V_RDo7Pmi3U/s1600/kimbulu.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s72-c/unnamed.jpg)
Kuweka Umeme Afrika: Mkutano kufanyika Tanzania kujadiliana kuhusu mageuzi katika sekta ya kawi Nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/--xAirmRwi8c/Vkt-mMrwArI/AAAAAAAIGek/ilyEFNW4EpU/s640/unnamed.jpg)
Mkutano wa kila mwaka wa Kuwezeka umeme Afrika: Kongamano la Uwekezaji la Tanzania litafanyika Hyatt Regency Dar es Saalam, Hoteli ya Kilimanjaro kuanzia 3-4 Desemba 2015
Mkutano ule utalenga siku za usoni za sekta ya kawi ya Tanzania kufuatia uchaguzi wa hivi majuzi, kutambua nafasi za uwekezaji na kubuni maushurikiano muhimu kati ya wahusika kutoka sekta ya kibinafsi na ya umma. Dhibitisho za hivi karibuni za January Makamba, Mbunge wa Bumbuli, Tanzania, waakilishi kutoka...