M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI

Baadhi ya Mabalozi wa Vodacom Tanzania wanaoenda kutoa elimu kwa wateja wa kampuni hiyo na wananchi kwa ujumla kuhusiana na huduma ya M-Pawa wakimsikiliza Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa kampuni hiyo,Kelvin Twissa wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ‘M-Pawa Tumekufikia’ yenye lengo la kuwaelimisha wateja wake nchi nzima kuhusiana na manufaa ya huduma ya M Pawa inayowawezesha kujiwekea akiba na kujipatia mikopo nafuu kwa urahisi zaidi.Uzinduzi huo ulifanyika makao makuu ya kampuni hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI
5 years ago
CCM Blog
VISHOKA UHAMIAJI WAMCHEFUA WAZIRI SIMBACHAWENE, WASAKWE POPOTE WALIPO

11 years ago
Michuzi
Wanafunzi wa Sekondari Tanzania Sasa Wanaweza Kujadiliana Mtandaoni Popote Walipo

Kwa siku za hivi karibuni matokeo ya mitihani yamekuwa sio mazuri sana na kuna baadhi ya watu wengi wanalaumu mitandao ya kijamii na internet kwa hili, kwamba inawafanya wanafunzi wawe busy kufanya mambo yasiyo ya msingi na kusahau kusoma.
Kwa kiasi Fulani ni kweli kwani kumekuwa na ongezeko la idadi ya vijana nchini Tanzania wanaojiunga na mitandao ya kijamii na internet kwa ujumla. Hata hivyo, ongezeko hili sio jambo la kuliangalia kwa jicho baya bali kulikumbatia kwani linaweza...
5 years ago
Michuzi
VISHOKA UHAMIAJI ‘WAMCHEFUA’ WAZIRI SIMBACHAWENE, AAGIZA WASAKWE POPOTE WALIPO

11 years ago
Dewji Blog01 Sep
Alex Msama atangaza vita na wezi wa kazi za wasanii, asema watasakwa popote walipo
Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dar es salaam Bw. Alex Msama akimwaga furushi lililojaa CD na DVD feki za kazi mbaimbali za wasanii zinazorudufiwa kwa wizi na watu wasiokuwa waaminifu hivyo kupelekea hasara kubwa kwa wasanii, kwakuwa kazi hizo haziwaingizii kipato chochote zaidi ya kwanufaisha wezi hao, Kazi hizi zimekamatwa katika maeneo mbalimbali jijini Dar es salaam ikiwa ni pamoja na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengeneza kazi hizo katika msako huo. Thamani ya...
10 years ago
Michuzi
Chef Issa aanzisha whatsapp group la Ma-Chef wa Kitanzania popote walipo duniani

11 years ago
Habarileo01 Jul
Nagu: Wekezeni walipo wananchi
SERIKALI imesema ipo haja ya kuwekeza katika sekta ambazo wananchi wengi ndipo walipo ili waweze kunufaika na kukua kwa uchumi pamoja na kupunguza umasikini.
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
PSPF kupitia PSS yazidi kuchimba hadi mizizi katika kufanikisha kuwafikia wananchi kwa urahisi
Afisa mfuko wa pensheni wa PSPF Hadji.H.Jamadary akizungumza namna yakuweza kufaidika na uchangiaji wa hiari katika mfuko wa pensheni wa PSS.
Leo katika kuendelea kuchimba kwa mizizi kwa kuwapa elimu wananchi mbalimbali mfuko wa pensheni wa PSPF katika mpango wa kuchangia kwa hiari Pss umeweza kuwafikia wananchi wa Tandika na mashirika mbalimbali wameweza kuhudhuria katika semina hiyo iliyo andaliwa na mfuko huo
Semina hiyo ililenga katika wafanya biashara wa aina mbalimbali ambao...
11 years ago
GPLPSPF KUPITIA PSS YAZIDI KUCHIMBA HADI MIZIZI KATIKA KUFANIKISHA KUWAFIKIA WANANCHI KWA URAHISI