Nagu: Wekezeni walipo wananchi
SERIKALI imesema ipo haja ya kuwekeza katika sekta ambazo wananchi wengi ndipo walipo ili waweze kunufaika na kukua kwa uchumi pamoja na kupunguza umasikini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eqffEb5qw8c/Vb-NkAJ3zRI/AAAAAAAHtqM/dqDpWbqVfYA/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-eqffEb5qw8c/Vb-NkAJ3zRI/AAAAAAAHtqM/dqDpWbqVfYA/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5Wo*fcYX4qpY0xMy1x-tmhXfskyhlFyaX4Ufm-umcaXtt54969kj9HGpO-8AM2-z0ivEy2mp2Cl1xj2WF73Uu4s/001.MPAWA.jpg?width=650)
M-PAWA KUWAFIKIA WANANCHI POPOTE WALIPO MTAANI
10 years ago
Habarileo22 Jan
Dk Nagu ataka wananchi wawezeshwe kiuchumi
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amesema kazi ya kuwawezesha wananchi kiuchumi si ya serikali pekee na kuwataka wadau mbalimbali na taasisi za fedha kutumia sehemu ya faida yake kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi.
10 years ago
Mwananchi26 Aug
‘Wazazi wekezeni katika elimu’
10 years ago
Habarileo27 Mar
Marais: Wekezeni kwenye miundombinu
WAKUU wa nchi za Afrika Mashariki wanaounda Ukanda wa Kati, wametoa rai kwa wawekezaji na wadau, kutumia fursa iliyopo sasa kuwekeza kwenye sekta ya miundombinu.
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Prof. Msola: Wekezeni katika elimu
MBUNGE wa Kilolo, Profesa Peter Msola, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwekeza katika elimu kwa kupeleka watoto shule ili kuondokana na janga la kukosa elimu. Profesa Msola aliyasema hayo wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SStMXlPdMT0/VUtmTqLkQ_I/AAAAAAAC4GA/WbkYTDW-Z0U/s72-c/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
WATANZANIA WEKEZENI KWENYE VIWANDA - PINDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SStMXlPdMT0/VUtmTqLkQ_I/AAAAAAAC4GA/WbkYTDW-Z0U/s320/Waziri-Mkuu-wa-Tanzania-Mizengo-Pinda1.jpg)
Ametoa wito huo jana jioni (Jumatano, Mei 6, 2015) baada ya kutembelea maonyesho ya biashara ya Syria yanayoendelea kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na baadhi ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania pamoja na wafanyabiashara kadhaa,...
10 years ago
Habarileo28 Apr
Shimbo: Watanzania wekezeni katika ardhi
WATANZANIA wameshauriwa kuwekeza katika ardhi nyumbani na kuifanya njia ya kuwasaidia vijana na wananchi wengine kujiepusha na biashara ya dawa za kulevya.
10 years ago
Habarileo09 Jan
‘Asasi za kiraia wekezeni katika elimu ya uraia’
ASASI za kiraia zimetakiwa kuwekeza katika elimu ya uraia na kuelimisha jamii kuhusu haki zao hasa kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.