Prof. Msola: Wekezeni katika elimu
MBUNGE wa Kilolo, Profesa Peter Msola, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwekeza katika elimu kwa kupeleka watoto shule ili kuondokana na janga la kukosa elimu. Profesa Msola aliyasema hayo wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Aug
‘Wazazi wekezeni katika elimu’
10 years ago
Habarileo09 Jan
‘Asasi za kiraia wekezeni katika elimu ya uraia’
ASASI za kiraia zimetakiwa kuwekeza katika elimu ya uraia na kuelimisha jamii kuhusu haki zao hasa kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
VijimamboMATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa wa Iringa kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi huo kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Bw Hassan Mtenga alisema kuwa ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qFGU0VaijQc/Vb9-0DHQMrI/AAAAAAAHtn4/fEITNbW-rik/s72-c/Peter_Msolla.jpg)
NEWS ALERT: MATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qFGU0VaijQc/Vb9-0DHQMrI/AAAAAAAHtn4/fEITNbW-rik/s400/Peter_Msolla.jpg)
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa wa Iringa kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi huo kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Bw Hassan Mtenga ...
10 years ago
Habarileo28 Apr
Shimbo: Watanzania wekezeni katika ardhi
WATANZANIA wameshauriwa kuwekeza katika ardhi nyumbani na kuifanya njia ya kuwasaidia vijana na wananchi wengine kujiepusha na biashara ya dawa za kulevya.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
VETA YASHIRIKI MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI KATIKA MKUTANO WA KWANZA WA KAMATI YA WATAALAM WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA UNAOFANYIKA KATIKA OFISI ZA UMOJA WA AFRIKA JIJINI ADDIS ABABA, ETHIOPIA TAREHE 27 HADI 31 OKTOBA,2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y14M7rReJeM/VjICn7OGmiI/AAAAAAAIDWE/60u8Dd9xRo0/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4PkxV6XZZaQ/VjICoBJ-4pI/AAAAAAAIDWM/bImrWxjTvWs/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IFgLUv0c7to/VjIColnyljI/AAAAAAAIDWI/iAkTWoQ-mGU/s640/New%2BPicture.png)
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Prof Kahigi: Serikali ifanyie mabadiliko sekta ya elimu
MBUNGE wa Bukombe, Profesa Kulikoyela Kahigi (CHADEMA), ameitaka serikali kuifanyia mabadiliko sekta ya elimu kwa kuzingatia hali ya utandawazi iliyopo, ili kuepukana na changamoto mbalimbali zinazojitokeza. Profesa Kahigi alitoa ushauri...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpeg)
WAZIRI WA ELIMU PROF. NDALICHAKO ATANGAZA RATIBA ZA MITIHANI NA MASOMO
![](https://1.bp.blogspot.com/-_FNj4QjTAnc/XunJYvXFD_I/AAAAAAAC7wY/EPhqvB4bze0DngbR0Mb7ko4001VcRY6VgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpeg)
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma, Waziri Ndalichako amesema muhula wa kwanza wa masomo utamalizika Agosti 28 mwaka huu na kuanza kwa muhula mpya utakaoishia Desemba 18 mwaka huu.
Prof Ndalichako amesema ili kukamilisha muhtasari wa masomo shule...
11 years ago
MichuziProf. Mchome awataka Watumishi wa Wizara ya Elimu kuwa Wabunifu
“Watumishi wa Wizara hii tunatakiwa tujiulize tunafanya ubunifu gani ili kuhakisha wahitimu katika ngazi mbalimbali wanapata maarifa yanayotakiwa na wanaoweza kusaidia nchi...