NEWS ALERT: MATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qFGU0VaijQc/Vb9-0DHQMrI/AAAAAAAHtn4/fEITNbW-rik/s72-c/Peter_Msolla.jpg)
Na MatukiodaimaBlog
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa wa Iringa kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi huo kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Bw Hassan Mtenga ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa wa Iringa kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi huo kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Bw Hassan Mtenga alisema kuwa ...
9 years ago
Vijimambo29 Oct
Wasira agomea matokeo yaliyompa ushindi Bulaya
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Wasira-29OCT2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza juzi jioni, Wasira alisema matokeo ya ubunge yalichakachuliwa kutokana na uhesabuji kura kutofuata utaratibu.
Wasira alisema...
11 years ago
Michuzi09 Feb
NEWS ALERT: CCM WASHINDA KATA ZOTE TATU MKOA WA IRINGA, CHADEMA YASHINDA NJOMBE MJINI
10 years ago
Michuzi09 Sep
NEWS ALERT: TCD YATOA TAMKO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA UCHAGUZI MKUU WA 2015
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LwEeRL6CzAA/UyXLxFVjK3I/AAAAAAAAMVA/-v54O7c_jho/s72-c/2.jpg)
NEWS ALERT:Matokeo ya Awali yasiyo rasmi kutoka vituo mbalimbali uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Kalenga.
![](http://1.bp.blogspot.com/-LwEeRL6CzAA/UyXLxFVjK3I/AAAAAAAAMVA/-v54O7c_jho/s1600/2.jpg)
CCM 98 ,Chadema 20, CHAUSTA 0 Ipamba no2. CCM 104, Chadema 10,CHAUSTA 0 Isakulilo CCM 83,Chadema 8,CHAUSTA 0
Kilindi A CCM 69 ,Chadema 23, CHAUSTA 0 Ofisi ya Kijiji(Kilindi) CCM 117, Chadema 53, CHAUSTA0 Zahanati CCM 117,Chadema 67, CHAUSTA 1 Ifunda Kivalali A CCM 99 Chadema 19 CHAUSTA 0 Kivalali B CCM 109 Chadema 14, CHAUSTA 1 Muwimbi CCM164, Chadema 22 CHAUSTA 0
Mahanzi CCM 130 Chadema 46 CHAUSTA 0 Ikungwe A CCM 131 Chadema 23 CHAUSTA 0 Ikungwe B CCM 216 Chadema 13 CHAUSTA...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s72-c/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
News alert: CCM yachukua tena Jimbo la Kiembesamaki Yaibuka na Ushindi wa Asilimia 75.1
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s1600/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: ASKARI WA TATU WAJERUHIWA NA MLIPUKO WA BOMU SONGEA
(Picha Zote na demasho.com)-------------
ASKARI watatu wa jeshi la Polisi wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma (Homso) iliyopo mjini songea Mkoani humo wakiwa wanapatiwa matibabu ya majeraha ambayo waliyapata baada ya kushambuliwa kwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni Bomu la kurushwa kwa mkono.
Tukio hilo limetokea September 16, 2014 majira ya saa moja na nusu jioni katika kata ya Msufini karibu na daraja la Matarawe,...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yafutwa, uchaguzi kurudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde visiwani Zanzibar.
Modewji blog itawaletea taarifa zaidi hapo baadae.