MATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO
Na MatukiodaimaBlog
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa wa Iringa kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi huo kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Bw Hassan Mtenga alisema kuwa ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qFGU0VaijQc/Vb9-0DHQMrI/AAAAAAAHtn4/fEITNbW-rik/s72-c/Peter_Msolla.jpg)
NEWS ALERT: MATOKEO YALIYOMPA USHINDI MBUNGE PROF MSOLA KATA TATU YATUPWA ,UCHAGUZI KURUDIA KESHO TAKUKURU WAANZA KUCHUNGUZA MCHAKATO MZIMA KILOLO
![](http://1.bp.blogspot.com/-qFGU0VaijQc/Vb9-0DHQMrI/AAAAAAAHtn4/fEITNbW-rik/s400/Peter_Msolla.jpg)
CHAMA Cha mapinduzi ( CCM) mkoa wa Iringa kimefuta matokeo ya kata tatu za jimbo la Kilolo matokeo yaliyokuwa yakimpa ushindi mkubwa mbunge anaemaliza muda wake Prof Peter Msola na kuagiza uchaguzi huo kurudiwa kesho
Matokeo hayo ambayo yamekataliwa na wagombea wote yanadaiwa kupachikwa katika vituo vya kata hizo tatu japo hata hivyo hayana uhalisia ukilinganisha na idadi ya wanachama wa maeneo husika .
Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Bw Hassan Mtenga ...
9 years ago
Vijimambo29 Oct
Wasira agomea matokeo yaliyompa ushindi Bulaya
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Wasira-29OCT2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza juzi jioni, Wasira alisema matokeo ya ubunge yalichakachuliwa kutokana na uhesabuji kura kutofuata utaratibu.
Wasira alisema...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Rpy73Ww7DYw/Vi5oS3W0_RI/AAAAAAAADKs/-RlW7cZXHLg/s72-c/GANDO.png)
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Prof. Msola: Wekezeni katika elimu
MBUNGE wa Kilolo, Profesa Peter Msola, amewataka wananchi wa jimbo hilo kuwekeza katika elimu kwa kupeleka watoto shule ili kuondokana na janga la kukosa elimu. Profesa Msola aliyasema hayo wakati...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-XTKYkZb53v8/Vc8syl7XL0I/AAAAAAABFEI/cRuIPwwBlqg/s72-c/BALL.jpg)
TFF YAIRUHUSU DRFA KUENDELEA NA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA TEFA,KAMA ULIVYOPANGWA KUFANYIKA KESHO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XTKYkZb53v8/Vc8syl7XL0I/AAAAAAABFEI/cRuIPwwBlqg/s320/BALL.jpg)
Baada ya ruhusa hiyo Uongozi wa DRFA umemuandikia barua katibu wa TEFA Kasim Mustapha ili aijulishe kamati ya uchaguzi ya chama hicho kuendelea na mchakato huo kama kawaida.
Awali TFF iliiandikia barua DRFA kushauri kusimamishwa kwa uchaguzi huo,kutokana na...
9 years ago
VijimamboMBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE APINGWA KUPITA BILA KUPINGWA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
VijimamboJUMUIYA YA WAZAZI YA CCM KATA YA SINZA YAWASHUKURU WANACHAMA WAKE KWA KUKIPA USHINDI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akiwahutubia wanaccm wa Kata ya Sinza katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kufuatia kukipa ushindi chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s72-c/2.jpg)
HANDENI MJINI KURUDIA KURA ZA MAONI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s640/2.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo, Novemba 02,2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili kwa kina mapendekezo ya wana CCM walioomba ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo la Handeni mjini.
Kamati Kuu imetengua mapendekezo ya awali na kuagiza kurejewa kwa mchakato wa kura za maoni kwa wana -CCM wawili...