Dk Nagu ataka wananchi wawezeshwe kiuchumi
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk Mary Nagu amesema kazi ya kuwawezesha wananchi kiuchumi si ya serikali pekee na kuwataka wadau mbalimbali na taasisi za fedha kutumia sehemu ya faida yake kuwasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
RC Dk. Kone ataka wanawake Singida wawezeshwe kiuchumi ili kuachana na vitendo vya ukeketaji
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye ufungaji wa kongamano la siku mbili la ukeketaji lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Katala Hotel Beach mjini Singida. Kongamano hilo lilihudhuriwa na wadau kutoka mikoa mitano hapa nchini ukiwemo wa Singida. Kongamano hilo lililoratibiwa na TAMWA na UNFPA, kwa kauli moja pamoja na mambo mengine, limeazimia kuongeza mapambano dhidi ya ukeketaji na kuitaka jamii katika mikoa yote nchini kuondokana na mila potofu na...
11 years ago
Habarileo01 Jul
Nagu: Wekezeni walipo wananchi
SERIKALI imesema ipo haja ya kuwekeza katika sekta ambazo wananchi wengi ndipo walipo ili waweze kunufaika na kukua kwa uchumi pamoja na kupunguza umasikini.
11 years ago
Habarileo21 Mar
Kingunge ataka katiba yenye haki za kiuchumi
MWANASIASA nguli nchini, Kingunge Ngombale-Mwirlu ameshauri kuandikwe katiba yenye haki za kiuchumi ili kuleta maendeleo ya wananchi. Kingunge alieleza hayo wakati akichangia kwenye semina ya wajumbe wa bunge hilo juu ya uzoefu wa Kenya kwenye kupata katiba mpya ulioelezwa na Mwanasheria Mkuu mstaafu wa nchi hiyo aliyekaa madarakani kwa miaka 21 na kushiriki kwa karibu katika uandishi wa katiba mpya, Amos Wako.
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Wananchi wauzungumziaje mwaka 2014 kiuchumi?
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gVv9jv7va4A/VdxJOuKaTMI/AAAAAAAHz10/6fWVNtZfyIA/s72-c/1.jpg)
NYUMBU KUENDELEA KUWAWEZESHA WANANCHI KUJIINUA KIUCHUMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-gVv9jv7va4A/VdxJOuKaTMI/AAAAAAAHz10/6fWVNtZfyIA/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-VLZKrQDTZwo/VdxJOiiii2I/AAAAAAAHz1s/Z_nQSMJI-NA/s640/2.jpg)
9 years ago
VijimamboMaalim Seif kuifungua Zanzibar kiuchumi na kibiashara pindipo akipata ridhaa za wananchi
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3IWCI33roVM/VgOZh09RqiI/AAAAAAAC_h8/qPsbWG-DAgc/s72-c/IMG_0052.jpg)
DKT FENELA MUKANGARA AAHIDI KUWAINUA KIUCHUMI WANANCHI WA KIBAMBA KUPITIA SACCOS
![](http://4.bp.blogspot.com/-3IWCI33roVM/VgOZh09RqiI/AAAAAAAC_h8/qPsbWG-DAgc/s640/IMG_0052.jpg)
akiahidi kuwainua kiuchumi wananchi wa kibamba kupitia SACCOS yao jijini Dar es Salaa jana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-prZ25pohlUo/VgObeG6e6sI/AAAAAAAC_iM/UqAFNmqNkr8/s640/IMG_0059.jpg)
10 years ago
MichuziWANANCHI WANATAKA USIMAMIZI WA FEDHA ZAO KATIKA KUWALETEA MAENDELEO YA KIUCHUMI -CAG
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bPVO-wKCjWk/VFNmtBqwZDI/AAAAAAADL8U/hL-6Lq0pvM4/s72-c/Uwezeshaji.jpg)
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LACHOCHEA UBORA WA UTENGENEZAJI SAMANI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bPVO-wKCjWk/VFNmtBqwZDI/AAAAAAADL8U/hL-6Lq0pvM4/s1600/Uwezeshaji.jpg)
KAMPUNI ya Furniture Centre (FCDL), na Shirikisho la Watengenezaji Samani Nchini (TAWOFE), wamesaini makubaliano (MoU) kuongeza ubora wa bidhaa za samani zinazotengenezwa nchini na kuzifanya zipate soko ndani na nje ya nchi.Makubaliano haya yamekamilika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ikiwa ni mwendelezo wa Tathimini iliyofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani, katika kuiwezesha...