Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI WANATAKA USIMAMIZI WA FEDHA ZAO KATIKA KUWALETEA MAENDELEO YA KIUCHUMI -CAG

 Kaimu Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Jasper Mero akizungumza mkutano wa kupanga mikakati  ya Fedha  katika ofisi ya mdhibiti wa fedha za serikali CAG, leo jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wadau wa wadau wa kuandaa mikakati ya  Ofisi  ya CAG wakimsikiliza Kaimu Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Jasper Mero mkutano wa kupanga mikakati  ya Fedha  katika ofisi ya mdhibiti wa fedha za serikali CAG, leo jijini Dar es Salaam.Kaimu Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Lowassa ahidi kuwaletea wananchi maendeleo akichaguliwa

Mgombea urais kwa tiketi ya vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Edwar Lowassa amesema iwapo atapata fursa ya kuchaguliwa kuwa rais wa Tanzania atahakikisha anawaletea wananchi maendeleo kwakutumia fursa zilizopo ndani ya nchi.

Lowassa ametoa kauli hiyo wakati akiwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya stendi Wilayani Kahama na kusema kuwa anauhakika wa kuwafanya watanzania kutoka katika hali ya umaskini kwa kuwaletea maendeleo ya...

 

9 years ago

StarTV

Anne Kilango aahidi kuwaletea wananchi maendeleo

Wakati Watanzia wakikaribia kwenye uchaguzi mkuu kuwachagua Wabunge Madiwani pamoja na Rais Mgombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM katika Jimbo la Same Mashariki Anne Kilango ameahidi kusimamia vyema ilani ya chama chake katika kuwaletea maendeleo wananchi hususani kwenye nyanja ya uchumi endapo atapata ridhaa kwa mara nyingine kuwa mbunge wa jimbo hilo.

Kilango ameyasema hayo katika mkutano wake wa kampeni wa kuomba kura kwa wananchi uliofanyika kwenye Kata ya Gonja Maore wilayani...

 

10 years ago

Vijimambo

WANANCHI WANAIONA RUSHWA KAMA UPOTEVU WA FEDHA ZAO

wangependa Rais achukue hatua
Lakini ni wachache tu wanaounga mkono adhabu kali kwa viongozi wala rushwa

24 Februari 2015, Dar es Salaam: Wananchi saba kati ya kumi (69%) wanasema rushwa zilizoripotiwa kwenye ripoti ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ni upotevu wa fedha zao (za umma). Zaidi ya nusu ya wananchi (55%) wanaamini kuwa aina hii ya rushwa inagusa sana maisha ya yao ya kila siku, na watatu kati ya kumi (31%) wangependa kutaarifiwa kuhusu matokeo ya...

 

9 years ago

Michuzi

UDHAIFU WA USIMAMIZI WA MIRADI MBALIMBALI NI CHANGAMOTO KATIKA KULETA KASI YA MAENDELEO NDANI YA JAMII

Tanzania ya leo, imepitia mabadiliko mengi yanayogusa kila sekta tangu ilipojikomboa na kuwa nchi huru baada miaka 53 ya utawala wa kikoloni. Kwa mfano, katika kipindi hicho hadi sasa, nchi imeshuhudia kuimarika kwa huduma mbalimbali za kijamii. Kwa uchache, huduma hizi ni pamoja na afya, elimu, demokrasia, utalii, viwanda na miundombinu mbalimbali. 
 Katika sekta ya elimu, ongezeko kubwa la shule kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu limeshuhudiwa. Hii ni moja ya hatua kubwa kuwahi kufikiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Fedha za maendeleo haziwafikii wananchi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa fedha zinazoidhinishwa na Bunge la Bajeti la Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shughuli za maendeleo ya wananchi...

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII AFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MUNGURI, KONDOA- DODOMA

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dkt. Pindi Hazara Chana (wa tatu kulia) akipatiwa maelezo wakati akikagua utoaji wa mafunzo katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, Kondoa, akiwa ameambatana na Uongozi wa Wilaya ya Kondoa.
Mheshimiwa Dkt. Pindi Chana akiwa katika ziara hii ya Kikazi alipata fursa ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Munguri, kondoa ambacho ni miongoni mwa vyuo 55 vinavyotoa mafunzo ya elimu ya...

 

5 years ago

Michuzi

RC SHINYANGA AZINDUA RASMI MRADI WA MIJADALA JUMUISHI KATIKA MASUALA YA UCHUMI NA USIMAMIZI WA RASILIMALI FEDHA



Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza wakati wa Kuzindua rasmi Mradi wa Mijadala Jumuishi katika Masuala ya Uchumi na Usimamizi wa Rasilimali Fedha unaotekelezwa na Shirika la Save The Children leo Ijumaa Juni 12,2020 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Albert Msovela. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiwasisitiza wadau na wananchi kulinda na kutunza watoto...

 

10 years ago

Vijimambo

BENKI YA KIARABU YA MAENDELEO YA UCHUMI YA AFRIKA ( BADEA)YATOA DOLA ZA KIMAREKANI MILIONI 12.0 SAWA NA FEDHA ZA KITANZANIA SHILINGI BILIONI 20.1 KUSAIDIA MAENDELEO KATIKA WILAYA YA SAME NA MWANGA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Tanzania wakiwa tayari kutiliana saini mkataba wa makubaliano ya mradi wa maji katika Wilaya ya Same na Mwanga. Aliye kushoto kwake ni Eng. Yousef I. Al-Bassam ambaye ni Makamu wa Mwenyekiti na Mkurugenzi Msimamizi wa mfuko wa maendeleo wa Saudia.Fedha hizo zimetoka BADEA.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile akitia saini makubaliano ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA KIUCHUMI NA MAENDELEO WA MISRI (EGYPT THE FUTURE).

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (katikati) akiwa na baadhi ya viongozi kutoka mataifa mbalimbali wakati akiwa katika mkutano wa Kiuchumi na maendeleo wa Misri, uliofunguliwa jana Machi 13, 2015 na Rais wa Misri, Abdel-Fattah El- Sisi, mjini Sharm El-Sheikh, Misri.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia katika mkutano wa Kiuchumi na maendeleo wa Misri, uliofunguliwa jana Machi 13, 2015 na Rais wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani