WANANCHI WANAIONA RUSHWA KAMA UPOTEVU WA FEDHA ZAO
wangependa Rais achukue hatua
Lakini ni wachache tu wanaounga mkono adhabu kali kwa viongozi wala rushwa24 Februari 2015, Dar es Salaam: Wananchi saba kati ya kumi (69%) wanasema rushwa zilizoripotiwa kwenye ripoti ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ni upotevu wa fedha zao (za umma). Zaidi ya nusu ya wananchi (55%) wanaamini kuwa aina hii ya rushwa inagusa sana maisha ya yao ya kila siku, na watatu kati ya kumi (31%) wangependa kutaarifiwa kuhusu matokeo ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL16 Sep
KAMANDA MPINGA: WANANCHI TUPENI TAARIFA KAMA KUNA VITENDO VYA RUSHWA
10 years ago
MichuziWANANCHI WANATAKA USIMAMIZI WA FEDHA ZAO KATIKA KUWALETEA MAENDELEO YA KIUCHUMI -CAG
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/hKWWybVeX_0/default.jpg)
9 years ago
StarTV19 Dec
Wafanyakazi 10 wa TANESCO wasimamishwa kazi kwa Madai Ya Upotevu Wa Fedha
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limewasimaisha kazi wafanyakazi wake 10 baada ya kubainika kuhusika na wizi wa umeme kwenye mfumo wa mita kwenye minara ya simu uliosababisha upotevu wa mapato wa zaidi ya Shingili Milioni 100.
Miongoni mwa wafanyakazi hao ni pamoja na mafundi, wahasibu na wahandisi umeme ambao wanadaiwa kushirikiana na wateja kuhujumu shirika hilo kwa kupokea rushwa na kisha kusambaza umeme unaotumika bila kulipwa.
Desemba 14, mwaka huu Shirika hili lilitangaza kupata...
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Wachezaji wa Ghana walipwa fedha zao
11 years ago
Habarileo11 Jul
Sumaye: Rushwa inaumiza wananchi
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, ametaja aina tatu ya rushwa zinazoitafuna nchi, ambazo ni rushwa kujikimisha haramu, rushwa ulafi na rushwa madaraka uroho.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aEz0r1Anq0w/VanQ3bKZDuI/AAAAAAAAJCs/-sFjm90S4zQ/s72-c/Said%2BMkinda%252C%2BMshindi%2BLindi.jpg)
Washindi wa Kopa Bayport wakabidhiwa fedha zao
![](http://2.bp.blogspot.com/-aEz0r1Anq0w/VanQ3bKZDuI/AAAAAAAAJCs/-sFjm90S4zQ/s320/Said%2BMkinda%252C%2BMshindi%2BLindi.jpg)
Washindi wanne wa Kopa Bayport wakabidhiwa fedha zaoNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWATEJA wanne wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, walioshinda Sh Milioni Moja kila mmoja katika bahati...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
Kwanini wananchi walinde kura zao?
Na Rashid Abdallah Mwanzoni mwa wiki juzi , Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) ilivionya vyama vya siasa kuacha mara moja kuwahamasisha wapiga kura, kuwa karibu na vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura zao […]
The post Kwanini wananchi walinde kura zao? appeared first on Mzalendo.net.