Sumaye: Rushwa inaumiza wananchi
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, ametaja aina tatu ya rushwa zinazoitafuna nchi, ambazo ni rushwa kujikimisha haramu, rushwa ulafi na rushwa madaraka uroho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania16 May
Sumaye akemea rushwa, ubinafsi
NA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema lawama zinazotolewa na wananchi nchini zinatokana na kukithiri kwa rushwa, ufisadi, ubinafsi na uwepo wa biashara za dawa za kulevya hapa nchini.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, wakati wa maadhimisho ya siku ya kazi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii (IST).
“Binadamu wenye uzalendo na maadili mema wanawajali wenzao na hawawezi kuangamiza maisha ya wengine, wakiwamo vijana kwa kufanya biashara ya dawa za kulevya...
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Sumaye: Tulijikwaa kudhibiti rushwa
WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, amesema taifa limetumbukia kwenye rushwa kubwa hivi sasa kwa sababu hatua hazikuchukuliwa kwa watu waliokuwa wakiyatenda makosa hayo. Alisema kuachwa kwa watu hao kulifanya tatizo...
10 years ago
Habarileo16 Oct
Sumaye- Wala rushwa wengi matajiri
WAZIRI Mkuu wa zamani Frederick Sumaye, ameendelea kuelezea jinsi anavyoumizwa na suala la rushwa katika jamii, huku akisema wenye uwezo mkubwa kifedha ndio tatizo, hivyo wasifumbiwe macho.
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Sumaye: Sijawahi kutoa, kupokea rushwa
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hajawahi kutoa wala kupokea rushwa. Waziri mkuu huyo anayejipambanua kwa kupiga vita rushwa alisisitiza kwamba katika kipindi cha miaka 20 aliyokuwa Mbunge wa Hanang’...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Sumaye: Rushwa ikizidi CCM nitajiondoa
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Rushwa kwenye chaguzi, ufisadi vyamchukiza Sumaye
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Mkapa amvaa Sumaye akidai anapotosha wananchi
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa
10 years ago
Vijimambo24 Feb
WANANCHI WANAIONA RUSHWA KAMA UPOTEVU WA FEDHA ZAO
Lakini ni wachache tu wanaounga mkono adhabu kali kwa viongozi wala rushwa
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2012/03/4.-Wananchi-wakiwa-kwenye-mkutano-wa-Kata-ya-Mbuguni.jpg)