Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye: Sijawahi kutoa, kupokea rushwa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hajawahi kutoa wala kupokea rushwa. Waziri mkuu huyo anayejipambanua kwa kupiga vita rushwa alisisitiza kwamba katika kipindi cha miaka 20 aliyokuwa Mbunge wa Hanang’...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mbunge: Sijawahi kupokea rushwa kutoka kwa Liana

MBUNGE wa Bahi, Omary Badwell (CCM) ameieleza Mahakama kuwa hajawahi kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga, Sipora Liana.

 

10 years ago

GPL

SANDRA: SIJAWAHI KUTOA RUSHWA YA NGONO KWA ‘DAIREKTA’

Na Imelda Mtema
MSANII wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’ amefunguka kuwa tangu ameanza kujihusisha na mambo ya sanaa hajawahi kuwa na bwana ndani ya klabu ya Bongo Movies na wala hajawahi kutoa rushwa ya ngono kwa ‘dairekta’ kama ilivyo kwa wengine. Msanii wa siku nyingi katika tansia ya filamu Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’. Akizungumza na mwandishi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waumbuana kupokea rushwa bungeni

Mbunge wa Viti Maalum, Suzan Kiwanga (Chadema), amewaumbua wabunge wenzake kuwa wanapeana na kuchukua rushwa ndani ya Bunge.

 

10 years ago

Mwananchi

DC awasimamisha kazi mgambo kwa kupokea rushwa

Mkuu wa Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita, Amani Mwenegoha amewasimamisha kazi mgambo wa Kata ya Igulwa baada ya kutuhumiwa kupokea rushwa na kuwaachia wahalifu.

 

10 years ago

Mwananchi

Repoa: Takukuru ilikithiri kwa kupokea rushwa 2014

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetajwa katika utafiti kuwa ni kati ya taasisi zilizoshika nafasi za juu kwa kupokea rushwa katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Rushwa inaumiza wananchi

WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, ametaja aina tatu ya rushwa zinazoitafuna nchi, ambazo ni rushwa kujikimisha haramu, rushwa ulafi na rushwa madaraka uroho.

 

10 years ago

Mtanzania

Sumaye akemea rushwa, ubinafsi

sumayeNA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema lawama zinazotolewa na wananchi nchini zinatokana na kukithiri kwa rushwa, ufisadi, ubinafsi na uwepo wa biashara za dawa za kulevya hapa nchini.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, wakati wa maadhimisho ya siku ya kazi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii (IST).

“Binadamu wenye uzalendo na maadili mema wanawajali wenzao na hawawezi kuangamiza maisha ya wengine, wakiwamo vijana kwa kufanya biashara ya dawa za kulevya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye: Tulijikwaa kudhibiti rushwa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, amesema taifa limetumbukia kwenye rushwa kubwa hivi sasa kwa sababu hatua hazikuchukuliwa kwa watu waliokuwa wakiyatenda makosa hayo. Alisema kuachwa kwa watu hao kulifanya tatizo...

 

5 years ago

Michuzi

AFUNGWA MIEZI TANO JELA BABATI KWA KUPOKEA RUSHWA

MKAZI wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Idd Sulle amehukumiwa kwenda jela miezi mitano kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa ya shilingi 120,000.
Hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati, Victor Kimaro alitoa hukumu hiyo jana mjini Babati kwenye mahakama hiyo. 
Hakimu huyo alisema mahakama hiyo inamtia hatiani Sulle kwenye kesi hiyo ya jinai namba CC 92/2020 baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na wakili wa Takukuru Evelyine Onditi. 
Hakimu Kimaro alisema hata hivyo, washtakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani