Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye: Tulijikwaa kudhibiti rushwa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, amesema taifa limetumbukia kwenye rushwa kubwa hivi sasa kwa sababu hatua hazikuchukuliwa kwa watu waliokuwa wakiyatenda makosa hayo. Alisema kuachwa kwa watu hao kulifanya tatizo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Sumaye akemea rushwa, ubinafsi

sumayeNA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema lawama zinazotolewa na wananchi nchini zinatokana na kukithiri kwa rushwa, ufisadi, ubinafsi na uwepo wa biashara za dawa za kulevya hapa nchini.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, wakati wa maadhimisho ya siku ya kazi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii (IST).

“Binadamu wenye uzalendo na maadili mema wanawajali wenzao na hawawezi kuangamiza maisha ya wengine, wakiwamo vijana kwa kufanya biashara ya dawa za kulevya...

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Rushwa inaumiza wananchi

WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, ametaja aina tatu ya rushwa zinazoitafuna nchi, ambazo ni rushwa kujikimisha haramu, rushwa ulafi na rushwa madaraka uroho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye: Sijawahi kutoa, kupokea rushwa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hajawahi kutoa wala kupokea rushwa. Waziri mkuu huyo anayejipambanua kwa kupiga vita rushwa alisisitiza kwamba katika kipindi cha miaka 20 aliyokuwa Mbunge wa Hanang’...

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye: Rushwa ikizidi CCM nitajiondoa

Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amesema iwapo misingi ya uchaguzi ndani ya CCM italalia kwenye rushwa, hataendelea kuwa mwanachama na kuonya kuwa tatizo hilo limefikia pabaya na litakiangusha chama hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Sumaye- Wala rushwa wengi matajiri

WAZIRI Mkuu wa zamani Frederick Sumaye, ameendelea kuelezea jinsi anavyoumizwa na suala la rushwa katika jamii, huku akisema wenye uwezo mkubwa kifedha ndio tatizo, hivyo wasifumbiwe macho.

 

11 years ago

Mwananchi

Rushwa kwenye chaguzi, ufisadi vyamchukiza Sumaye

>Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema angefarijika kama wanasiasa wanaojiandaa kugombea Urais mwaka 2015, wangekemea vitendo vya rushwa na ufisadi hadharani.

 

10 years ago

Mwananchi

Mchakato wa Katiba Mpya: Tulijikwaa wapi na tutoke vipi-2

Kama tulivyoona katika sehemu ya kwanza, kuna kasoro kwenye mchakato wa Katiba Mpya unaondelea nchini lakini Tume ya jaji Warioba, hususan Rasimu, ina uhalali mkubwa zaidi wa kisheria na hata wa kisiasa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mla rushwa atamkamataje mtoa rushwa?

‘SIASA’ yaweza kutafsiriwa hivi: shughuli za serikali, wanachama wa asasi za kutunga sheria au watu wanaojaribu kufanya maamuzi kuhusiana na jinsi nchi inavyotawaliwa. Pia mkakati wa kuendesha jambo kwa kutumia...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA

SAM_2509Mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa kutoka Ghana Mh.Daniel Batidam akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha katika ukumbi wa mikutano AICC katika kuangalia jinsi gani wataweza kupambana na kufikia malengo ya kutokomeza Rushwa ndani ya Bara La Africa.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)SAM_2498Makamu Mwenyekiti bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa Mh.Florince...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani