Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rushwa kwenye chaguzi, ufisadi vyamchukiza Sumaye

>Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema angefarijika kama wanasiasa wanaojiandaa kugombea Urais mwaka 2015, wangekemea vitendo vya rushwa na ufisadi hadharani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RUSHWA IMESHAMIRI, CHAGUZI ZIJAZO TUTASHUHUDIA MENGI

Jaji Joseph Warioba. Rushwa ni miongoni mwa vichocheo vikubwa vya umaskini hapa nchini Tanzania.
Siyo kichocheo cha umaskini tu, bali pia ni kikwazo kikubwa cha maendeleo katika nchi ambazo shida hii imeshamiri na kuota mizizi. Rushwa iliyokithiri katika nchi yoyote, huathiri utawala bora na kushindwa hata kwa nguvu za soko kiuchumi katika nchi husika.Rushwa iliyokithiri siyo tatizo linaloikumba Tanzania peke yake, bali dunia...

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Rushwa inaumiza wananchi

WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, ametaja aina tatu ya rushwa zinazoitafuna nchi, ambazo ni rushwa kujikimisha haramu, rushwa ulafi na rushwa madaraka uroho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye: Tulijikwaa kudhibiti rushwa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, amesema taifa limetumbukia kwenye rushwa kubwa hivi sasa kwa sababu hatua hazikuchukuliwa kwa watu waliokuwa wakiyatenda makosa hayo. Alisema kuachwa kwa watu hao kulifanya tatizo...

 

10 years ago

Mtanzania

Sumaye akemea rushwa, ubinafsi

sumayeNA MWANDISHI WETU, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema lawama zinazotolewa na wananchi nchini zinatokana na kukithiri kwa rushwa, ufisadi, ubinafsi na uwepo wa biashara za dawa za kulevya hapa nchini.

Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, wakati wa maadhimisho ya siku ya kazi ya Chuo cha Ustawi wa Jamii (IST).

“Binadamu wenye uzalendo na maadili mema wanawajali wenzao na hawawezi kuangamiza maisha ya wengine, wakiwamo vijana kwa kufanya biashara ya dawa za kulevya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rushwa,ufisadi kikwazo Afrika

Vitendo vya rushwa,ufisadi na utawala mbovu ni kikwazo kwa maendeleo ya miji

 

11 years ago

Habarileo

Sumaye- Wala rushwa wengi matajiri

WAZIRI Mkuu wa zamani Frederick Sumaye, ameendelea kuelezea jinsi anavyoumizwa na suala la rushwa katika jamii, huku akisema wenye uwezo mkubwa kifedha ndio tatizo, hivyo wasifumbiwe macho.

 

11 years ago

Mwananchi

Sumaye: Rushwa ikizidi CCM nitajiondoa

Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amesema iwapo misingi ya uchaguzi ndani ya CCM italalia kwenye rushwa, hataendelea kuwa mwanachama na kuonya kuwa tatizo hilo limefikia pabaya na litakiangusha chama hicho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye: Sijawahi kutoa, kupokea rushwa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema hajawahi kutoa wala kupokea rushwa. Waziri mkuu huyo anayejipambanua kwa kupiga vita rushwa alisisitiza kwamba katika kipindi cha miaka 20 aliyokuwa Mbunge wa Hanang’...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye awaasa waliomo kwenye ndoa

ALIYEKUWA Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewashauri waliomo kwenye ndoa kuvumiliana katika mambo mbalimbali ili kuepuka chuki inayoweza kusababisha mauaji. Sumaye alisema hayo juzi mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani