Mla rushwa atamkamataje mtoa rushwa?
‘SIASA’ yaweza kutafsiriwa hivi: shughuli za serikali, wanachama wa asasi za kutunga sheria au watu wanaojaribu kufanya maamuzi kuhusiana na jinsi nchi inavyotawaliwa. Pia mkakati wa kuendesha jambo kwa kutumia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Jun
CCM ikisimamisha mla rushwa, itapoteza dola, asema Wassira
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira amesema iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya kosa kumsimamisha mgombea mla rushwa, kitapoteza dola.
10 years ago
Dewji Blog08 Jun
VIDEO Sheikh Sharifu: Kiongozi Fisadi, Mla Rushwa na atakaetumia shiriki kutopita Uchaguzi Mkuu 2015
Shekeh Sharifu alizungumza na Waandishi wa Habari Juu ya Swala zima la Uchaguzi Mkuu 2015 na kusema kuwa Mwaka huu Kiongozi atatoka kwa Mungu Kiongozi Fisadi, Mla Rushwa na atakae Tumia Shiriki hatopita katika Uchaguzi Huu.
Sharifu amewataka viongozi wote wanaotaka kugombea basi waende wakaombewe wamegungua zoezi maalumu kuhusu maombi ya Viongozi ambao watagombea Mwaka Huu, Na kusema kuwa kiongozi yeyote ambaye atatumia shiriki hatokaa madarakani atapata ajili kutokana na mwaka huu...
10 years ago
Vijimambo11 May
WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA
![SAM_2509](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/9-k5J5k6fm9jZTkuMpDrMhitlwBqEw_7Tpv94yj-R37as0YwVtKE2Cv376zcE5eCeFdx1PuN5OdL4Pf9Y4akzA2LAdr8f35CXyk_QtU9446J_Q4=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2509.jpg)
![SAM_2498](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/iFmxPrDRlg6bKxDo_mmRvhFvNMyonw6Z2OilMaPInkVnjjRupaGxhm8awC7a72tCFbRiea7S1lhvQtncqYkPyrXgxrfBjX46jXjoAcTwhulz8lE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2498.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Feb
WAZUWIA RUSHWA NI WALARUSHWA WAKUBWA!!!! HII INACHEKESHA - NCHI HII IMEKWISHA - RUSHWA TOP TO BOTTOM!!!
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/rushwa-feb7-2015.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Rushwa Chadema
ZIMEIBUKA tuhuma za rushwa kwenye kura za maoni ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuzua hofu miongoni mwa wafuatiliaji wa siasa nchini.
Kwa muda mrefu chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimekuwa kikijipambanua na kuaminika mbele ya wananchi kama mpambanaji mkubwa wa rushwa, lakini safari hii hali imeanza kubadilika.
Taarifa zilizolifikia gazeti hili jana na juzi zinadai kuwa wakati wa kura za maoni Jimbo la Segerea, wanachama wa Chadema walilalamika kuwepo...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Wabunge wanuka rushwa
WAKATI muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha. Kuenea kwa taarifa za...
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Tupige vita rushwa
MACHI 20 mwaka huu ilikuwa ni Siku ya Mashairi Duniani ambayo iliwekwa kimataifa na Shirika la UNESCO kujikumbusha juu ya umuhimu wa mashairi katika kuelimisha. Makala ya leo inahusu matumizi...
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Kero la rushwa mahakamani TZ
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
'Rushwa' ya Damu Tanzania