Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mla rushwa atamkamataje mtoa rushwa?

‘SIASA’ yaweza kutafsiriwa hivi: shughuli za serikali, wanachama wa asasi za kutunga sheria au watu wanaojaribu kufanya maamuzi kuhusiana na jinsi nchi inavyotawaliwa. Pia mkakati wa kuendesha jambo kwa kutumia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

CCM ikisimamisha mla rushwa, itapoteza dola, asema Wassira

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen WassiraWAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira amesema iwapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitafanya kosa kumsimamisha mgombea mla rushwa, kitapoteza dola.

 

10 years ago

Dewji Blog

VIDEO Sheikh Sharifu: Kiongozi Fisadi, Mla Rushwa na atakaetumia shiriki kutopita Uchaguzi Mkuu 2015

Shekeh Sharifu alizungumza na Waandishi wa Habari Juu ya Swala zima la Uchaguzi Mkuu 2015 na kusema kuwa Mwaka huu Kiongozi atatoka kwa Mungu Kiongozi Fisadi, Mla Rushwa na atakae Tumia Shiriki hatopita katika Uchaguzi Huu.

Sharifu amewataka viongozi wote wanaotaka kugombea basi waende wakaombewe wamegungua zoezi maalumu kuhusu maombi ya Viongozi ambao watagombea Mwaka Huu, Na kusema kuwa kiongozi yeyote ambaye atatumia shiriki hatokaa madarakani atapata ajili kutokana na mwaka huu...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA

SAM_2509Mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa kutoka Ghana Mh.Daniel Batidam akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Arusha katika ukumbi wa mikutano AICC katika kuangalia jinsi gani wataweza kupambana na kufikia malengo ya kutokomeza Rushwa ndani ya Bara La Africa.(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)SAM_2498Makamu Mwenyekiti bodi ya ushauri ya kupambana na maswala ya rushwa katika umoja wa Africa Mh.Florince...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZUWIA RUSHWA NI WALARUSHWA WAKUBWA!!!! HII INACHEKESHA - NCHI HII IMEKWISHA - RUSHWA TOP TO BOTTOM!!!

Dk Edward Hoseah, Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru)Licha Kama hajatawala mwendawazimu mmoja na akawafyeka vitanzi akina Chenge na wenziwe, nchi hii itabakia na rushwa milele! Wamo pia maofisa TRA, mahakimu na majaji Vyombo vya habari vyapongezwa�'vikaze buti'ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kutakiwa kuzuia rushwa, maofisa wake wametajwa kuwa vinara wa kula rushwa, utafiti umebaini.Aidha, utafiti uliofanywa na Afrobarometer umebaini kuwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rushwa Chadema

ZIMEIBUKA tuhuma za rushwa kwenye kura za maoni ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuzua hofu miongoni mwa wafuatiliaji wa siasa nchini.

Kwa muda mrefu chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimekuwa kikijipambanua na kuaminika mbele ya wananchi kama mpambanaji mkubwa wa rushwa, lakini safari hii hali imeanza kubadilika.

Taarifa zilizolifikia gazeti hili jana na juzi zinadai kuwa wakati wa kura za maoni Jimbo la Segerea, wanachama wa Chadema walilalamika kuwepo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge wanuka rushwa

WAKATI muswada wa kupunguza misamaha ya kodi unatarajia kujadiliwa wakati wowote, kuna hofu kwamba baadhi ya wabunge wamehongwa na wafanyabiashara waliopiga kambi mjini hapa ili kuukwamisha. Kuenea kwa taarifa za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tupige vita rushwa

MACHI 20 mwaka huu ilikuwa ni Siku ya Mashairi Duniani ambayo iliwekwa kimataifa na Shirika la UNESCO kujikumbusha juu ya umuhimu wa mashairi katika kuelimisha. Makala ya leo inahusu matumizi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kero la rushwa mahakamani TZ

Wiki hii katika Haba na Haba tunaangalia tatizo la rushwa katika mfumo wa mahakama nchini Tz

 

10 years ago

BBCSwahili

'Rushwa' ya Damu Tanzania

Katika eneo la Kaskazini Magharibi Tanzania baadhi ya wananchi wanalalamika kuuziwa damu ya binadamu kwenye baadhi ya hospitali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani