Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tupige vita rushwa

MACHI 20 mwaka huu ilikuwa ni Siku ya Mashairi Duniani ambayo iliwekwa kimataifa na Shirika la UNESCO kujikumbusha juu ya umuhimu wa mashairi katika kuelimisha. Makala ya leo inahusu matumizi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Vijimambo

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Habarileo

Serikali kuendelea kupiga vita rushwa

SERIKALI imesema itaendelea kupambana na changamoto ya rushwa katika biashara na uwekezaji hapa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Waandishi waaswa kupiga vita rushwa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWAANDISHI wa Habari wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wametakiwa kutumia kalamu zao kupambana na rushwa sambamba na kusisitiza demokrasia na utawala bora katika nchi zao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yatangaza vita dhidi ya Rushwa

Rais Uhuru Kenyata ametangaza kuwa Rushwa ni tishio la usalama wa taifa.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania ya pili vita dhidi ya rushwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika amesema Tanzania inashika nafasi ya pili kati ya nchi tano za Shirikisho la Afrika Mashariki katika suala la utawala bora na vita dhidi ya rushwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa

Anasema hali hiyo si nzuri na inatoa changamoto mpya katika vita dhidi ya rushwa hasa kutokana na wananchi wengi kupoteza imani katika vita hiyo, kwa kuwa ndiyo wanaoathirika moja kwa moja na hawaoni hatua zozote madhubuti kukomesha na kuwashughulikia watuhumiwa wa matukio hayo.

 

10 years ago

Habarileo

Samia amkubali Magufuli vita dhidi ya rushwa

MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Hassan Suluhu, amemnadi mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli kwamba hana mchezo na vitendo vya rushwa jambo litakaloleta maendeleo zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani