Samia amkubali Magufuli vita dhidi ya rushwa
MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Hassan Suluhu, amemnadi mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli kwamba hana mchezo na vitendo vya rushwa jambo litakaloleta maendeleo zaidi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Jun
Tanzania ya pili vita dhidi ya rushwa
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika amesema Tanzania inashika nafasi ya pili kati ya nchi tano za Shirikisho la Afrika Mashariki katika suala la utawala bora na vita dhidi ya rushwa.
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Kenya yatangaza vita dhidi ya Rushwa
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini na vita dhidi ya rushwa
11 years ago
Dewji Blog17 Jun
Waziri Mkuchika: Tanzania ni nchi ya pili Afrika Mashariki kwa Utawala Bora na Vita dhidi ya Rushwa
Brass Band ya Jeshi la Polisi ikiongoza maandamano ya Maadhimishi ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyoanza kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salam.
Hussein Makame-MAELEZO
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika amesema kuwa Tanzania inashika nafasi ya pili kati ya nchi tano za Shirikisho la Afrika Mashariki katika suala la Utawala Bora na vita dhidi ya Rushwa.
Waziri Mkuchika amayasema hayo wakati akizindua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma...
10 years ago
Mwananchi14 Jul
Jaji Warioba amkubali Magufuli
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Kwa Magufuli, vita dhidi ya mafisadi iwe kwa vitendo
WAHENGA walinena; nyota njema huonekana asubuhi.
Maggid Mjengwa
9 years ago
Habarileo12 Nov
Ban Ki-moon amkubali Rais Magufuli
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Kimoon ameeleza imani yake kwa Rais John Magufuli akisema chini ya uongozi wake, Serikali ya Tanzania itashughulika na juhudi za kuondoa umaskini, kuimarisha utawala na kupigania amani na utulivu katika Afrika Mashariki na nje ya ukanda.