Ban Ki-moon amkubali Rais Magufuli
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Kimoon ameeleza imani yake kwa Rais John Magufuli akisema chini ya uongozi wake, Serikali ya Tanzania itashughulika na juhudi za kuondoa umaskini, kuimarisha utawala na kupigania amani na utulivu katika Afrika Mashariki na nje ya ukanda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
BAN KI MOON ATAMBUA MCHANGO WA RAIS JAKAYA KIKWETE
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Vijimambo
BAN KI MOON ATAMBUA MCHANGO WA RAIS JAKAYA KIKWETE

10 years ago
Mwananchi14 Jul
Jaji Warioba amkubali Magufuli
>Siku moja baada ya CCM kumpitisha Dk John Magufuli kuwa mgombea wake wa urais, Waziri mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema chama hicho kimefanya uamuzi sahihi kwa kuwa waziri huyo wa ujenzi ni mchapakazi na hakutumia fedha kuipata nafasi hiyo.
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Habarileo26 Aug
Samia amkubali Magufuli vita dhidi ya rushwa
MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Hassan Suluhu, amemnadi mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli kwamba hana mchezo na vitendo vya rushwa jambo litakaloleta maendeleo zaidi.
11 years ago
BBC
10 years ago
BBCSwahili24 Aug
Ban Ki Moon ziarani Nigeria
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki-moon amewasili jana nchini Nigeria kuanza ziara ya siku mbili.
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Ban Ki moon afanya maamuzi magumu
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki-moon, amesema amemfukuza mkuu wa kulinda amani toka UN nchini Afrika ya kati.
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Ban Ki Moon akemea machafuko, Nigeria
Katibu mkuu wa umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon amekemea machafuko yanayoendelea nchini Nigeria
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania