Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAN KI MOON ATAMBUA MCHANGO WA RAIS JAKAYA KIKWETE

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon akizungumza siku ya Jumanne, wakati wa uzinduzi wa ripoti mpya kuhusu mkakati wa kimataifa wa kila mwanamke, kila mtoto ambao Ban Ki Moon aliuanzisha mwaka 2010.  Ripoti hiyo inaonyesha kuwa vuguvugu hilo ambalo kwa ushirikiano baina ya wadau mbalimbali zikiwamo serikali, mashirika ya kimataifa, asasi zisizo za kiserikali, wasomi, wanaharakati na sekta binafsi zimewezesha kuokoa maisha ya wanawake na watoto 2.4 milioni.katika picha hii ya maktaba...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BAN KI MOON ATAMBUA MCHANGO WA RAIS JAKAYA KIKWETE

Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Katibu Mkuu Ban Ki Moon, wakifurahia jambo walipokuta katika moja ya mikutano ya kimataifa. Akielezea nini kilichosababaisha vuguvugu hilo la kila mwanamke, kila mtoto kuwa na mafanikio makubwa.Ban Ki Moon alisema utashi wa kisiasa na utayari ulioonyeshwa na viongozi mbalimbali akiwamo Rais Jakaya Kikwete ndio baadhi ya sababu zilizochangia kufanikiwa kwa mkakati huo. Rais Kikwete akiwa mwenyekiti mwenza na Waziri Mkuu wa Canada walisimamia ...

 

10 years ago

Michuzi

BAN KI MOON SALUTES PRESIDENT KIKWETE

The following is a congratulatory message from Ban Ki Moon, Secretary General of the United Nations to H.E. Jakayla Mish Kikwete, President of the United Republic of Tanzania on the occasion of the Union Day which was cerebrated of 26 April 2015.
“You’re Excellency,
I am Pleased to offer you and the Government and people of the United Republic of Tanzania my warmest congratulations on the occasion of the Union This year marks the 70th anniversary of the United Nations,...

 

9 years ago

Habarileo

Ban Ki-moon amkubali Rais Magufuli

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Kimoon ameeleza imani yake kwa Rais John Magufuli akisema chini ya uongozi wake, Serikali ya Tanzania itashughulika na juhudi za kuondoa umaskini, kuimarisha utawala na kupigania amani na utulivu katika Afrika Mashariki na nje ya ukanda.

 

10 years ago

Michuzi

PRESIDENT KIKWETE MEETS UN SECRETARY GENERAL BAN KI-MOON IN NEW YORK

The Chairman of the United Nations High-level Panel on the Global Response to Health Crisis President Jakaya Kikwete on Monday met and held talks with UN Secretary General Ban Ki-moon in New York.
This was the first time President Kikwete met the UN Chief since he appointed him to chair the panel, whose 0ther members include those from Brazil, Switzerland, Indonesia, Botswana and the United States.
President Kikwete and Mr Ban Ki-moon reviewed the  terms of reference of the panel which  is...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ATAMBUA MCHANGO WA TAASISI YA CUSHMAN NA WAKEFIELD ILIYOSAIDIA UJENZI WA SEKONDARI YA MIONO YA MKOANI PWANI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kushoto) akimkabidhi cheti Bwana Boris Van Haare Heijmeijer Meneja wa Ulaya wa taasisi ya Cushman na Wakefield cha kutambua mchango wa taasisi hiyo wa kusaidia ujenzi wa Sekondari ya Miono ya Mkoani Pwani. Taasisi hiyo imechangia Shilingi Bilioni 1.2 na imehaidi kuongeza Shilingi Milioni Mia Mbili. Balozi Kamala ameishukuru taasisi hiyo na ameiomba iendelee kusaidia shule hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

President Kikwete meets Stepehn Harper, Melinda Gates and Ban ki Moon in Canada

 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete(left) insists a point during a health break conversation with Canadian Prime Minister Right Honorable Stephen Harper (center)  and Mrs. Melinda Gates who is a co-chair and trustee of the Bill and Melinda Gates Foundation in Toronto Canada. President Kikwete is on a three-day working visit in Canada at the invitation of the Canadian Prime Minister participating in a summit on Maternal, Newborn and child Health.  President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meets...

 

11 years ago

Michuzi

President Kikwete, Canadian Prime Minister Stephen Harper and Ban Ki Moon hold a Joint Press Conference in canada

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete speaks during a closing joint press conference at the end of Summit on Maternal, Newborn and Child Health held at Fairmont Royal York hotel in Toronto, Canada, this morning. Centre is the Summit Co-Chair and host Canadian Prime Minister Right Honorable Stephen Harper and right is U.N. Secretary General Ban ki Moon.Photo by Freddy Maro.

 

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal amwakilisha Rais Jakaya Kikwete, azindua HALOTEL TANZANIA

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati) akizungumza jambo na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, wakati walipokuwa kwenye Hafla ya uzinduzi wa Mtandao mpya wa simu za Halotel Tanzania, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, jana usiku Okt 15, 2015. Picha na OMR

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Edgar Lungu wa Zambia Aandaa Dhifa Kwa Heshima ya Rais Jakaya Kikwete

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Edgar Lungu wa Zambia wakigonga glasi wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoiandaa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akigonga glasi na Rais wa Kwanza wa taifa la Zambia Dkt.Kenneth Kaunda wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete jijini Lusaka Zambia jana jioni.Rais Kikwete ambaye alikuwa katika ziara ya siku mbili nchini Zambia tayari amerejea jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani