BALOZI KAMALA ATAMBUA MCHANGO WA TAASISI YA CUSHMAN NA WAKEFIELD ILIYOSAIDIA UJENZI WA SEKONDARI YA MIONO YA MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-k5VxYeDBUeo/VDUpF4XSUUI/AAAAAAAGorE/gjRZ6KCVvAM/s72-c/unnamed.jpg)
Balozi wa Tanzania Ubelgiji, Luxembourg na Jumuiya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kushoto) akimkabidhi cheti Bwana Boris Van Haare Heijmeijer Meneja wa Ulaya wa taasisi ya Cushman na Wakefield cha kutambua mchango wa taasisi hiyo wa kusaidia ujenzi wa Sekondari ya Miono ya Mkoani Pwani. Taasisi hiyo imechangia Shilingi Bilioni 1.2 na imehaidi kuongeza Shilingi Milioni Mia Mbili. Balozi Kamala ameishukuru taasisi hiyo na ameiomba iendelee kusaidia shule hiyo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hBZN131hlkk/Xtywq7TTQQI/AAAAAAALs5g/bbPKhgW35Ngn548h-mFXZ1rUQwtnQu42wCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200607-102026_1591515051646.png)
MBUNGE WA CHALINZE AKABIDHI VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA MIONO MKOANI PWANI
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwan Kikwete, amekabidhi vifaa tiba katika kituo cha afya cha Miono,Mkoani Pwani vilivyotolewa kwa hisani ya taasisi ya kifedha ya Stanbic.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya chalinze,alisema vifaa hivi vitakuwa neema na mkombozi kwa mahitaji wa afya kutokana na baada ya ukamilikaji wa chumba cha Upasuaji ambacho kitahudumia wananchi wa maeneo hayo hususan wakina mama wakati wa kujifungua na huduma za upasuaji.
"Nimekuwa nikikosa...
Akikabidhi vifaa hivyo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya chalinze,alisema vifaa hivi vitakuwa neema na mkombozi kwa mahitaji wa afya kutokana na baada ya ukamilikaji wa chumba cha Upasuaji ambacho kitahudumia wananchi wa maeneo hayo hususan wakina mama wakati wa kujifungua na huduma za upasuaji.
"Nimekuwa nikikosa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DfH2af40-cI/VoLIvaIoPQI/AAAAAAAIPSo/y-RTYq4x0XY/s72-c/21764469-e493-479c-839b-790554c74e7b.jpg)
BALOZI KAMALA AAGANA VIONGOZI WA TAASISI YA WAFANYABIASHARA YA UBELIGIJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DfH2af40-cI/VoLIvaIoPQI/AAAAAAAIPSo/y-RTYq4x0XY/s640/21764469-e493-479c-839b-790554c74e7b.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3yphXHl9opU/VQA--VCSBNI/AAAAAAAHJjM/4HcogNLz9QU/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
BAN KI MOON ATAMBUA MCHANGO WA RAIS JAKAYA KIKWETE
![](http://1.bp.blogspot.com/-3yphXHl9opU/VQA--VCSBNI/AAAAAAAHJjM/4HcogNLz9QU/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q_V6WM4lvbk/VQA--LmVxiI/AAAAAAAHJjI/3fEi07qGdsk/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-eIEYUeHvsag/VQBmimacnJI/AAAAAAADbzw/1C8paQdQBCA/s72-c/593373%2B-%2BCopy.jpg)
BAN KI MOON ATAMBUA MCHANGO WA RAIS JAKAYA KIKWETE
![](http://4.bp.blogspot.com/-eIEYUeHvsag/VQBmimacnJI/AAAAAAADbzw/1C8paQdQBCA/s1600/593373%2B-%2BCopy.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gbQg1mDiQjY/U8-DksDCq7I/AAAAAAAF5Fo/vxHSm8iR90o/s72-c/unnamed+(61).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA UWEKEZAJI NA BIASHARA YA BRUSSELS
![](http://1.bp.blogspot.com/-gbQg1mDiQjY/U8-DksDCq7I/AAAAAAAF5Fo/vxHSm8iR90o/s1600/unnamed+(61).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-b9FWGbtx1yc/Uv3i4bw90MI/AAAAAAAFNIs/AyU3oddsBRg/s72-c/photo.jpg)
MSHAURI WA ULAYA WA TAASISI YAKUDHIBITI MAGONJWA YA MIFUGO AKUTANA NA BALOZI KAMALA
![](http://3.bp.blogspot.com/-b9FWGbtx1yc/Uv3i4bw90MI/AAAAAAAFNIs/AyU3oddsBRg/s1600/photo.jpg)
11 years ago
MichuziBALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA USALAMA WA CHAKULA YA UBELGIJI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--Uc4jte378c/U3xnivx9IjI/AAAAAAAFkKY/JOpYaxyy5zA/s72-c/unnamed+(9).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MENEJA WA UWEKEZAJI WA TAASISI YA UWEKEZAJI YA WALLONIA YA UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/--Uc4jte378c/U3xnivx9IjI/AAAAAAAFkKY/JOpYaxyy5zA/s1600/unnamed+(9).jpg)
9 years ago
VijimamboMAHAFALI YA KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI BWAWANI INAYOMILIKIWA NA JESHI LA MAGEREZA YAFANA MKOANI PWANI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania