MBUNGE WA CHALINZE AKABIDHI VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA MIONO MKOANI PWANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-hBZN131hlkk/Xtywq7TTQQI/AAAAAAALs5g/bbPKhgW35Ngn548h-mFXZ1rUQwtnQu42wCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200607-102026_1591515051646.png)
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwan Kikwete, amekabidhi vifaa tiba katika kituo cha afya cha Miono,Mkoani Pwani vilivyotolewa kwa hisani ya taasisi ya kifedha ya Stanbic.
Akikabidhi vifaa hivyo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya chalinze,alisema vifaa hivi vitakuwa neema na mkombozi kwa mahitaji wa afya kutokana na baada ya ukamilikaji wa chumba cha Upasuaji ambacho kitahudumia wananchi wa maeneo hayo hususan wakina mama wakati wa kujifungua na huduma za upasuaji.
"Nimekuwa nikikosa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI AMBULANCE KITUO CHA AFYA CHALINZE
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA BANTU SPORTS AND FITNESS ENTERPRISE WATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE YA MSINGI MIONO, CHALINZE PWANI
11 years ago
GPLBANTU SPORTS AND FITNESS ENTERPRISE WATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA SHULE YA MSINGI MIONO, CHALINZE PWANI
5 years ago
Michuzi15 Feb
DK KAWAMBWA AOMBA VIFAA TIBA KATIKA KITUO CHA AFYA MATIMBWA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200214-WA0056-1024x768.jpg)
…………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
MBUNGE wa Jimbo la Bagamoyo Mkoa wa Pwani Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa ameeleza kukamilika kwa kituo cha afya Matimbwa ni mkombozi kwa wakazi wa Yombo,Matimbwa na maeneo jirani ambao walikuwa wakitaabika kukosa huduma za afya karibu hasa huduma za uzazi na upasuaji.
Dkt Kawambwa alisema hayo katika mkutano maalumu uliotumika kwa ajili ya kukamilishwa kwa ahadi iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Pwani Zaynab Vulu,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PyKGQZ9NK-0/Vk22V64SH2I/AAAAAAAAFgY/9GmiVnR1qp0/s72-c/Blog3.jpg)
Kampuni ya TTCL Yakisaidia Vifaa Tiba Kituo cha Afya Buguruni Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-PyKGQZ9NK-0/Vk22V64SH2I/AAAAAAAAFgY/9GmiVnR1qp0/s640/Blog3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zEZbgg2mt8c/Vk22TQ9-QJI/AAAAAAAAFf0/DEuaM_vEcLI/s640/Blog1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
5 years ago
MichuziUBORESHWAJI KITUO CHA AFYA BUNDA MJINI IKIWEMO MAJENGO MAPYA NA VIFAA TIBA VYA KISASA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s72-c/1.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU
![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGGOjhKYOok/VUx3SuqK4yI/AAAAAAAA1uU/ByALKEDocRQ/s640/9.jpg)
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA ALIZOWAKATIA WAZEE KITUO CHA BUSANDA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga,Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi kadi za Bima ya afya iliyoboreshwa (ICHF) alizowakatia wazee 17 waliopo kituo cha kulelea Wazee cha Busanda kilichopo halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ili wapate huduma za afya bila usumbufu.
Mhe. Azza amekabidhi kadi hizo za bima ya afya leo Ijumaa Mei 8,2020 alizoahidi kuwalipia alipofika katika kituo hicho Oktoba 5,2019 akiwa ameambatana Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko kusherehekea Siku ya...