Kampuni ya TTCL Yakisaidia Vifaa Tiba Kituo cha Afya Buguruni Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-PyKGQZ9NK-0/Vk22V64SH2I/AAAAAAAAFgY/9GmiVnR1qp0/s72-c/Blog3.jpg)
Meneja Uhusiano wa kampuni ya TTCL, Nicodemus Thomas (wa pili kulia) akimkabidhi sehemu ya vifaa tiba Ofisa Muuguzi Mkuu wa Kituo cha Afya cha Buguruni, Alvera Mtembelea (wa tatu kushoto) vilivyotolewa na kampuni ya TTCL leo kwa Kituo cha Afya Buguruni cha jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kulia ni Ofisa Uhusiano wa TTCL, Amanda Luhanga akishuhudia zoezi hilo.
Meneja Uhusiano wa kampuni ya TTCL, Nicodemus Thomas (kulia) akimkabidhi moja ya mashine ikiwa ni sehemu ya vifaa tiba Ofisa Muuguzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
TTCL yakabidhi mabenchi kituo cha afya Buguruni
KAMPUNI ya Simu ya Tanzania (TTCL), imekabidhi msaada wa mabenchi katika kituo cha afya cha Buguruni kwa Mnyamani jijini Dar es Salaam ukiwa na thamani ya sh milioni 1.7. Akikabidhi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HwWgTVq8olE/VGy8j4rc_iI/AAAAAAAGyTY/DQnkI3lwwkY/s72-c/IMG_3274.jpg)
TTCL YAKABIDHI MSAADA WA MABENCHI MKATIKA KITUO CHA AFYA BUGURUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HwWgTVq8olE/VGy8j4rc_iI/AAAAAAAGyTY/DQnkI3lwwkY/s1600/IMG_3274.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7xpjZx00DOQ/VGy8kLf9QdI/AAAAAAAGyTk/6dWuNdqApzo/s1600/IMG_3292.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8YBLXHGhe3s/VkC9PoEBv8I/AAAAAAAAFb8/_kACxmKx1J8/s72-c/BL1.jpg)
KAMPUNI YA TTCL YAWASAIDIA WATOTO VIFAA VYA MASOMO KITUO CHA AWALI LUKEMA VINGUNGUTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8YBLXHGhe3s/VkC9PoEBv8I/AAAAAAAAFb8/_kACxmKx1J8/s640/BL1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PGdbcnS0S9s/VkC9U4RVQiI/AAAAAAAAFcY/xgkCd8kbmu8/s640/BL5.jpg)
5 years ago
Michuzi15 Feb
DK KAWAMBWA AOMBA VIFAA TIBA KATIKA KITUO CHA AFYA MATIMBWA
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200214-WA0056-1024x768.jpg)
…………………………………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
MBUNGE wa Jimbo la Bagamoyo Mkoa wa Pwani Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa ameeleza kukamilika kwa kituo cha afya Matimbwa ni mkombozi kwa wakazi wa Yombo,Matimbwa na maeneo jirani ambao walikuwa wakitaabika kukosa huduma za afya karibu hasa huduma za uzazi na upasuaji.
Dkt Kawambwa alisema hayo katika mkutano maalumu uliotumika kwa ajili ya kukamilishwa kwa ahadi iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Pwani Zaynab Vulu,...
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hBZN131hlkk/Xtywq7TTQQI/AAAAAAALs5g/bbPKhgW35Ngn548h-mFXZ1rUQwtnQu42wCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200607-102026_1591515051646.png)
MBUNGE WA CHALINZE AKABIDHI VIFAA TIBA KITUO CHA AFYA MIONO MKOANI PWANI
Akikabidhi vifaa hivyo kwa mkurugenzi wa halmashauri ya chalinze,alisema vifaa hivi vitakuwa neema na mkombozi kwa mahitaji wa afya kutokana na baada ya ukamilikaji wa chumba cha Upasuaji ambacho kitahudumia wananchi wa maeneo hayo hususan wakina mama wakati wa kujifungua na huduma za upasuaji.
"Nimekuwa nikikosa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s72-c/1.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU
![](http://4.bp.blogspot.com/-IUbUTeh5NJM/VUx2t1X96OI/AAAAAAAA1sQ/J241SkLKa6c/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PGGOjhKYOok/VUx3SuqK4yI/AAAAAAAA1uU/ByALKEDocRQ/s640/9.jpg)
5 years ago
MichuziUBORESHWAJI KITUO CHA AFYA BUNDA MJINI IKIWEMO MAJENGO MAPYA NA VIFAA TIBA VYA KISASA
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-OEyrRKU7lUI/VUx2po2uLDI/AAAAAAAA1sE/96UT9aILrwk/s640/01.jpg)
TBL YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYA SH. MIL. 22 KITUO CHA AFYA KAMBI YA SIMBA,KARATU