TTCL YAKABIDHI MSAADA WA MABENCHI MKATIKA KITUO CHA AFYA BUGURUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HwWgTVq8olE/VGy8j4rc_iI/AAAAAAAGyTY/DQnkI3lwwkY/s72-c/IMG_3274.jpg)
Mganga mfawidhi katika kituo cha afya Buguruni,Dk. Mwajuma Mbaga (kushoto) akipokea msaada wa mabechi ya kukalia wagonjwa wakati wakisubiri huduma kutoka kwa Kaimu Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu Tanzania (TTCL),Bw. Edwin Mashasi wakati wa hafla fupi ya makabidhiano,iliyofanyika leo Novemba 19,2014.
Mganga mfawidhi katika kituo cha afya Buguruni,Dkt. Mwajuma Mbaga akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wauguzi wa kituo hicho.Kulia waliokaa ni Kaimu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
TTCL yakabidhi mabenchi kituo cha afya Buguruni
KAMPUNI ya Simu ya Tanzania (TTCL), imekabidhi msaada wa mabenchi katika kituo cha afya cha Buguruni kwa Mnyamani jijini Dar es Salaam ukiwa na thamani ya sh milioni 1.7. Akikabidhi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PyKGQZ9NK-0/Vk22V64SH2I/AAAAAAAAFgY/9GmiVnR1qp0/s72-c/Blog3.jpg)
Kampuni ya TTCL Yakisaidia Vifaa Tiba Kituo cha Afya Buguruni Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-PyKGQZ9NK-0/Vk22V64SH2I/AAAAAAAAFgY/9GmiVnR1qp0/s640/Blog3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zEZbgg2mt8c/Vk22TQ9-QJI/AAAAAAAAFf0/DEuaM_vEcLI/s640/Blog1.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Apr
TTCL yatoa msaada kituo cha watoto yatima Chamazi
![Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini, Adolf Matondo (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada kwa kwa mmoja wa walezi wa watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund'.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0095.jpg)
![Baadhi ya watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund' wakibeba sehemu ya msaada uliyotolewa kwao na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa kituo hicho ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu ya Pasaka.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_01341.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Apr
Kampuni ya TTCL yatoa msaada kituo cha watoto yatima Chamazi
![Baadhi ya watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund' wakibeba sehemu ya msaada uliyotolewa kwao na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa kituo hicho ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu ya Pasaka.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0129.jpg)
![Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini, Adolf Matondo (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada kwa kwa mmoja wa walezi wa watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund'.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0095.jpg)
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GV1sUJt3fTw/VVM2HzJdlsI/AAAAAAAHW_4/hTySQXsfQ44/s72-c/IMG_8451.jpg)
TTCL YATOA MSAADA WA KOMPUTA NA KIFURUSHI CHA INTERNET YENYE KASI YA 2MBPS VYENYE JUMLA YA SHILINGI MILIONI 20.169 KWA KITUO CHA GLOBAL OUTREACH TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GV1sUJt3fTw/VVM2HzJdlsI/AAAAAAAHW_4/hTySQXsfQ44/s640/IMG_8451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xYmjox1BDmM/VVM2LHd9CHI/AAAAAAAHXAA/DR6Kqfgnt6Y/s640/IMG_8475.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4TRJND79VHU/VVM2ORFYzcI/AAAAAAAHXAI/tcivf9S_vo8/s640/IMG_8492.jpg)
11 years ago
GPLKCB YAKABIDHI VIFAA VYA HOSPITALI KITUO CHA AFYA KOMBENI
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RCpsuxl3BYk/VQhhYsiKeAI/AAAAAAAHLH0/jGrl9YzpJ38/s72-c/SAM_3111%5B1%5D.jpg)
TTCL yakabidhi msaada wa chakula kwa wahanga wa mafuriko Kahama
Msaada huo umekabidhiwa na Meneja wa TTCL mkoa wa Shinyanga Peter Kuguru kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Dkt. Kamugisha Kazaura.
Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa TTCL Bw. Peter Kuguru alisema TTCL inawapa pole sana wahanga wa tukio hilo na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10