KAMPUNI YA TTCL YAWASAIDIA WATOTO VIFAA VYA MASOMO KITUO CHA AWALI LUKEMA VINGUNGUTI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8YBLXHGhe3s/VkC9PoEBv8I/AAAAAAAAFb8/_kACxmKx1J8/s72-c/BL1.jpg)
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la Serikali la LUKEMA Community Development and Training Services baadhi ya vibao maalumu kwa ajili ya kujifunzia wanafunzi wa darasa la awali.
Wanafunzi wa darasa la awali wa kituo cha LUKEMA kinachomilikiwa na Shirika lisilokuwa la Serikali la LUKEMA Community Development and Training Services kilichopo jijini Dar es Salaam wakifurahia madaftari waliyopewa na TTCL...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Sc3zEstG6mo/U8ydxPuDFII/AAAAAAAF4Nw/VRawIVc3rFI/s72-c/unnamed+(4).jpg)
KISARAWE YAPATA MATUNDA YA KALAMU EDUCATION FOUNDATION KWA KUZINDUA KITUO CHA MASOMO YA WATOTO CHA AWALI KATIKA MFUNGO WA RAMADHAN.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Sc3zEstG6mo/U8ydxPuDFII/AAAAAAAF4Nw/VRawIVc3rFI/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-w2Fzgr2aFzk/U8ydxqBBFcI/AAAAAAAF4N0/QcvMZfgBxiU/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OwkLichX7mk/U8ydyHQTcSI/AAAAAAAF4OA/8H12F2Z9oUE/s1600/unnamed+(6).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PyKGQZ9NK-0/Vk22V64SH2I/AAAAAAAAFgY/9GmiVnR1qp0/s72-c/Blog3.jpg)
Kampuni ya TTCL Yakisaidia Vifaa Tiba Kituo cha Afya Buguruni Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-PyKGQZ9NK-0/Vk22V64SH2I/AAAAAAAAFgY/9GmiVnR1qp0/s640/Blog3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zEZbgg2mt8c/Vk22TQ9-QJI/AAAAAAAAFf0/DEuaM_vEcLI/s640/Blog1.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Apr
Kampuni ya TTCL yatoa msaada kituo cha watoto yatima Chamazi
![Baadhi ya watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund' wakibeba sehemu ya msaada uliyotolewa kwao na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa kituo hicho ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu ya Pasaka.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0129.jpg)
![Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini, Adolf Matondo (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada kwa kwa mmoja wa walezi wa watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund'.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/04/IMG_0095.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Zl0EJ7n4qrg/XmPSkijsaMI/AAAAAAALhv4/V3jb_PYAu0gRLDuXDFwAL5LGTSPBAtHTwCLcBGAsYHQ/s72-c/9c93071b-f496-4abd-8350-1a913221848a.jpg)
WAFANYAKAZI WANAWAKE TANESCO WAKABIDHI VIFAA VYA UJENZI KITUO CHA WATOTO YATIMA
KATIKA kusherehekea siku ya wanawake duniani, Wafanyakazi Wala ya kazi wanawake wa Shirika la Umeme nchini (Tanesco) wametembelea kituo cha watoto yatima cha Rahman kilichopo jijini Dodoma na kuwapa misaada mbalimbali.
Wafanyakazi hao kwa umoja wao wamepeleka Mabati, Mbao, Mifuko ya Saruji, Misumari na Milango kwa ajili ya kumalizia baadhi ya mabweni lakini pia walibeba vyakula kama Mchele, Mafuta ya kupikia, Maji na Juisi.
Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo...
10 years ago
MichuziCHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA TANZANIA(TAWLA) WAFUTURU NA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA MWANA VINGUNGUTI JIJINI DAR.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P2koqi_JPGs/U9EFd3efmvI/AAAAAAAF5v0/2qnVkLbaf_8/s72-c/unnamed+(2).jpg)
WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA MAGUMU WA KITUO CHA CHILD IN THE SUN WAPEWA MSAADA WA VIFAA VYA SHULE NA TCAA
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2koqi_JPGs/U9EFd3efmvI/AAAAAAAF5v0/2qnVkLbaf_8/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s0fgi4QraIQ/U9EFeMZ8jGI/AAAAAAAF5v8/aZVMceZnFh4/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL
10 years ago
Vijimambo16 Oct
Kampuni ya TTCL yaanzisha kituo cha interneti 'IP Pop'
![Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba (kulia) akizungumza na wanahabari mara baada ya mkutano wa wadau wa mawasiliano Afrika ikiwemo kampuni ya TTCL.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0213.jpg)
![Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akizungumza katika mdahalo wa wadau wa mawasiliano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0114.jpg)
![Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akizungumza katika mdahalo wa wadau wa mawasiliano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0111.jpg)
![Kampuni ya TTCL yaanzisha kituo cha interneti 'IP Pop'](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0128.jpg)
10 years ago
MichuziNIC YATOA MSAADA WA VIFAA VYA ELIMU KWA WATOTO WENYE UONI HAFIFU KITUO CHA ALBINO BUHANGIJA SHINYANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nuoWsihaC3k/VUDGx4KO5MI/AAAAAAAAAFU/hB66Gxo6jLc/s1600/12.jpg)