Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mjasiliamali Ali Mfuruki amkubali magufuli


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

HUDDAH MONROE AMKUBALI ALI KIBA

STAA asiyekwisha vituko kutoka nchini Kenya Huddah Monroe ameonyesha kumkubali staa wa Bongo Fleva,Ally Kiba kutokana na kazi nzuri anayofanya kwenye game hiyo.Kupitia account ya Instagram Huddah aliandika ‘’Whaaaatttt!I was wondering where @OfficialAlkiba had gone to!Sauti ya kumtoa nyoka pangoni!Stii my favourite Tanzania artist,the real definition of Bongo Flava!Duh1

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba amkubali Magufuli

>Siku moja baada ya CCM kumpitisha Dk John Magufuli kuwa mgombea wake wa urais, Waziri mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema chama hicho kimefanya uamuzi sahihi kwa kuwa waziri huyo wa ujenzi ni mchapakazi na hakutumia fedha kuipata nafasi hiyo.

 

9 years ago

Habarileo

Ban Ki-moon amkubali Rais Magufuli

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Kimoon ameeleza imani yake kwa Rais John Magufuli akisema chini ya uongozi wake, Serikali ya Tanzania itashughulika na juhudi za kuondoa umaskini, kuimarisha utawala na kupigania amani na utulivu katika Afrika Mashariki na nje ya ukanda.

 

9 years ago

Habarileo

Samia amkubali Magufuli vita dhidi ya rushwa

MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Hassan Suluhu, amemnadi mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli kwamba hana mchezo na vitendo vya rushwa jambo litakaloleta maendeleo zaidi.

 

9 years ago

Habarileo

Ali Ameir awashangaa wanaombeza Magufuli

MWANASIASA mkongwe na kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ali Ameir Mohammed amesema mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ana sifa zote za kuwa rais na kwamba, wapinzani wanaomkebehi katika majukwaa wanashindwa kutoa kasoro zake.

 

11 years ago

GPL

ELIZABETH GURUMO NDIYE MAMA MJASILIAMALI BORA 2014

Mgeni rasmi, Ahmed Shikeli, akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano mshindi Elizabeth Gurumo.   Akina mama waliofanikiwa kuingia tano bora.…

 

10 years ago

Daily News

Migiro and Amina Ali declare support for Magufuli


IPPmedia
Migiro and Amina Ali declare support for Magufuli
Daily News
AMBASSADOR Amina Salum Ali and Dr Asha-Rose Migiro, who made it to the top three in the CCM presidential race here, promised to remain royal to the party and support Dr John Magufuli as the party's candidate in the coming general elections.
Kingunge opposes CC aspirant selectionIPPmedia

all 7

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu amkubali Sitta

>Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) amesema ameupokea kwa furaha, uteuzi na uamuzi wa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta wa kugombea Uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli,Migiro na Amina Salum Ali watinga tatu bora

>Halmashauri Kuu ya CCM imemaliza kikao chake na imewachagua Dk John Magufuli, Dk Asha Rose Migiro na Balozi Amina  Salum Ali kuingia katika tatu bora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani