Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenya yatangaza vita dhidi ya Rushwa

Rais Uhuru Kenyata ametangaza kuwa Rushwa ni tishio la usalama wa taifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi

Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya watu waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii

 

9 years ago

BBCSwahili

Senegal yatangaza vita dhidi ya wapiganaji

Rais wa Senegal Macky Sall ametangaza vita dhidi ya mfumo wa uanzishwaji wa makundi ya wapiganaji wa kijihadi.

 

11 years ago

Habarileo

Tanzania ya pili vita dhidi ya rushwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika amesema Tanzania inashika nafasi ya pili kati ya nchi tano za Shirikisho la Afrika Mashariki katika suala la utawala bora na vita dhidi ya rushwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa

Anasema hali hiyo si nzuri na inatoa changamoto mpya katika vita dhidi ya rushwa hasa kutokana na wananchi wengi kupoteza imani katika vita hiyo, kwa kuwa ndiyo wanaoathirika moja kwa moja na hawaoni hatua zozote madhubuti kukomesha na kuwashughulikia watuhumiwa wa matukio hayo.

 

9 years ago

Habarileo

Samia amkubali Magufuli vita dhidi ya rushwa

MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Hassan Suluhu, amemnadi mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli kwamba hana mchezo na vitendo vya rushwa jambo litakaloleta maendeleo zaidi.

 

9 years ago

Mwananchi

Uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini na vita dhidi ya rushwa

Nikizingatia hotuba ya Rais John Magufuli alipozindua Bunge, na imani kubwa ya Watanzania juu yake kuhusu kuongoza mapambano dhidi ya rushwa, nilistushwa na kusikitishwa na uamuzi wake wa kumteua Profesa Sospeter Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuchika: Tanzania ni nchi ya pili Afrika Mashariki kwa Utawala Bora na Vita dhidi ya Rushwa

1

Brass Band ya Jeshi la Polisi ikiongoza maandamano ya Maadhimishi ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyoanza kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salam.

Hussein Makame-MAELEZO

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika amesema kuwa Tanzania inashika nafasi ya pili kati ya nchi tano za Shirikisho la Afrika Mashariki katika suala la Utawala Bora na vita dhidi ya Rushwa.

Waziri Mkuchika amayasema hayo wakati akizindua Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,Kenya inashinda vita dhidi ya ugaidi?

Kikosi cha kupambana na ugaidi kinadaiwa kunyanyasa na kuuwa vijana huku wengine wakitoweka mikononi mwa polisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani