Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je,Kenya inashinda vita dhidi ya ugaidi?

Kikosi cha kupambana na ugaidi kinadaiwa kunyanyasa na kuuwa vijana huku wengine wakitoweka mikononi mwa polisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vita vya Kenya dhidi ya ugaidi

Serikali ya Kenya imeahidi kuendeleza juhudi za kuwawinda magaidi wanaondelea kusababisha usalama mdogo nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Vita dhidi ya ugaidi kuimarishwa

Rais Jakaya KikweteLICHA ya jeshi la polisi kuwakamata watuhumiwa 84 wa matukio ya kigaidi nchini na 17 kati yao kufunguliwa mashitaka, Rais Jakaya Kikwete amelitaka jeshi hilo kuendelea kujipanga kukabiliana na aina yoyote ya tishio la kigaidi, huku akisema Serikali itaendelea kuliwezesha katika kukabiliana nao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi

Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya watu waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii

 

5 years ago

BBCSwahili

Je vita 'dhidi ya ugaidi' vitawahi kuitaisha?

Jitihada zilizwekwa bado hazijaweza kufanikiwa kukabiliana na vitisho vya ugaidi vinavyoendelea duniani kote.

 

10 years ago

Habarileo

OIC kusaidia vita dhidi ya ugaidi Afrika

Rais Jakaya Kikwete (katikati), Rais Yoweri Museveni wa Uganda (kushoto) na viongozi wengine wanaounda Baraza la Amani na Usalama la nchi za Umoja wa Afrika (AU) wakiimba wimbo wa AU na wa Taifa la Kenya kabla ya kuanza kwa mkutano wa kuzungumzia ugaidi bara la Afrika na duniani kwa ujumla, Jijini Nairobi, Kenya jana. (Picha na Ikulu).JUMUIYA ya Nchi za Kiislamu Duniani (OIC), imelaani matukio ya kigaidi yanayoshika kasi, ikisema kamwe haiyaungi mkono makundi ya kigaidi yanayodai kufanya uhalifu kwa kigezo cha kutekeleza misingi ya dini ya Kiislamu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yatangaza vita dhidi ya Rushwa

Rais Uhuru Kenyata ametangaza kuwa Rushwa ni tishio la usalama wa taifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yasaidia katika vita dhidi ya Ebola

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameadhidi kutoa mchango wa dola milioni moja kwa mataifa yanayokabiliwa na janga la Ebola

 

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

10 years ago

Habarileo

Waislamu pigeni vita vikundi vya ugaidi-Bilal

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal.MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dk Mohammed Gharib Bilal amesisitiza kwamba ni lazima waumini wa dini ya Kiislamu wawe katika sura halisi ya dini hiyo kuliko inavyotafsiriwa katika dunia ya leo na kuhusishwa na ugaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani