Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Senegal yatangaza vita dhidi ya wapiganaji

Rais wa Senegal Macky Sall ametangaza vita dhidi ya mfumo wa uanzishwaji wa makundi ya wapiganaji wa kijihadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi

Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya watu waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yatangaza vita dhidi ya Rushwa

Rais Uhuru Kenyata ametangaza kuwa Rushwa ni tishio la usalama wa taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

10 years ago

Mtanzania

CCM Yatangaza vita

nnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kufanya maandalizi ya kupigana na wafuasi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kinaowatuhumu kuwashambulia wanachama wake.

Kimesema uamuzi huo umekuja baada ya kuchoshwa na vurugu zinazofanywa na wafuasi wa Ukawa katika maeneo mbalimbali hapa nchini hususan wakati wa kutangaza matokeo na uapishaji wa viongozi wa Serikali za Mitaa.

Mpango huo wa mapambano umetangazwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi yatangaza vita Simiyu

JESHI la Polisi mkoani Simiyu limetangaza vita dhidi ya watu wanaojihusisha na mauaji ya vikongwe. Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mfanyabiashara maarufu mjini Bariadi, Hidaya Sayi (38) kuuawa...

 

11 years ago

Mwananchi

Samsung yatangaza vita ya bidhaa bandia

>Kampuni ya simu za mkononi na vifaa vya umeme ya  Samsung Tanzania imetangaza kuendeleza vita dhidi ya bidhaa bandia zinavyoghushiwa, zilizoibwa na zisizokuwa na dhamana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya Al Shabaab

Majeshi ya Umoja wa Afrika ya Kulinda amani nchini Somalia yameshambuiwa na bomu la kutegwa kando ya barabara katika mji wa Kismayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya Tumbaku

Tumbaku huchangia asilimia kumi ya pato la kitaifa la Zimbabawe.Nchini Malawi huwa ni asilimia 15.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani