Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi yatangaza vita Simiyu

JESHI la Polisi mkoani Simiyu limetangaza vita dhidi ya watu wanaojihusisha na mauaji ya vikongwe. Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mfanyabiashara maarufu mjini Bariadi, Hidaya Sayi (38) kuuawa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

CCM Yatangaza vita

nnauyeCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kufanya maandalizi ya kupigana na wafuasi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kinaowatuhumu kuwashambulia wanachama wake.

Kimesema uamuzi huo umekuja baada ya kuchoshwa na vurugu zinazofanywa na wafuasi wa Ukawa katika maeneo mbalimbali hapa nchini hususan wakati wa kutangaza matokeo na uapishaji wa viongozi wa Serikali za Mitaa.

Mpango huo wa mapambano umetangazwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Senegal yatangaza vita dhidi ya wapiganaji

Rais wa Senegal Macky Sall ametangaza vita dhidi ya mfumo wa uanzishwaji wa makundi ya wapiganaji wa kijihadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya yatangaza vita dhidi ya Rushwa

Rais Uhuru Kenyata ametangaza kuwa Rushwa ni tishio la usalama wa taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Samsung yatangaza vita ya bidhaa bandia

>Kampuni ya simu za mkononi na vifaa vya umeme ya  Samsung Tanzania imetangaza kuendeleza vita dhidi ya bidhaa bandia zinavyoghushiwa, zilizoibwa na zisizokuwa na dhamana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi

Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya watu waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii

 

9 years ago

Mwananchi

CUF yatangaza kuigomea polisi

Chama cha Wananchi (CUF) kimesema uamuzi wa Jeshi la Polisi kuzuia misafara ya wagombea urais wakati wa kuchukua na kurejesha fomu batili, kinyume na Katiba ya nchi na sheria ya vyama vya siasa, na unalenga “kuionea huruma CCM” baada ya kufunikwa na vyama vinavyounda Ukawa.

 

5 years ago

Michuzi

Qwihaya yalikumbuka jeshi la Polisi vita dhidi ya corona


Abichi Masanga, Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilayani Mufindi akipokea vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona kutoka kwa Meneja wa Qwihaya General Enterprises Co Ltd, kampuni inayozalisha nguzo za umeme ya mjini Mafinga. Qwihaya kwa sasa inamiliki viwanda mkoani Iringa na Kugoma



Na Mwandishi wetu, Mafinga

Kampuni inayozalisha nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprise Co Ltd imelikumbuka jeshi la Polisi mjini Mafinga, Wilayani mfindi kwa kutoka vifaa vya kujikinga na maambukizi ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Bomu Jipya: Hii ni Vita ya Utamaduni, Ni Vita ya Kutawaliwa Kiakili

AWALI kuna wale waliolalamikia kuhusu maadili hasa pale filamu za kitanzania zilipozuiliwa na watayarishaji wetu wakashindwa kujenga hoja kwa kuuliza kwanini sinema zao zikitamka tu neno la Shoga wanaambiwa watoe lakini za kutoka nje Mashoga wanaonekana, hapa kuna maswali mengi sana.

1. Kwanini balozi wa Korea kwa niaba ya nchi yake alikuwa anatoa tamthilia za kikorea zionyeshwe ITV bure?
2. Kwanini serikali ya China inaingia gharama za kutafsiri tamthilia zao kwa kiswahili na kuzitoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani