Polisi yatangaza vita Simiyu
JESHI la Polisi mkoani Simiyu limetangaza vita dhidi ya watu wanaojihusisha na mauaji ya vikongwe. Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya mfanyabiashara maarufu mjini Bariadi, Hidaya Sayi (38) kuuawa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Jan
CCM Yatangaza vita
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kufanya maandalizi ya kupigana na wafuasi wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kinaowatuhumu kuwashambulia wanachama wake.
Kimesema uamuzi huo umekuja baada ya kuchoshwa na vurugu zinazofanywa na wafuasi wa Ukawa katika maeneo mbalimbali hapa nchini hususan wakati wa kutangaza matokeo na uapishaji wa viongozi wa Serikali za Mitaa.
Mpango huo wa mapambano umetangazwa jana na Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa...
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Senegal yatangaza vita dhidi ya wapiganaji
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Kenya yatangaza vita dhidi ya Rushwa
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Samsung yatangaza vita ya bidhaa bandia
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi
9 years ago
Mwananchi16 Aug
CUF yatangaza kuigomea polisi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3TLNWyLQgEM/Xr0FQi16nYI/AAAAAAAAH5U/6CtVjuBjf247QiWWEKG7tjO09KVzqjd0gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200514-WA0011.jpg)
Qwihaya yalikumbuka jeshi la Polisi vita dhidi ya corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-3TLNWyLQgEM/Xr0FQi16nYI/AAAAAAAAH5U/6CtVjuBjf247QiWWEKG7tjO09KVzqjd0gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200514-WA0011.jpg)
Abichi Masanga, Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilayani Mufindi akipokea vifaa vya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona kutoka kwa Meneja wa Qwihaya General Enterprises Co Ltd, kampuni inayozalisha nguzo za umeme ya mjini Mafinga. Qwihaya kwa sasa inamiliki viwanda mkoani Iringa na Kugoma
Na Mwandishi wetu, Mafinga
Kampuni inayozalisha nguzo za umeme ya Qwihaya General Enterprise Co Ltd imelikumbuka jeshi la Polisi mjini Mafinga, Wilayani mfindi kwa kutoka vifaa vya kujikinga na maambukizi ya...
10 years ago
Bongo Movies19 May
Bomu Jipya: Hii ni Vita ya Utamaduni, Ni Vita ya Kutawaliwa Kiakili
AWALI kuna wale waliolalamikia kuhusu maadili hasa pale filamu za kitanzania zilipozuiliwa na watayarishaji wetu wakashindwa kujenga hoja kwa kuuliza kwanini sinema zao zikitamka tu neno la Shoga wanaambiwa watoe lakini za kutoka nje Mashoga wanaonekana, hapa kuna maswali mengi sana.
1. Kwanini balozi wa Korea kwa niaba ya nchi yake alikuwa anatoa tamthilia za kikorea zionyeshwe ITV bure?
2. Kwanini serikali ya China inaingia gharama za kutafsiri tamthilia zao kwa kiswahili na kuzitoa...