Bomu Jipya: Hii ni Vita ya Utamaduni, Ni Vita ya Kutawaliwa Kiakili
AWALI kuna wale waliolalamikia kuhusu maadili hasa pale filamu za kitanzania zilipozuiliwa na watayarishaji wetu wakashindwa kujenga hoja kwa kuuliza kwanini sinema zao zikitamka tu neno la Shoga wanaambiwa watoe lakini za kutoka nje Mashoga wanaonekana, hapa kuna maswali mengi sana.
1. Kwanini balozi wa Korea kwa niaba ya nchi yake alikuwa anatoa tamthilia za kikorea zionyeshwe ITV bure?
2. Kwanini serikali ya China inaingia gharama za kutafsiri tamthilia zao kwa kiswahili na kuzitoa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jul
‘Bomu la kwanza Vita vya Dunia lilitua Dar es Salaam’
10 years ago
Vijimambo
Makongoro: Lowassa sikumuona Vita ya Kagera, Labda alikuja baada ya vita kuburudisha wanajeshi

CHARLES Makongoro Nyerere (CMN) ni miongoni mwa wanachama wa CCM waliotangaza nia ya kutaka kuchaguliwa kuwania urais kupitia chama hicho mwaka huu. Raia Mwema lilifanya naye mahojiano wiki hii nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Endelea
-RAIA MWEMA: Kwanini wana CCM wanatakiwa wakuchague wewe uwe mgombea wao na si mwingine miongoni mwa wenzako 41 waliojitokeza kuwania nafasi hiyo?MAKONGORO: Mimi si...
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18
11 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Msama aungwe mkono katika vita hii ngumu
TASNIA ya sanaa kwa ujumla wake, si burudani tu bali ni ajira kwa wenye vipaji wanayoweza kuitumia katika kuendesha maisha yao kama ilivyo kwingineko duniani. Lakini, kwa hapa nchini bado...
10 years ago
Michuzi
Simba, Kagera vita mpya Taifa jumamosi hii

Mabingwa hao wa zamani katika...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Unyanyapaa umedhihirika kuwa kikazwo kikubwa katika vita hii
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Hii ndiyo Kambi ya Jeshi la Uingereza kwenye Vita vya Kwanza vya Dunia
Ufaransa
Mashimo ya kupenya ndani kwa ndani chini ya ardhi yamevumbuliwa kwenye machimbo ya chokaa Kaskazini mwa Ufarasa na yanasadikika kuwa wanajeshi wa Uingereza waliishi humo wakati wa mapigano ya Vita vya Kwanza vya Dunia (WW1) vilivyofanyika kati ya waka 1914 hadi 1918.
Ndani ya mashimo hayo kumekutwa miamba migumu ambayo imeandikwa majina ya wapiganaji wa WW1 waliokufa na kuzikwa mule. Pia kuna makanisa ambamo waliabudu, mabaki ya gari na baiskeli za zamani...
10 years ago
Uhuru Newspaper
VITA YA UJANGILI
Serikali yapewa ndege ya kisasa
NA KHADIJA MUSSA
WADAU wa utalii na uhifadhi ndani na nje ya nchi wameendelea kuunga mkono jitihada za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili, kwenye hifadhi za taifa na mapori ya akiba.

Tangu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza vita dhidi ya ujangili na kusisitiza kuwa lazima serikali ishinde, matukio ya mauaji ya tembo na faru yamepungua kwa kiasi kikubwa.
Hiyo inatokana na kuimarishwa kwa ulinzi kwenye hifadhi za taifa pamoja na...
11 years ago
GPL
VITA YA UMEME