Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hii ndiyo Kambi ya Jeshi la Uingereza  kwenye Vita vya Kwanza vya Dunia

WW1 (1) WW1 (2) WW1 (3) WW1 (4) WW1 (5) WW1 (6) WW1 (7) WW1 (8) WW1 (9) WW1 (10) WW1 (11) WW1 (12) WW1 (13) WW1 (14) WW1 (15) WW1 (16) WW1 (17) WW1 (18) WW1 (19) WW1 (20)Ufaransa

Mashimo ya kupenya ndani kwa ndani chini ya ardhi yamevumbuliwa kwenye machimbo ya chokaa Kaskazini mwa Ufarasa na yanasadikika kuwa wanajeshi wa Uingereza waliishi humo wakati wa mapigano ya Vita vya Kwanza vya Dunia (WW1) vilivyofanyika kati ya waka 1914 hadi 1918.

Ndani ya mashimo hayo kumekutwa miamba migumu ambayo imeandikwa majina ya wapiganaji wa WW1 waliokufa na kuzikwa mule. Pia kuna makanisa ambamo waliabudu, mabaki ya gari na baiskeli za zamani...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Karne baada Vita vya Kwanza vya Dunia

Bara la Ulaya linaadhimisha mauaji ya mtoto wa mfalme ambayo yalichochea Vita vya Kwanza vya Dunia kuzuka

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bomu la kwanza Vita vya Dunia lilitua Dar es Salaam’

Imeelezwa kuwa bomu la kwanza kurushwa kwenye Vita ya Kwanza ya Dunia (WWI) kwa upande wa Afrika Mashariki lilitupwa katika Bandari ya Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Japan inajutia vita vya pili vya dunia

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe, ameeleza kusikitishwa kwake na mateso na kujitolea kwa watu wengi wakati wa vita vya pili vya dunia.

 

11 years ago

Michuzi

DAKIKA 90 ZA DUNIA. Mauaji kwenye kambi ya jeshi Fort Hood

Jenerali Mark Milley, Kamanda wa Fort Hood akizungumza na waandishi wa habari. Wiki iliyopita, nchi ya Marekani ilikumbwa na mauaji mengine yaliyotokea kwenye kambi ya jeshi huko Fort Hood, Texas. Jumatano Aprili 2, askari mmoja wa Jeshi la nchi hiyo, Ivan Lopez ambaye inasemekana alikuwa na matatizo ya msongo wa mawazo, aliwafyatulia risasi na kuwaua wanajeshi wenzake 3, kujeruhi 16 kabla hajajigeuzia bastola na kujiua.

Mauaji haya, yanarejesha kumbukumbu ya mauaji makubwa kabisa...

 

11 years ago

Michuzi

DAKIKA 90 ZA DUNIA. Mauaji kwenye kambi ya jeshi Fort Hood MAREKANI

Jenerali Mark Milley, Kamanda wa Fort Hood akizungumza na waandishi wa habari Wiki iliyopita, nchi ya Marekani ilikumbwa na mauaji mengine yaliyotokea kwenye kambi ya jeshi huko Fort Hood, Texas. Jumatano Aprili 2, askari mmoja wa Jeshi la nchi hiyo, Ivan Lopez ambaye inasemekana alikuwa na matatizo ya msongo wa mawazo, aliwafyatulia risasi na kuwaua wanajeshi wenzake 3, kujeruhi 16 kabla hajajigeuzia bastola na kujiua Mauaji haya, yanarejesha kumbukumbu ya mauaji makubwa kabisa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18

Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake

 

9 years ago

BBCSwahili

Japan yajutia vita vya dunia

Emperor Akihito wa Japan amejutia vita vya pili vya dunia kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 70 tangu kumalizika vita hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Unyanyapaa umedhihirika kuwa kikazwo kikubwa katika vita hii

Miongoni mwa changamoto zinazojitokeza katika kukabiliana na Covid-19 ni unyanyapaa. fahamu kinachoendelea katika maeneo mbalimbali.

 

9 years ago

Bongo Movies

Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA

Hawa Ndiyo Wasanii Mbalimbali Waliojitokeza Viwanja vya Jangwani Kwenye Uzinduzi wa Kampeni za UKAWA

Credit:MillardAyo.Com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani