Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Japan yajutia vita vya dunia

Emperor Akihito wa Japan amejutia vita vya pili vya dunia kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 70 tangu kumalizika vita hivyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Japan inajutia vita vya pili vya dunia

Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe, ameeleza kusikitishwa kwake na mateso na kujitolea kwa watu wengi wakati wa vita vya pili vya dunia.

 

9 years ago

Global Publishers

Hii ndiyo Kambi ya Jeshi la Uingereza  kwenye Vita vya Kwanza vya Dunia

WW1 (1) WW1 (2) WW1 (3) WW1 (4) WW1 (5) WW1 (6) WW1 (7) WW1 (8) WW1 (9) WW1 (10) WW1 (11) WW1 (12) WW1 (13) WW1 (14) WW1 (15) WW1 (16) WW1 (17) WW1 (18) WW1 (19) WW1 (20)Ufaransa

Mashimo ya kupenya ndani kwa ndani chini ya ardhi yamevumbuliwa kwenye machimbo ya chokaa Kaskazini mwa Ufarasa na yanasadikika kuwa wanajeshi wa Uingereza waliishi humo wakati wa mapigano ya Vita vya Kwanza vya Dunia (WW1) vilivyofanyika kati ya waka 1914 hadi 1918.

Ndani ya mashimo hayo kumekutwa miamba migumu ambayo imeandikwa majina ya wapiganaji wa WW1 waliokufa na kuzikwa mule. Pia kuna makanisa ambamo waliabudu, mabaki ya gari na baiskeli za zamani...

 

11 years ago

BBCSwahili

Karne baada Vita vya Kwanza vya Dunia

Bara la Ulaya linaadhimisha mauaji ya mtoto wa mfalme ambayo yalichochea Vita vya Kwanza vya Dunia kuzuka

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bomu la kwanza Vita vya Dunia lilitua Dar es Salaam’

Imeelezwa kuwa bomu la kwanza kurushwa kwenye Vita ya Kwanza ya Dunia (WWI) kwa upande wa Afrika Mashariki lilitupwa katika Bandari ya Dar es Salaam.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18

Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake

 

9 years ago

Mtanzania

Barcelona watwaa Kombe la Dunia Japan

BarcelonaYOKOHAMA, JAPAN

KLABU ya Barcelona imeibuka mabingwa katika michuano ya klabu ya dunia iliyokuwa ikiendelea nchini Japan baada ya kuifunga River Plate ya Argentina mabao 3-0, kwenye Uwanja wa Nissan Stadium.

Katika mchezo huo, mshambuliaji hatari wa Barcelona, Luis Suarez, alikuwa mwiba kwa mabeki wa River Plate, ambapo alipachika mabao mawili huku Lionel Messi akiwa wa kwanza kupachika bao.

Hata hivyo, katika mchezo wa nusu fainali, Suarez alionesha umahiri wake kwa kupachika mabao matatu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji Japan waitikisa dunia kwa uvuvi wa pomboo

POMBOO ni mmoja wa samaki wapole wa baharini ambao wanapendwa sana na binadamu. Anahesabika kati ya wanyama wenye akili nyingi kwani ana uwezo wa kujifunza mambo na kuyakariri. Pia ana...

 

9 years ago

BBCSwahili

Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10

Takriban watu 10 wamepigwa risasi na kuuawa baada ya makundi mawili kutofautiana kuhusu jogoo yupi aliyeibuka mshindi katika vita katika jimbo la Guerrero Mexico.

 

9 years ago

Bongo5

Kombe la dunia la Klabu: Sanfrecce Hiroshima ya Japan yazima matumaini ya TP Mazembe

_87185831_gettyimages-501182938

Matumaini ya TP Mazembe kufika kwenye fainali za kombe la dunia la klabu yamezimwa jana baada ya mabingwa hao wa Afrika kufungwa mabao 3-0 na Sanfrecce Hiroshima ya Japan.

_87185831_gettyimages-501182938

Mchezo huo ulipigwa kwenye uwanja wa Yanmar wa mjini Osaka, Japan.

Magoli hayo yalifungwa na Tsukasa Shiotani, Kazuhiko Chiba na Takuma Asano.

Kikosi cha Mazembe kilikuwa kikiundwa na wachezaji wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Mali, Zambia, Tanzania, Ghana na mchezaji mmoja tu kutoka DR Congo.

Thomas Ulimwengu na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani