Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kombe la dunia la Klabu: Sanfrecce Hiroshima ya Japan yazima matumaini ya TP Mazembe

_87185831_gettyimages-501182938

Matumaini ya TP Mazembe kufika kwenye fainali za kombe la dunia la klabu yamezimwa jana baada ya mabingwa hao wa Afrika kufungwa mabao 3-0 na Sanfrecce Hiroshima ya Japan.

_87185831_gettyimages-501182938

Mchezo huo ulipigwa kwenye uwanja wa Yanmar wa mjini Osaka, Japan.

Magoli hayo yalifungwa na Tsukasa Shiotani, Kazuhiko Chiba na Takuma Asano.

Kikosi cha Mazembe kilikuwa kikiundwa na wachezaji wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Mali, Zambia, Tanzania, Ghana na mchezaji mmoja tu kutoka DR Congo.

Thomas Ulimwengu na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

TP Mazembe kukutana na Sanfrecce Hiroshima

Mabingwa wa Afrika TP Mazembe kwatakutana na timu ya Sanfrecce Hiroshima kutoka Japan hatua ya robofainali fainali za Kombe la Dunia la Klabu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Kombe la dunia la vilabu, TP Mazembe yaanza vibaya kwa kipigo

Roger+Assale+TP+Mazembe+v+Sanfrecce+Hiroshima+d31Vvh-xFIAl

Kiungo Roger Assale wa TP Mazembe akionyesha ufundi wake kwa Toshihiro Aoyama wa timu ya Sanfrecce Hiroshima katika viwanja vya Osaka Nagai jana December 13, 2015 wakati wa mchezo wa robo fainali wa Mashindano ya Klabu Bingwa ya Dunia uliofanyika jijini Osaka, Japan.(Picha na Kaz Photography/Getty Images AsiaPac).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Timu pekee inayowakilisha Afrika katika kombe la dunia la vilabu 2015 linalofanyika nchini Japan, TP Mazembe ya Congo DRC, imeanza vibaya Mashindano ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Real Madrid yatwaa Kombe la Dunia la klabu

realRABAT, MOROCCO

TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Kombe la Dunia la klabu, baada ya kuifunga San Lorenzo ya Argentina mabao 2-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Marrakesh, Morocco usiku wa kuamkia jana.

Ubingwa huo umeifanya Real Madrid kuwa na mwaka mzuri kihistoria kwani imechukua taji la nne mwaka huu, likiwemo hilo ambalo imelitwaa kwa mara ya kwanza.

Baadhi ya mataji mengine ambayo Madrid imefanikiwa kutwaa mwaka huu ni yale ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Kombe la Mfalme (Copa...

 

9 years ago

Mtanzania

Barcelona watwaa Kombe la Dunia Japan

BarcelonaYOKOHAMA, JAPAN

KLABU ya Barcelona imeibuka mabingwa katika michuano ya klabu ya dunia iliyokuwa ikiendelea nchini Japan baada ya kuifunga River Plate ya Argentina mabao 3-0, kwenye Uwanja wa Nissan Stadium.

Katika mchezo huo, mshambuliaji hatari wa Barcelona, Luis Suarez, alikuwa mwiba kwa mabeki wa River Plate, ambapo alipachika mabao mawili huku Lionel Messi akiwa wa kwanza kupachika bao.

Hata hivyo, katika mchezo wa nusu fainali, Suarez alionesha umahiri wake kwa kupachika mabao matatu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Barcelona yatwaa Kombe la FIFA Klabu Bingwa Dunia

Football Soccer - River Plate v FC Barcelona - FIFA Club World Cup Final - International Stadium Yokohama, Yokohama - 20/12/15 FC Barcelona celebrate winning the FIFA Club World Cup Final with the trophy Reuters / Thomas Peter Livepic

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Klabu ya Barcelona ya Hispania imetwaa Ubingwa wa FIFA Klabu Bingwa wa Dunia baada ya kuifunga klabu ya River Plate ya Argentina kwa goli 3 kwa bila katika mchezo wa fainali ya mashindano hayo yaliyofanyika nchini Japan.

Katika mchezo huo wa fainali nyota ya Barcelona ilianza kung`aa katika dakika ya 36 baada ya mshambuliaji wake Lionel Messi kuifungia timu hiyo goli la kwanza kwa kuunganisha mpira uliotoka kwa mchezaji mwenzake Neymar na baadae Luiz Suarez...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yazima vinu vya nyuklia Japan

Vinu 50 vya nyuklia vya Japan vilifungwa mwaka wa 2011 kufuatia mkasa wa Fukushima.

 

9 years ago

BBCSwahili

TP Mazembe yachapwa 3 - 0 Klabu Bingwa Duniani

Wawakilishi wa Afrika katika michuano ya kombe la dunia la vilabu timu ya Tp Mazembe imechapwa na wenyeji wa michuano hiyo timu ya Sanfrecce Hiroshima 3-0.

 

11 years ago

BBCSwahili

TP Mazembe nje Klabu Bingwa Afrika

Entente Setif sasa itapambana na AS Vita Club katika fainali ya Klabu Bigwa barani Afrika baada ya kuiondoa TP Mazembe

 

9 years ago

BBCSwahili

TP Mazembe washindwa tena Japan

Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameshindwa kwenye mechi yao ya pili fainali za Kombe la Dunia la Klabu zinazoendelea Japan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani