Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TP Mazembe washindwa tena Japan

Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameshindwa kwenye mechi yao ya pili fainali za Kombe la Dunia la Klabu zinazoendelea Japan.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

TP Mazembe watua Japan kupigania ubingwa

Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe wamewasili mjini Osaka, Japan wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.

 

9 years ago

Bongo5

Kombe la dunia la Klabu: Sanfrecce Hiroshima ya Japan yazima matumaini ya TP Mazembe

_87185831_gettyimages-501182938

Matumaini ya TP Mazembe kufika kwenye fainali za kombe la dunia la klabu yamezimwa jana baada ya mabingwa hao wa Afrika kufungwa mabao 3-0 na Sanfrecce Hiroshima ya Japan.

_87185831_gettyimages-501182938

Mchezo huo ulipigwa kwenye uwanja wa Yanmar wa mjini Osaka, Japan.

Magoli hayo yalifungwa na Tsukasa Shiotani, Kazuhiko Chiba na Takuma Asano.

Kikosi cha Mazembe kilikuwa kikiundwa na wachezaji wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Mali, Zambia, Tanzania, Ghana na mchezaji mmoja tu kutoka DR Congo.

Thomas Ulimwengu na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Japan haitaomba tena msamaha kwa watumwa

Japan haina nia ya kuwaomba tena msamaha wanawake waliotumiwa kama watumwa wa ngono na wanajeshi wakati wa vita vya pili vya dunia

 

11 years ago

Michuzi

Ubalozi Wa Tanzania Japan Waipaisha Kahawa Kilimanjaro Kwenye Treini Ziendazo Kasi Japan

Kahawa ya Tanzania imekuwa kivutio kikubwa kufuatia ushirikiano wa Ubalozi wa Tanzania Japan na Kampuni binafsi ya M.M. (wauzaji wakubwa wa kahawa ya Kilimanjaro Japan) kuandaa “Special Premium kilimanjaro Coffee Brand ” na kuingia makubaliano na Shirika kongwe la treini ziendazo kasi (Bullet Train) la Tokaido JR Shinkansen. Kahawa hiyo imekuwa kiburudisho kikubwa kwa wasafiri wote wanaotumia usafiri huo ambao ni maarufu sana Japan katika miji mbalimbali. Kwa watumiaji wa usafiri huo...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa washindwa kuafikiana

UKAWNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIKAO cha viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kimeshindwa kuendelea baada ya baadhi ya wajumbe kushindwa kuafikiana kuhusu hoja iliyowasilishwa na Chama cha NCCR-Mageuzi, ya kutaka kujitoa kwenye umoja huo, imefahamika.
Viongozi hao walikutana jijini Dar es Salaam jana katika Ofisi Kuu ya Chama cha Wananchi (CUF), ambapo pamoja na mambo mengine walikuwa wakijadili hatima ya kuachiana majimbo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanamichezo washindwa kujivunia

Wakati Taifa leo likiadhimisha miaka 52 ya Uhuru, baadhi ya wanamichezo hapa nchini wamedai Tanzania imeshindwa kuendeleza hadhi iliyokuwa nayo kwenye mashindano ya kimataifa hivyo hakuna cha kujivunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Senate washindwa kuhuisha mkataba

Wajumbe wa Baraza la Senate la Marekani wameshindwa kupitisha upya sheria ya kukabili ugaidi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchumi washindwa kuzalisha ajira

LICHA ya uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 7.1 na kufanya vizuri katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, bado umeshindwa kutengeneza ajira zenye tija kwa haraka. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea washindwa kutamba Ulaya

Chelsea walitoka sare tasa mechi yao ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ugenini dhidi ya Dynamo Kiev iliyochezwa Jumanne usiku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani