TP Mazembe washindwa tena Japan
Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameshindwa kwenye mechi yao ya pili fainali za Kombe la Dunia la Klabu zinazoendelea Japan.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Dec
TP Mazembe watua Japan kupigania ubingwa
9 years ago
Bongo514 Dec
Kombe la dunia la Klabu: Sanfrecce Hiroshima ya Japan yazima matumaini ya TP Mazembe

Matumaini ya TP Mazembe kufika kwenye fainali za kombe la dunia la klabu yamezimwa jana baada ya mabingwa hao wa Afrika kufungwa mabao 3-0 na Sanfrecce Hiroshima ya Japan.
Mchezo huo ulipigwa kwenye uwanja wa Yanmar wa mjini Osaka, Japan.
Magoli hayo yalifungwa na Tsukasa Shiotani, Kazuhiko Chiba na Takuma Asano.
Kikosi cha Mazembe kilikuwa kikiundwa na wachezaji wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Mali, Zambia, Tanzania, Ghana na mchezaji mmoja tu kutoka DR Congo.
Thomas Ulimwengu na...
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Japan haitaomba tena msamaha kwa watumwa
11 years ago
Michuzi
Ubalozi Wa Tanzania Japan Waipaisha Kahawa Kilimanjaro Kwenye Treini Ziendazo Kasi Japan

10 years ago
Mtanzania29 Apr
Ukawa washindwa kuafikiana
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIKAO cha viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kimeshindwa kuendelea baada ya baadhi ya wajumbe kushindwa kuafikiana kuhusu hoja iliyowasilishwa na Chama cha NCCR-Mageuzi, ya kutaka kujitoa kwenye umoja huo, imefahamika.
Viongozi hao walikutana jijini Dar es Salaam jana katika Ofisi Kuu ya Chama cha Wananchi (CUF), ambapo pamoja na mambo mengine walikuwa wakijadili hatima ya kuachiana majimbo kuelekea Uchaguzi Mkuu wa...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Wanamichezo washindwa kujivunia
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Senate washindwa kuhuisha mkataba
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Uchumi washindwa kuzalisha ajira
LICHA ya uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 7.1 na kufanya vizuri katika kipindi cha muongo mmoja uliopita, bado umeshindwa kutengeneza ajira zenye tija kwa haraka. Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi ...
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Chelsea washindwa kutamba Ulaya