Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamichezo washindwa kujivunia

Wakati Taifa leo likiadhimisha miaka 52 ya Uhuru, baadhi ya wanamichezo hapa nchini wamedai Tanzania imeshindwa kuendeleza hadhi iliyokuwa nayo kwenye mashindano ya kimataifa hivyo hakuna cha kujivunia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MIAKA 53 ZA MAFANIKIO YA KUJIVUNIA

Muhtasari Wa Miaka 53 Ya Mafanikio Ya Kujivunia by Evarist Chahali  MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE 2005/2006 HADI 2014/2015 (Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne kuanzia 2005/2006 hadi 2014/2015from Evarist Chahali

 

11 years ago

Michuzi

MTWARA KUJIVUNIA HOSPITALI YA RUFAA

 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Ligula, Dkt. Shaibu Maarifa (katikati) akizungumza na Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilimpotembelea Ofisini kwake. Kushoto ni viongozi wa Timu hiyo, Prof. Longinus Rutasitara (Kushoto) na Bibi Florence Mwanri (Wapili kulia).  Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Ligula, Dkt. Shaibu Maarifa akisisitiza jambo wakati wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Ukimwi siyo mradi wa kujivunia fedha’

Wadau wa mapambano dhidi ya Ukimwi wametakiwa kuacha mazoea ya kuona kuwa mapambano dhidi ya ugonjwa huo ni mradi.

 

10 years ago

Michuzi

KAGERA KUJIVUNIA UWANJA WA NDEGE WA KISASA


Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango wakiwasili kwenye Kiwanja cha Ndege cha Kagera kujionea maendeleo ya Mradi wa Upanuzi wa Kiwanja hicho. Waliotangulia mbele ni Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (Kushoto), Meneja Mradi wa Upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Bukoba, Mhandisi Suleiman Athuman (Katikati) na Meneja wa kiwanja hicho, Bw. Julius Mulungwana (Kulia).Ujenzi unaendelea!...

 

10 years ago

Mwananchi

Mjasiriamali hupenda kujivunia kile alichokifanya

Mjasiriamali ni mtu wa kufanya kazi kwa tija. Hawezi kupoteza muda wake pasipo sababu za msingi na pia hapendi kupotezewa muda wake. Mjasiriamali ni mtu mwenye kuona mbali na hutayarisha mikakati yake yenye kuona mbali.

 

10 years ago

Mtanzania

Juma Nature kujivunia miaka 16 ya mafanikio yake

JUMANA HADIA KHAMIS
MSANII mwenye jina kubwa katika muziki wa Bongo Fleva nchini, Juma Kassim Kiroboto ‘Juma Nature’, anatarajia kusherehekea miaka 16 ya mafanikio yake hivi karibuni.
Mafanikio hayo atayafurahia katika tamasha la Komaa Concert ambapo watashirikiana na kituo cha Redio cha EFM kinachosherehekea mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake.
Mkurugenzi wa mawasiliano wa kituo hicho, Dennis Sebbo, alisema tamasha hilo litafanyika katika Manispaa ya Temeke ikiwa ni heshima ya msanii huyo kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 37 ya CCM; Nape: Tunayo mengi ya kujivunia

>Leo ikiwa ni miaka 37 tangu kuzaliwa, na miaka 22 ndani ya mfumo wa vyama vingi, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimebeba kila aina ya matusi, kashfa, kejeli na tuhuma kutokana na changamoto mbalimbali zinazokikabili katika uendeshaji wa Serikali na hali ya maisha ya Watanzania.

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA WAHIMIZWA KUJIVUNIA VIVUTIO WALIVYO NAVYO



Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda (katikati) akisoma kibao kinachotoa maelezo kuhusu Michoro ya Miambani wakati alipotembelea kituo cha Michoro ya Miambani cha Kolo Kondoa, kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Malikale Bw. Revocatus Bugumba na kushoto kwake ni Bw. Zuberi Mabie ambaye ndiye Mkuu wa Kituo hicho.
katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda (kushoto) akizungumzia umuhimu wa kuhifadhi michoro inayopatikana katika eneo la...

 

10 years ago

Vijimambo

Kada Mzalendo Loveness Mamuya na Mrejesho wa Kwanini Usiku wa Jakaya ni Kitu cha Kujivunia Daima

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE NA MAENDELEO NCHINI TANZANIA


1.   UTANGULIZI

Binadamu hakuumbwa katika ombwe, ameumbwa akiwa katika dimbwi la majukumu, kwake binafsi, familia, jamii na dunia kwa ujumla. Wachache sana wanaoweza kupitia ngazi zote za uwajibikaji huu. Katika hao wachache, hatutasita kumtaja Jakaya Khalifan Mrisho Kikwete. Ili kujijenga vema katika misingi ya uongozi, Jakaya Kikwete alijijenga vema katika taasisi hizi za msingi na alipikwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani