Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ukimwi siyo mradi wa kujivunia fedha’

Wadau wa mapambano dhidi ya Ukimwi wametakiwa kuacha mazoea ya kuona kuwa mapambano dhidi ya ugonjwa huo ni mradi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA FEDHA YAWAPA SEMINA WAANDISHI WA HABARI JUU YA MRADI WA MABORESHO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA

 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Fedha, Ingiahedi Mduma akifafanua jambo wakati wa warsha ya siku tano kuhusu mradi wa maboresho ya matumizi ya fedha za umma inayoendelea katika Hoteli Njuweni Kibaha. Bi.Ingiahedi alisema kuwa Serikali ya Tanzania ilianzisha mradi huo kwa madhumuni ya kuimarisha mifumo ya matumizi ya fedha katika ngazi zote.  Mradi huu umekuwa wa awamu 4 kutokana na mafanikio yanayojitokeza na changamoto.
Alisema kuwa Mpaka sasa mradi huo...

 

11 years ago

GPL

WOLPER, KUWAJALI WAZAZI SIYO FEDHA

Jackline Wolper . NINAMFAHAMU Jacqueline Wolper, kama mmoja wa mastaa wa filamu za Kibongo. Anajitahidi kuigiza na muonekano wa mwili wake unamsaidia sana kuvutia mashabiki.
Siku kadhaa nyuma, niliwahi kuwa mmoja wa waandishi waliokuwa wakifanya naye mahojiano maalum ofisini kwetu. Anajua kujieleza na ni mtulivu katika kujibu maswali anayoulizwa, huenda kwa vile anajua athari za maneno ya haraka, yasiyoeleweka na… ...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM imejali fedha za wagombea siyo demokrasia

Tangu Chama cha Mapinduzi (CCM) kilipofungua milango kwa makada wake wanaojiona wana sifa ya kuwania urais wakachukue fomu, wananchi wameshuhudia msururu mrefu wa makada hao wakitangaza nia kwenye mikutano ya hadhara na pili wakichukua fomu za udhamini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sikika: Urasimu unachangia fedha za Ukimwi kutotumika

UCHELEWESHAJI wa fedha kutoka Hazina na urasimu uliopo katika matumizi ndiyo sababu  iliyosababisha kiasi kikubwa cha fedha za miradi ya Ukimwi kutotumika kwa mwaka wa fedha 2013/14. Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkuya: Siyo kosa Watanzania kuweka fedha Uswisi

Hata hivyo, amsema serikali inaangalia ripoti ya Swiss Leaks ili kuona uhalali wa akaunti hizo za siri.

“Sisi hatujaona kama ni kosa kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kwenye mabenki ya nje na wala isionekane kama ni jambo haramu kabisa.

Kama serikali tungetamani wawekeze kwenye benki nchini ili kukuza sekta ya fedha lakini pia hatuwafungi kutowekeza nje,” alisema.

“Tunachofanya ni kuiangalia hiyo ripoti ili kujua ukweli wa taarifa hizo, lakini taarifa hiyo haimaanishi kwamba ni kosa kubwa...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Serikali ijipange kuukabili upungufu fedha za Ukimwi

Katika toleo letu la jana (Julai 11,2015), ukurasa wa 12, kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wafadhili wapunguza fedha za Ukimwi

 

11 years ago

Mwananchi

Mafisadi wateketeza fedha za mradi Korogwe

Idara ya Kilimo ya Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe imeingia katika kashfa ya ufisadi baada ya kufichuliwa kwa ubadhirifu wa zaidi ya Sh45 milioni zilizotolewa na Serikali kwa ajili ya kutekeleza mradi wa umwagiliaji wa mpunga uliopo Kaloleni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka fedha za mradi Kwimba

MBUNGE wa Kwimba, Shanif Mansoor (CCM), ameeleza kusikitishwa na kusimama kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa bwawa la kilimo cha umwagiliaji Kata ya Mwang’halanga wilayani hapa, na kuitaka serikali ipeleke...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matumizi fedha za mradi yamfurahisha waziri

NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenista Mhagama amefurahishwa na matumizi mazuri ya fedha za mradi wa Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu unaolenga kuboresha sayansi na teknojia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani