Mbunge ataka fedha za mradi Kwimba
MBUNGE wa Kwimba, Shanif Mansoor (CCM), ameeleza kusikitishwa na kusimama kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa bwawa la kilimo cha umwagiliaji Kata ya Mwang’halanga wilayani hapa, na kuitaka serikali ipeleke...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mbunge ataka taasisi za fedha zichunguzwe
MBUNGE wa Viti Maalumu, Cecilia Pareso (CHADEMA), ameitaka serikali kuzichunguza taasisi za kifedha zinazotoa mikopo kwa riba kubwa ikiwa ni pamoja na taasisi ya kifedha ya Bayport. Pareso alitoa pendekezo...
11 years ago
Habarileo31 May
Mbunge ataka fedha za kujenga majengo ya polisi
MBUNGE wa Viti Maalum, Rita Kabati (CCM) ameishauri serikali kutumia fedha walizookoa baada ya kuacha kununua magari ya kifahari, kuzielekeza kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi.
10 years ago
Habarileo27 Jun
Mbunge aomba chakula cha msaada Kwimba
WILAYA ya Kwimba inakabiliwa na njaa, hali ambayo mbunge wa Sumve , Richard Ndassa ameomba Serikali kuwaletea wananchi chakula cha msaada.
10 years ago
MichuziWIZARA YA FEDHA YAWAPA SEMINA WAANDISHI WA HABARI JUU YA MRADI WA MABORESHO YA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA
Alisema kuwa Mpaka sasa mradi huo...
11 years ago
Habarileo10 Apr
Mbunge adaiwa kukwamisha mradi
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemshambulia Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), na kudai kuwa amekuwa kikwazo cha kuendelea kwa miradi ya maendeleo jimboni kwake, kutokana na kutafuta umaarufu wa kisiasa.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mbunge ataka ahadi za JK zifutwe
MBUNGE wa Viti Maalumu Rebeca Mngodo (CHADEMA), ameitaka serikali kuzifuta ahadi zote zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kuomba kura mwaka 2010 kwa madai kuwa hazitekelezeki. Mngodo alitoa kauli...
11 years ago
Habarileo29 Mar
Mbunge ataka wasilipwe posho
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ameshauriwa kumuandikia barua Rais Jakaya Kikwete, kuomba kuvunjwa kwa bunge hilo linaloendelea mjini hapa endapo wajumbe wake watashindwa kuanza kujadili rasimu Jumatatu ijayo.
10 years ago
Habarileo05 Nov
Mbunge ataka Bunge lisitishwe
KUTOKANA na Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kuidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 90 za dawa hatua inayozifanya hospitali nyingi nchini kukosa huduma hiyo na kuleta madhara kwa wagonjwa, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM), ameomba Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge ulioanza jana mjini hapa kuahirishwa ili fedha walizopaswa kulipwa wabunge zitumike kununua dawa kuokoa wagonjwa.
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Mafisadi wateketeza fedha za mradi Korogwe