Mbunge ataka fedha za kujenga majengo ya polisi
MBUNGE wa Viti Maalum, Rita Kabati (CCM) ameishauri serikali kutumia fedha walizookoa baada ya kuacha kununua magari ya kifahari, kuzielekeza kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Mbunge ataka fedha za mradi Kwimba
MBUNGE wa Kwimba, Shanif Mansoor (CCM), ameeleza kusikitishwa na kusimama kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa bwawa la kilimo cha umwagiliaji Kata ya Mwang’halanga wilayani hapa, na kuitaka serikali ipeleke...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mbunge ataka taasisi za fedha zichunguzwe
MBUNGE wa Viti Maalumu, Cecilia Pareso (CHADEMA), ameitaka serikali kuzichunguza taasisi za kifedha zinazotoa mikopo kwa riba kubwa ikiwa ni pamoja na taasisi ya kifedha ya Bayport. Pareso alitoa pendekezo...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Kocha Polisi Moro ataka mshikamano kujenga timu
KOCHA mkuu mpya wa timu ya soka ya Polisi Morogoro, Joseph Lazaro amesema ana jukumu kubwa la kuijenga timu hiyo kwa kuwaunganisha wachezaji kucheza kitimu na umakini, ili kupata ushindi katika michezo inayofuata ya duru la pili la Ligi Daraja la Kwanza.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CwzdzQEnlBs/UyR-aXA5nRI/AAAAAAACcfw/ExH9bXwDoNs/s72-c/IMG_9819.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZZ:MBUNGE WA CHADEMA AKAMATWA NA JESHI LA POLISI IRINGA AKITUHUMIWA KUGAWA FEDHA KWA WANANCHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CwzdzQEnlBs/UyR-aXA5nRI/AAAAAAACcfw/ExH9bXwDoNs/s1600/IMG_9819.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...
10 years ago
MichuziBodi MHCS Ltd yajizatiti kujenga majengo pacha Afrika Sana, Dar
Bodi Mpya ya Wakurugenzi wa Chama cha Ushirika cha Ujenzi wa Nyumba...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-myMSBU9RMCY/Xq_tIsX2DLI/AAAAAAABMCk/2_vPIzrZUYEWmF6qmV-8JVX-QuJEXNf0QCLcBGAsYHQ/s72-c/95369533_881795262337749_7986312861653663744_o.jpg)
MBUNGE MWAKANG'ATA WA RUKWA AKABIDHI MSAADA WA VIFAA TIBA ZAHANATI YA MAJENGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-myMSBU9RMCY/Xq_tIsX2DLI/AAAAAAABMCk/2_vPIzrZUYEWmF6qmV-8JVX-QuJEXNf0QCLcBGAsYHQ/s400/95369533_881795262337749_7986312861653663744_o.jpg)
11 years ago
Habarileo20 Feb
DC ataka wananchi kujenga nyumba imara
MKUU wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Muhingo Rweyemamu, amewataka wananchi wilayani humo, kujenga nyumba imara na kupanda miti ya vivuli na matunda, ili kustawisha mazingira na kuzuia upepo kuvuma kwa kasi na kuleta madhara.
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
Ataka taarifa za matumizi zisomwe kujenga imani
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile, katika picha.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya Mkalama mkoani singida, Bravo Lyapambile, amewaagiza maafisa watendaji Kata kutoa/kusoma taarifa za michango mbalimbali ikiwemo ya ujenzi wa maabara kwa wakati,ili wananchi waendelee kuamini halmashauri yao.
Amesema kwa njia hiyo wananchi watajenga imani na Halmashauri yao kwamba michango yao...