Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge ataka fedha za kujenga majengo ya polisi

MBUNGE wa Viti Maalum, Rita Kabati (CCM) ameishauri serikali kutumia fedha walizookoa baada ya kuacha kununua magari ya kifahari, kuzielekeza kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka fedha za mradi Kwimba

MBUNGE wa Kwimba, Shanif Mansoor (CCM), ameeleza kusikitishwa na kusimama kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa bwawa la kilimo cha umwagiliaji Kata ya Mwang’halanga wilayani hapa, na kuitaka serikali ipeleke...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka taasisi za fedha zichunguzwe

MBUNGE wa Viti Maalumu, Cecilia Pareso (CHADEMA), ameitaka serikali kuzichunguza taasisi za kifedha zinazotoa mikopo kwa riba kubwa ikiwa ni pamoja na taasisi ya kifedha ya Bayport. Pareso alitoa pendekezo...

 

9 years ago

Habarileo

Kocha Polisi Moro ataka mshikamano kujenga timu

KOCHA mkuu mpya wa timu ya soka ya Polisi Morogoro, Joseph Lazaro amesema ana jukumu kubwa la kuijenga timu hiyo kwa kuwaunganisha wachezaji kucheza kitimu na umakini, ili kupata ushindi katika michezo inayofuata ya duru la pili la Ligi Daraja la Kwanza.

 

11 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZZZ:MBUNGE WA CHADEMA AKAMATWA NA JESHI LA POLISI IRINGA AKITUHUMIWA KUGAWA FEDHA KWA WANANCHI

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Bi.Jesca Msavatavangu akizungumza na wanahabari jioni ya leo mara baada ya tukio hilo la kukamatwa kwa Mbunge wa CHADEMA akigawa fedha kwa wanakijiji siku moja kabla ya uchaguzi kufanyika. Uchaguzi wa Jimbo hilo unatarajiwa kufanyika kesho siku ya jumapili, ambapo wananchi wameombwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura.  Ikiwa imebaki siku moja kabla ya uchaguzi Mdogo wa Ubunge jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Manyara kupitia...

 

10 years ago

Michuzi

Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango

Na Veronica Mheta, Arusha
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi MHCS Ltd yajizatiti kujenga majengo pacha Afrika Sana, Dar

Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Chama cha Ushirika cha Ujenzi wa Nyumba Mwenge (MHCS Ltd), Hillaly Mdaki akizungumza wakati wa uzinduzi wa bodi hiyo, uliofanyika Afrika Sana Mwenge jijini Dar es Salaam.Kulia ni makamu mwenyekiti wa bodi hiyo, Hellena Khamsini. Mjumbe mmojawapo wa bodi ya hiyo, Ndesumbuka Merinyo akisaini hati ya kiapo cha kuitumikia nafasi hiyo katika hafla iliyofanyika Sinza, Afrika Sana jana.

Bodi Mpya ya Wakurugenzi wa Chama cha Ushirika cha Ujenzi wa Nyumba...

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE MWAKANG'ATA WA RUKWA AKABIDHI MSAADA WA VIFAA TIBA ZAHANATI YA MAJENGO

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Bupe Mwakang'ata (kulia) akizungmza  baada ya kukabidhi msaada wa vifaa tiba katika Zahanati ya Majeno, mkoani Rukwa hivi karibuni.

 

11 years ago

Habarileo

DC ataka wananchi kujenga nyumba imara

MKUU wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Muhingo Rweyemamu, amewataka wananchi wilayani humo, kujenga nyumba imara na kupanda miti ya vivuli na matunda, ili kustawisha mazingira na kuzuia upepo kuvuma kwa kasi na kuleta madhara.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ataka taarifa za matumizi zisomwe kujenga imani

DSC03381

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile, katika picha.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Mkalama

MKURUGENZI  mtendaji wa halmashauri ya Mkalama  mkoani singida, Bravo Lyapambile, amewaagiza maafisa watendaji Kata kutoa/kusoma taarifa za michango mbalimbali ikiwemo ya ujenzi wa maabara kwa wakati,ili wananchi waendelee kuamini halmashauri yao.

Amesema kwa njia hiyo wananchi watajenga imani na Halmashauri yao kwamba michango yao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani