Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
Na Veronica Mheta, Arusha
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4ygZaTC6za8/VTkB_ea2SLI/AAAAAAAHSy4/8hlaDJ1hKec/s72-c/IMG_3483.jpg)
WAKANDARASI WAASWA KULINDA AFYA ZA WAFANYAKAZI MAHALA PA KAZI-OSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4ygZaTC6za8/VTkB_ea2SLI/AAAAAAAHSy4/8hlaDJ1hKec/s1600/IMG_3483.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WtYIDO8aS8U/VTkB-l3CmnI/AAAAAAAHSys/IGfMfwXMPFc/s1600/IMG_3516.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ocF_otqGgR4/VTkCBRwLgII/AAAAAAAHSzM/QMJ7Ka5tf-s/s1600/IMG_3548.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Sep
Wajasiriamali waaswa kuzingatia viwango
WAJASIRIAMALI wadogo na wa kati nchini wametakiwa kuzalisha bidhaa bora kwa kuzingatia viwango vinavyotakiwa kwa mtumiaji. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Msemaji wa Shirika la ViwangoTanzania...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DhqQWgxoh3c/XmD8_a0JAOI/AAAAAAALhQc/IWcZxPAn6owMAW2Jl_c8gdl4EpQS_nlNACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Dkt. Kalemani awapiga Marufuku wakandarasi kulaza nguzo chini
![](https://1.bp.blogspot.com/-DhqQWgxoh3c/XmD8_a0JAOI/AAAAAAALhQc/IWcZxPAn6owMAW2Jl_c8gdl4EpQS_nlNACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KLZ9hCIlxME/XmD8-wYL6lI/AAAAAAALhQY/1j2yfYKDKO06OqBGB0y7YZWqZAqC5QoGACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-w6QWRPa-fmw/XmD9AKYTlSI/AAAAAAALhQg/zpH7gbgf3tw0rwVNJ2IqGdceED4IDVIBACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
9 years ago
Michuzi17 Sep
VIJANA WAASWA KUACHA UPAPARA
![_MG_1920](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/09/MG_1920.jpg)
Na Mwandishi wetuVIJANA nchini Tanzania wanatakiwa kujitambua, kuacha kuwa kigeugeu na kufanya papara ya kupata fedha kama wanataka kuendelea na kufanikiwa kibinafsi na kiuchumi.
Kauli...
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Waganga waaswa kuacha fikra potofu
WAGANGA tiba asili wametakiwa kuachana na fikra potofu za kuwashawishi wateja wao kuwa wakiua au kuleta viungo vya binadamu ndio chanzo cha kupata mafanikio. Akizungumza na Tanzania Daima jijini hapa,...
11 years ago
Habarileo31 May
Mbunge ataka fedha za kujenga majengo ya polisi
MBUNGE wa Viti Maalum, Rita Kabati (CCM) ameishauri serikali kutumia fedha walizookoa baada ya kuacha kununua magari ya kifahari, kuzielekeza kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi.
10 years ago
Habarileo30 Dec
Madereva waaswa kuacha ulevi, kutuma sms njiani
KAMPENI ya usalama barabarani ya kuwataka madereva nchini kuzingatia sheria za usalama barabarani iliyozinduliwa hivi karibuni na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe jana imeendelea katika Mkoa wa Pwani na Morogoro.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10