Dkt. Kalemani awapiga Marufuku wakandarasi kulaza nguzo chini
![](https://1.bp.blogspot.com/-DhqQWgxoh3c/XmD8_a0JAOI/AAAAAAALhQc/IWcZxPAn6owMAW2Jl_c8gdl4EpQS_nlNACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (kushoto) akisalimiana kwa mtindo wa kugonganisha miguu na mmoja wa wakazi wa kijiji cha Farkwa wilayani Chemba alipofika katika kijiji hicho kuwasha umeme na kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme katika wilaya hiyo.
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Saimon Odunga( katikati)wakiteta jambo wakati Dkt. Kalemani alipofika katika wilaya hiyo kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme.
Waziri wa Nishati,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziDkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eEwTMoY1__E/XsOJCRSRSaI/AAAAAAALqvI/9TJkXKzJPHQZhB7pHzZh4-CLxsbVZFihACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
Dkt. Kalemani: Lipieni tujue idadi ya wateja tusambaze nguzo tuwawashie umeme!
![](https://1.bp.blogspot.com/-eEwTMoY1__E/XsOJCRSRSaI/AAAAAAALqvI/9TJkXKzJPHQZhB7pHzZh4-CLxsbVZFihACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ( kulia) akiwasha umeme katika Kijiji cha Bugwego Kata ya Bwongera, wilayani Chato mkoani Geita alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini katika maeneo hayo, Mei 18,2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4SL3BOVfGL8/XsOJCvp8tgI/AAAAAAALqvM/Qda2qM4gjdMnHj6eRewK1l9ljuQpLuRHACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani(kushoto),akizungumza na mmoja wa wakazi wa Kijiji cha Rusungwa Kata ya Nyamirembe,Wilayani Chato,mkoani Geita baada ya kuwasha umeme katika nyumba yake alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmWsX8eWFUkvErcjPwliyAUFdn2TTQexDapN1bTJs16Yluo2YRoXthh*udaxuMw3MT0PvwmgnGTjKOvHleo13lI/millard.jpg)
MILLARD AYO AWAPIGA CHINI MASTAA
9 years ago
GPLMADAM RITA AWAPIGA CHINI WANASIASA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fQgJqhr3psA/VNnF2tj9aHI/AAAAAAAHCu8/wpK0ZhojD4s/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Uongozi makini wa shule chini ya BRN ni nguzo ya Elimu Bora
![](http://4.bp.blogspot.com/-fQgJqhr3psA/VNnF2tj9aHI/AAAAAAAHCu8/wpK0ZhojD4s/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Annastazia Rugaba – BRN
“Sasa ninaifurahia kazi yangu. Ninajisikia vizuri kuwa mwalimu. Natamani BRN ingeanza toka kitambo. Hata hivyo naona mabadiliko makubwa yanakuja tukiendelea na kasi hii…” hayo yalisemwa na mwalimu Geza Musfapha Juma ambaye ni Mkuu wa shule ya sekondari Ntyuka iliyoko Dodoma,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango
![](http://2.bp.blogspot.com/-CrxqT9YQTn4/VTjqBEPIGAI/AAAAAAAHSxU/hzZwbPx6kD8/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-23%2Bat%2B3.45.43%2BPM.png)
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QQjib1NxvgE/XsUmbO72BbI/AAAAAAALq9E/OPgJoXqqVZYuI7PlinhN_HOsa9AVGSq4gCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B2.jpg)
Dkt. Kalemani aweka historia Loya, Tabora
![](https://1.bp.blogspot.com/-QQjib1NxvgE/XsUmbO72BbI/AAAAAAALq9E/OPgJoXqqVZYuI7PlinhN_HOsa9AVGSq4gCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5j7lQNv9VRA/XsUma8V8ecI/AAAAAAALq9A/gvBpkQDjiGkrUxBj0Pjk6LlbjiihfeXbgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3-7-768x512.jpg)
DKT. KALEMANI HARIDHISHWI NA KASI NDOGO YA MATUMIZI YA UMEME TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-3-7-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-4-4-1024x683.jpg)
Viongozi wa Kijiji cha Mizanza wilayani Igunga Mkoani Tabora wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, hayupo pichani baada ya kufanya ziara kijijini hapo ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-1-10-1024x755.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kulia)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BuC0CUxShpI/Xr_Olnre4II/AAAAAAALqcQ/JwtmJsV22ewViXgiLCsIFc6AE7IvAtDcQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3-3-768x512.jpg)
MENEJA TANESCO USIPOTIMIZA MALENGO JITOE NA TUTAKUCHUKULIA HATUA -DKT KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BuC0CUxShpI/Xr_Olnre4II/AAAAAAALqcQ/JwtmJsV22ewViXgiLCsIFc6AE7IvAtDcQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-3-3-768x512.jpg)
Waziri wa Nishati,Dkt. Medard Kalemani( katikati) akizungumza na mwanakijiji wa Izunya,( kushoto) ambacho kikokaribu na miundombinu ya umeme ambapo aliigiza TANESCO, kupeleka umeme katika vijiji vya aina hii ambavyo vimepitia au vipo karibu na miundombinu ya umeme ambavyo havijafikiwa na REA, alipofanya fanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme vijijini katika Wilaya za Nyang’hwale, Geita na Chato mkoani Geita.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-4-3-1024x683.jpg)
Waziri wa Nishati,Dkt. Medard Kalemani ( kushoto) akizungumza...