Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dkt. Kalemani awapiga Marufuku wakandarasi kulaza nguzo chini

 Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (kushoto) akisalimiana kwa mtindo wa kugonganisha miguu na mmoja wa wakazi wa kijiji cha Farkwa wilayani Chemba alipofika katika kijiji hicho kuwasha umeme na kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme katika wilaya hiyo.  Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Saimon Odunga( katikati)wakiteta jambo wakati  Dkt. Kalemani alipofika katika wilaya hiyo kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme. Waziri wa Nishati,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Dkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30

  Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa pili kulia) akimsikiliza mmoja wa wananchi wanaozunguka mgodi wa dhahabu wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo ili kuangalia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika mgodi huo.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt. Medard  Kalemani (wa tatu kulia) akiangalia baadhi ya mitambo inayotumika katika shughuli za uzalishaji dhahabu katika  mgodi wa Busolwa mkoani Geita wakati alipofanya ziara katika mgodi huo...

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Kalemani: Lipieni tujue idadi ya wateja tusambaze nguzo tuwawashie umeme!




Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ( kulia) akiwasha umeme katika Kijiji cha Bugwego Kata ya Bwongera, wilayani Chato mkoani Geita alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini katika maeneo hayo, Mei 18,2020.
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani(kushoto),akizungumza na mmoja wa wakazi wa Kijiji cha Rusungwa Kata ya Nyamirembe,Wilayani Chato,mkoani Geita baada ya kuwasha umeme katika nyumba yake alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji umeme vijijini...

 

11 years ago

GPL

MILLARD AYO AWAPIGA CHINI MASTAA

Stori: MUSA MATEJA AMETISHA! Prizenta wa Clouds FM, kupitia kipindi chake cha Amplifaya, Millard Ayo amewapiga chini mastaa kibao baada ya kutwaa Tuzo ya Mtangazaji Anayependwa wa Redio na nyingine ya Kipindi cha Redio Kinachopendwa yaani Amplifaya katika Tuzo za Watu. Prizenta wa Clouds FM, kupitia kipindi chake cha Amplifaya, Millard Ayo (wa tatu kushoto) akiwa na tuzo pamoja na wenzake. Mpango mzima ulichukua nafasi usiku wa...

 

9 years ago

GPL

MADAM RITA AWAPIGA CHINI WANASIASA

Jaji Mkuu wa Shindano la Bongo Star Search 2015 (BSS) Rita Paulsen ‘Madam Rita’ . Na Hamida hassan Jaji Mkuu wa Shindano la Bongo Star Search 2015 (BSS) linaloendelea hivi sasa, Rita Paulsen ‘Madam Rita’ amewapiga chini wanasiasa waliokuwa wakitamani awe nao na kusema kuwa yeye ni mfanyabiashara hivyo hawezi kusapoti chama chochote cha siasa. Akizungumza na Ijumaa Rita alisema kuwa kipindi hiki cha siasa...

 

10 years ago

Michuzi

Uongozi makini wa shule chini ya BRN ni nguzo ya Elimu Bora

Mwalimu Kassim Musa- Biolojia Na Kemia (kushoto) na mwalimu Erasto Daniel Fizikia na Hisabati (Kulia) wa shule ya sekondari Ntyuka iliyoko Dodoma wakijiandaa kuingia maabara na wanafunzi wao.
Annastazia Rugaba – BRN
“Sasa ninaifurahia kazi yangu. Ninajisikia vizuri kuwa mwalimu. Natamani BRN ingeanza toka kitambo. Hata hivyo naona mabadiliko makubwa yanakuja tukiendelea na kasi hii…” hayo yalisemwa na mwalimu Geza Musfapha Juma ambaye ni Mkuu wa shule ya sekondari Ntyuka iliyoko Dodoma,...

 

10 years ago

Michuzi

Wakandarasi waaswa kuacha tabia ya kujenga majengo chini ya viwango

Na Veronica Mheta, Arusha
WAKANDARASI wameaswa kuacha tabia ya kujenga majengo ya serikali pamoja na wananchi chini ya viwango kwalengo la kupata faida kubwa na kuleta hasara kubwa katika nchi.
Aidha serikali inafanya kila linalowezekana ili kulipa madeni ya wakandarasi wazalendo ikiwemo kupata mikopo ya riba nafuu kwaajili ya kuwezesha wakandarasi kupata zabuni za ujenzi wa majengo makubwa zaidi yanayojengwa na wageni kutoka nchi za nje.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jijini hapa na Katibu...

 

5 years ago

Michuzi

Dkt. Kalemani aweka historia Loya, Tabora

 Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, akiwaonyesha kifaa cha Umeme tayari (UMETA) wakazi wa Kijiji cha Loya wilayani Uyui Mkoani Tabora, alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme vijijini, katika kijiji hicho, Mei 19,2020. Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, akiwasha mashine ya kusaga na kukoboa nafaka ambayo sasa inatumia umeme badala ya mafuta mazito kujiendesha, inayomilikiwa na Mkazi wa Kijiji cha Loya wilayani Uyui Mkoani Tabora, wakati alipofanya ziara ya...

 

5 years ago

Michuzi

DKT. KALEMANI HARIDHISHWI NA KASI NDOGO YA MATUMIZI YA UMEME TABORA

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akizungumza na Viongozi wa Kijiji cha Busomeke katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, alipofanya ziara ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.
Viongozi wa Kijiji cha Mizanza wilayani Igunga Mkoani Tabora wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, hayupo pichani baada ya kufanya ziara kijijini hapo ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kulia)...

 

5 years ago

Michuzi

MENEJA TANESCO USIPOTIMIZA MALENGO JITOE NA TUTAKUCHUKULIA HATUA -DKT KALEMANI


Waziri wa Nishati,Dkt. Medard Kalemani( katikati) akizungumza na mwanakijiji wa Izunya,( kushoto) ambacho kikokaribu na miundombinu ya umeme ambapo aliigiza TANESCO, kupeleka umeme katika vijiji vya aina hii ambavyo vimepitia au vipo karibu na miundombinu ya umeme ambavyo havijafikiwa na REA, alipofanya fanya ziara ya kukagua maendeleo ya usambazaji wa umeme vijijini katika Wilaya za Nyang’hwale, Geita na Chato mkoani Geita.
Waziri wa Nishati,Dkt. Medard Kalemani ( kushoto) akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani